johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ni kulingana na utafiti wa Bongo au ndiyo wana-import kila kitu?Waziri wa afya Dr Gwajima amesema katika watu 10 wanaokufa kwa uginjwa wa Corona 7 wanakuwa hawajachanjwa na 3 tu ndio waliovhanjwa
Utafiti unaonyesha hata hao watatu waliochanjwa hufariki kwa sababu huwa na magonjwa mengine nyemelezi.
Source: ITV habari
Me ashasanda kitambo sanaGwajima (Ke) Vs. (Me)
Hivi corona ipo tu!!??Waziri wa afya Dr Gwajima amesema katika watu 10 wanaokufa kwa ugonjwa wa Corona 7 wanakuwa hawajachanjwa na 3 tu ndio waliochanjwa.
Utafiti unaonyesha hata hao watatu waliochanjwa hufariki kwa sababu huwa na magonjwa mengine nyemelezi.
Source: ITV habari
Hao watatu kwa nini wanakufa??? Sichanji...Waziri wa afya Dr Gwajima amesema katika watu 10 wanaokufa kwa ugonjwa wa Corona 7 wanakuwa hawajachanjwa na 3 tu ndio waliochanjwa.
Utafiti unaonyesha hata hao watatu waliochanjwa hufariki kwa sababu huwa na magonjwa mengine nyemelezi.
Source: ITV habari
Magonjwa nyemelezi!Hao watatu kwa nini wanakufa??? Sichanji...
Wameshakufa wangapi?Waziri wa afya Dr Gwajima amesema katika watu 10 wanaokufa kwa ugonjwa wa Corona 7 wanakuwa hawajachanjwa na 3 tu ndio waliochanjwa.
Utafiti unaonyesha hata hao watatu waliochanjwa hufariki kwa sababu huwa na magonjwa mengine nyemelezi.
Source: ITV habari
Kaanza tena fiksi zake😀Waziri wa afya Dr Gwajima amesema katika watu 10 wanaokufa kwa ugonjwa wa Corona 7 wanakuwa hawajachanjwa na 3 tu ndio waliochanjwa.
Utafiti unaonyesha hata hao watatu waliochanjwa hufariki kwa sababu huwa na magonjwa mengine nyemelezi.
Source: ITV habari
hivi ni vioja,yaani uchanjwe korona halafu bado unaaugua korona na kufa sababu eti unamagonjwa nyemelezi ,nini maana ya chanjo sasa?Waziri wa afya Dr Gwajima amesema katika watu 10 wanaokufa kwa ugonjwa wa Corona 7 wanakuwa hawajachanjwa na 3 tu ndio waliochanjwa.
Utafiti unaonyesha hata hao watatu waliochanjwa hufariki kwa sababu huwa na magonjwa mengine nyemelezi.
Source: ITV habari
Waziri wa afya Dr Gwajima amesema katika watu 10 wanaokufa kwa ugonjwa wa Corona 7 wanakuwa hawajachanjwa na 3 tu ndio waliochanjwa.
Waziri muongo. Maana yake anataka kusema 30% ya watanzania wamechanja???? Yaani watanzania milioni 15 wamechanja??? Mungu tusaidie na huu uongo uishe basi ili tuijenge nchiUtafiti unaonyesha hata hao watatu waliochanjwa hufariki kwa sababu huwa na magonjwa mengine nyemelezi.
Source: ITV habari
Ilo swali lako ni kubwa sana kuwauliza mazuzu wa ccmNi kulingana na utafiti wa Bongo au ndiyo wana-import kila kitu?