Huo uchambuzi na hitimisho (conclusion) hauko scientific kimaheHizo takwimu hazijafanyiwa mlinganisho wa kisayansi. Zingalikuwa na kaukweli kama nusu ya watanzania wangalikuwa wamechanja na nusu hawajachanja. Yaani kama uwiano (ratio ingalikuwa 1:1.
Sasa hali halisi ni kwamba kati ya watanzania milioni 60 ni millioni 1 tu ndiyo waliochanja. Hivyo ratio ni 60:1. Hii maana yake ni kuwa kama ngoma ingalikuwa draw kati ya wasiochanjwa na waliochanjwa (ie chanjo hazina effect ya kupunguza vifo) ratio ingalikuwa vifo 60:1 au 180:3. Sasa hii 7:3 maana yake ni kuwa waliokufa wakiwa wamechanja ni wengi zaidi kuliko wale waliokufa bila kuchanja. Hizi ni hesabu tu za uwiano. You need a controlled study.