Waziri Gwajima, Serikali yetu Inaruhusu Gender Reassignment Surgery?

Mama hana kundi, yeye ni wa wote.
Wala rudhwa, watekaji. Wauaji , wana usalama, wacha Mungu, Wacha Shetani, wasagaji, mashoga hao eote ni wa kwake na wote anawapa nafasi kwa kuwateua serikalini.
 
Aliye zaliwa jinsia 2, anapoondolewa 1 na kubakiza moja, huyo anakuwa hajabadili.
ELEWA NENO " KUBADILI"
 
nina wasiwasi na koment yako aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…