kichakaa man
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 5,500
- 5,164
Tanganyika Kwa taarifa Yako ndiyo waliofanya mapinduzi Zanzibar na ndiyo waliamua kumuweka karume na kumtimua john okello sio kuwa hatujui historia tunajua ila Huwa hatuon umuhimu wa kubishana na Ndugu zetu.Soma historia hawakuungana Watu bali ziliungana Serikali katika sekta kadhaa tu
Hamza yuko sahihi Watanganyika wengi hawajui historia!
Shida ya Zanzibar ni Moja tu uvivu