#COVID19 Waziri Gwajima: Watu 7 kati ya watu 10 wanaokufa kwa Corona wanakuwa hawajachanjwa 3 tu ndio wamechanjwa!

#COVID19 Waziri Gwajima: Watu 7 kati ya watu 10 wanaokufa kwa Corona wanakuwa hawajachanjwa 3 tu ndio wamechanjwa!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Waziri wa afya Dr Gwajima amesema katika watu 10 wanaokufa kwa ugonjwa wa Corona 7 wanakuwa hawajachanjwa na 3 tu ndio waliochanjwa.

Utafiti unaonyesha hata hao watatu waliochanjwa hufariki kwa sababu huwa na magonjwa mengine nyemelezi.

Source: ITV habari
 
Waziri wa afya Dr Gwajima amesema katika watu 10 wanaokufa kwa uginjwa wa Corona 7 wanakuwa hawajachanjwa na 3 tu ndio waliovhanjwa

Utafiti unaonyesha hata hao watatu waliochanjwa hufariki kwa sababu huwa na magonjwa mengine nyemelezi.

Source: ITV habari
Ni kulingana na utafiti wa Bongo au ndiyo wana-import kila kitu?
 
Waziri wa afya Dr Gwajima amesema katika watu 10 wanaokufa kwa ugonjwa wa Corona 7 wanakuwa hawajachanjwa na 3 tu ndio waliochanjwa.

Utafiti unaonyesha hata hao watatu waliochanjwa hufariki kwa sababu huwa na magonjwa mengine nyemelezi.

Source: ITV habari
Hivi corona ipo tu!!??
 
Waziri wa afya Dr Gwajima amesema katika watu 10 wanaokufa kwa ugonjwa wa Corona 7 wanakuwa hawajachanjwa na 3 tu ndio waliochanjwa.

Utafiti unaonyesha hata hao watatu waliochanjwa hufariki kwa sababu huwa na magonjwa mengine nyemelezi.

Source: ITV habari
Hao watatu kwa nini wanakufa??? Sichanji...
 
Waziri wa afya Dr Gwajima amesema katika watu 10 wanaokufa kwa ugonjwa wa Corona 7 wanakuwa hawajachanjwa na 3 tu ndio waliochanjwa.

Utafiti unaonyesha hata hao watatu waliochanjwa hufariki kwa sababu huwa na magonjwa mengine nyemelezi.

Source: ITV habari
Wameshakufa wangapi?
 
Waziri wa afya Dr Gwajima amesema katika watu 10 wanaokufa kwa ugonjwa wa Corona 7 wanakuwa hawajachanjwa na 3 tu ndio waliochanjwa.

Utafiti unaonyesha hata hao watatu waliochanjwa hufariki kwa sababu huwa na magonjwa mengine nyemelezi.

Source: ITV habari
Kaanza tena fiksi zake😀
 
Kama vaccination coverage haijafika hata 1% ya population, ni sampling procedure gani ametumia ili kuweza kupata a representative sample. Atuwekee formula aliyotumia ku calaculate sample size na statistical power ili tuweze kuiamini hiyo data yake. Kwa sasa bongolala kila mtu ana PhD na anajiona ni mtafiti nguli....
 
Waziri wa afya Dr Gwajima amesema katika watu 10 wanaokufa kwa ugonjwa wa Corona 7 wanakuwa hawajachanjwa na 3 tu ndio waliochanjwa.

Utafiti unaonyesha hata hao watatu waliochanjwa hufariki kwa sababu huwa na magonjwa mengine nyemelezi.

Source: ITV habari
hivi ni vioja,yaani uchanjwe korona halafu bado unaaugua korona na kufa sababu eti unamagonjwa nyemelezi ,nini maana ya chanjo sasa?
 
Corona

 
Waziri wa afya Dr Gwajima amesema katika watu 10 wanaokufa kwa ugonjwa wa Corona 7 wanakuwa hawajachanjwa na 3 tu ndio waliochanjwa.
Utafiti unaonyesha hata hao watatu waliochanjwa hufariki kwa sababu huwa na magonjwa mengine nyemelezi.

Source: ITV habari
Waziri muongo. Maana yake anataka kusema 30% ya watanzania wamechanja???? Yaani watanzania milioni 15 wamechanja??? Mungu tusaidie na huu uongo uishe basi ili tuijenge nchi
 
Watupe takwimu za mwenendo wa chanjo nchini. Vipi mstakabali wa yule tabibu wa Mbeya na mkoba wake wa chanjo kitanda kwa kitanda kesha chanja wangapi hadi leo?
 
Na katika hao 10 wanaokufa ni wangapi wanakuwa wamepiga nyungu, wametafuna vitunguu na kujifukizisha ?
images - 2021-12-22T230235.754.jpeg
images - 2021-12-22T230248.362.jpeg
images - 2021-12-22T230242.687.jpeg
images - 2021-12-22T230259.540.jpeg
 
Back
Top Bottom