kichakaa man
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 5,500
- 5,164
Tanganyika Kwa taarifa Yako ndiyo waliofanya mapinduzi Zanzibar na ndiyo waliamua kumuweka karume na kumtimua john okello sio kuwa hatujui historia tunajua ila Huwa hatuon umuhimu wa kubishana na Ndugu zetu.Soma historia hawakuungana Watu bali ziliungana Serikali katika sekta kadhaa tu
Hamza yuko sahihi Watanganyika wengi hawajui historia!
Una uhakika Zanzibar ni Wavivu?Tanganyika Kwa taarifa Yako ndiyo waliofanya mapinduzi Zanzibar na ndiyo waliamua kumuweka karume na kumtimua john okello sio kuwa hatujui historia tunajua ila Huwa hatuon umuhimu wa kubishana na Ndugu zetu.
Shida ya Zanzibar ni Moja tu uvivu
Bwashee king'ang'anizi aiseee[emoji1787][emoji1787]Zilizoungana ni nchi 2 Huru siyo Watu milioni 60 na milioni 2
Ukilielewa Hili hutapata shida kumuelewa mh Waziri Hamza!
umeongea ukweli nyerere na kigenge chake ndio waliofanya mauaji ya halaiki Zanzibar mwaka 1964.Tanganyika Kwa taarifa Yako ndiyo waliofanya mapinduzi Zanzibar na ndiyo waliamua kumuweka karume na kumtimua john okello sio kuwa hatujui historia tunajua ila Huwa hatuon umuhimu wa kubishana na Ndugu zetu.
Shida ya Zanzibar ni Moja tu uvivu
Huyo amekurupuka kutoka ubanda wa mbege......[emoji1787][emoji1787]Una uhakika Zanzibar ni Wavivu?
Hati ya Muungano iko Zanzibar pamoja na ya Jengo la Yanga aka Utopolo!Bwashee king'ang'anizi aiseee[emoji1787][emoji1787]
Nchi ni ARDHI ,WATU NA SIASA SAFI....
Sasa unawatoaje watu kwa kuwa tu halikutamkwa katika hati ya Muungano?!!!!
Mapato ya dhahabu ya GEITA yanatumiwa hata Zanzibar......
Umeamua kuishambulia Yanga kutokea huko kambini kwenu Ruangwa?!!!! [emoji1787][emoji1787]Hati ya Muungano iko Zanzibar pamoja na ya Jengo la Yanga aka Utopolo!
Watato wa mwinyi Mzanzibari, wanaongoza serikali zote mbili, ya muungano na ya mapinduziZanzibar Kuna Waziri anaitwa Hamza, hakuna anayemjua hasa bara, ametumwa ajenda ya kutikisa Muungano. Anatoa maneno ya chokochoko ili kutibua maji ya kisima.
Namshauri aliyemtuma ajitokeze, kwa kuwa anafahamika vizuri. Waziri Hamza ni kifaranga tu, na mama yake (mama kuku) ndiye aliyempa hadhi ya kuongea kwa cheo hicho. Bila cheo hicho asingeongea.
---
Pia soma
- Waziri Hamza: Mapato ya Muungano ukitoa matumizi kinachobaki ndio Tugawane Zanzibar na Bara na siyo hii 4.5% tunayopata sasa!
Yes ninao uhakikaUna uhakika Zanzibar ni Wavivu?
Ahsante ,je maneno ya Mwalimu Nyerere ni sheria mpaka leo? Swala Muungano mara zote linatazamwa na kujadiriwa kihisia tu nasio uhalisia. Tanganyika tunaupenda na kuhitaji huu Mungano sana lakini si kwamba hamna mapungufu au makosa.Hata kama haikutamka ama kuandikwa....maneno ya hayati Nyerere yanajitoleza kabisa...."Tanganyika ilifutwa ili isiweze kuimeza Zanzibar ambayo ni ndogo kieneo....ndogo kiidadi ya raia....".
Muungano wetu ni wa kipekee....hivi HURIA+FURSA zilizoko eneo la bara haziwasaidii wazanzibari ?!!!!
Hivi unajua kuwa bara kuna raia wengi wa Zanzibar kuliko walioko visiwani ?!!!!
Hivi unajua kuwa wazanzibari wana fursa kubwa ,pana na wasaa zaidi ya sisi wa huku bara ?!!!!
Mzanzibari anazuiwa kumiliki eneo la ukubwa gani huku bara?!!!
Je raia wa bara hana ukomo wa kumiliki eneo la ardhi upande wa visiwani ?!!!!
Mh.Hamza ayakumbuke na haya.....
#SiempreJMT[emoji120]
#MuunganoWetuNiBoraHiviUlivyo[emoji120]
Kwa tunaomjua Hamza tokea Bunge la Katiba hatumshangai
Ndiyo kisa Zanzibar hakuna unemployment. Vijana wao wakiitwa interview Wote wanachukuliwa hasa hizi taasisi za Muungano. Population Yao haifiki population ya Mkoa WA DSM. tutagawana Vipi na hawa Watu. ?Zanzibar Kuna Waziri anaitwa Hamza, hakuna anayemjua hasa bara, ametumwa ajenda ya kutikisa Muungano. Anatoa maneno ya chokochoko ili kutibua maji ya kisima.
Namshauri aliyemtuma ajitokeze, kwa kuwa anafahamika vizuri. Waziri Hamza ni kifaranga tu, na mama yake (mama kuku) ndiye aliyempa hadhi ya kuongea kwa cheo hicho. Bila cheo hicho asingeongea.
---
Pia soma
- Waziri Hamza: Mapato ya Muungano ukitoa matumizi kinachobaki ndio Tugawane Zanzibar na Bara na siyo hii 4.5% tunayopata sasa!