Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Nani ni msafi wa kuwachukulia hatua?umeona mashoga wakichukuliwa hatua yoyote...?
Rais?
W. Mkuu?
Nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani ni msafi wa kuwachukulia hatua?umeona mashoga wakichukuliwa hatua yoyote...?
Mama hana kundi, yeye ni wa wote.Jielekeze kwenye tangazo la gazeti la Mwananchi hapa chini. Kuna Daktari anaitwa Sanjay Pandey toka India anakuja nchini kufanya tiba ya mambo mbalimbali ikiwamo "gender assignment surgery" (kubadilisha jinsia).
Naomba kuuliza ni lini Serikali yetu kupitia Bunge la JMT lilipitisha sera ya kubadili jinsia.
Kama Serikali halijapitisha, basi chukua hatua za haraka kupitia namba za simu kwenye matangazo yao hapo chini.
View attachment 2971020View attachment 2971040
Jiuize, asingekuwa nao anakuja kufanya nini hapa Bongo?Kwa hiyo Doctor Sanjay PANDEY ana wateja wa kuaminika!!
Usije kuta baada ya kuzikata viungo vya wanaume hapa akaondoka navyo kwenda kuviuza IndiaJiuize, asingekuwa nao anakuja kufanya nini hapa Bongo?
Ni kweli kabisa, nani duniani asiyetaka mboo kubwa? Ni wanaume wa Dar tu ndiyo hawataki vitu vyaoUsije kuta baada ya kuzikata viungo vya wanaume hapa akaondoka navyo kwenda kuviuza India
Mbona ukitaka kujiua kwa hiyari halafu ukaponea chupuchupu mbona wanakushtaki?watu walienda Zambia kuuza vidole na serikali haikutoa kauli sembuse mtu kubadilisha jinsia yake tena kwa hiari yake.... kitu chochote ukikifanya kwa hiari yako kwa nchi yetu hilo sio kosa....!
Aliye zaliwa jinsia 2, anapoondolewa 1 na kubakiza moja, huyo anakuwa hajabadili.Je, unafahamu kwamba kuna baadhi ya watu wamezaliwa na 'biological abnormalities' za kuwa na Jinsia Mbili za kike na kiume na wangependa kuondoa jinsia moja ili wabaki na moja tu? Je, unafahamu uwepo wa watu wa namna hiyo hapa Tanzania?
Unataka watu wa namna hiyo waende wapi basi ili waweze kufanya surgery hiyo wanayohitaji???
Usifikiri kwamba watu wote wana fedha za kutosha za kuwawezesha kwenda kutibiwa nje ya nchi hii ya Tanzania.
Aidha, kama wewe umebahatika kuzaliwa bila ya kuwa na any biological abnormalities inayohitaji kurekebishwa kitabibu, basi unapaswa kumshukuru Mungu Sana, wapo baadhi ya wenzetu wamezaliwa na changamoto nzito sana ambazo ni ngumu hata kuzielezea hapa.
Naamini Wahudumu wa afya wananielewa vizuri sana kitu ninachojaribu kuelezea hapa.
vipi kuhusu kada zao? Hawapo kwenye specialization moja? Au huyu anaeweza kuondoa jinsia moja kitaalamu anaitwaje?Aliye zaliwa jinsia 2, anapoondolewa 1 na kubakiza moja, huyo anakuwa hajabadili.
ELEWA NENO " KUBADILI"
You nailed it.watu walienda Zambia kuuza vidole na serikali haikutoa kauli sembuse mtu kubadilisha jinsia yake tena kwa hiari yake.... kitu chochote ukikifanya kwa hiari yako kwa nchi yetu hilo sio kosa....!
Kuua na kubadili jinsia ni vitu viwili tofauti.Kwani mashoga hawafanyi kwa hiari yao?
Kama kujiua kwa hiari yako ni kosa sasa kwanini kubadili jinsia yako isiwe kosa?
Huyo ni bisexual, straight atakua yeye? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtoa hoja tafuta fedha,nani kakupa wewe haki ya kuhukumu?,mtu tako lake kapewa na muumba wake,anavyolitumia ni haki yake!,una uhakika wewe ni straight?
Tutoleee upuuzi wako hapa.Kwakifupi samia ana laana karuhusu ushoga, jamii forums pia inaunga mkono ushoga ndiyo maana nyuzi za kuhoji zikiletwa zinafutwa na mods maana jukwaa linadhaminiwa na mashoga.
nina wasiwasi na koment yako aiseesijaona mahali hilo tangazo limesema wanaenda Tanzania kwa ajili ya watu kubadili jinsia ila katika specialities za hao madaktari bingwa kuna ambaye anauzoefu na ujuzi pia wa kufanya hizo mbanga, tusivamie tu vitu bila kujua .mbona kuna madaktari pia ni upinde kabisa lakini wako huko kwenye mahospitali wanatibu na hamsemi? tusiwaharibie watu biashara zao.
Ona shoga hiliTutoleee upuuzi wako hapa.
Za mbuzi na noah tunakula kama supu kwenye mabaaNi huzuni kweli Mama Kafungua Nchi😂😂😂 vipi hawanunui na za wanyama niwauzie za Noah🐷🐷🐷 au Mbuzi wa Parokiani🐷🐷🐷
Nazungumzia wanao badili jinsia na siyo specialist anayefanya Kazi ya KUBADILI jinsia za wengine.vipi kuhusu kada zao? Hawapo kwenye specialization moja? Au huyu anaeweza kuondoa jinsia moja kitaalamu anaitwaje?