Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Kwanza nakusalimia sana Mhe Waziri wa Kilimo.
Nina mengi sana ya kusema lkn sitak nikuchoshe.
Kubwa zaidi nataka nikwambie kuwa leo Jumapili Wakulima wa korosho Lindi wameuza korosho zao kilo kwa efu 4150 kule Ruangwa na 4025 kule Nachingwea.
Wananchi wa mkoa huo wamefurahia mno korosho kuwa na soko zuri.
Waziri Bashe nimewasikia ndugu zangu wakisema mara ya mwisho watu wa Kusini kufurahia bei ya zao hilo ni mwaka 2019 wakati Rais Magufuli alipozinunua korosho zote.
Wananchi hata kwenda kujiandikisha wanaona shida tu maana kila mtu ananuka hela.
Ziara za Mhe Rais nje ya nchi zina manufaa makubwa na moja ya manufaa yake ndio haya sasa.
Mhe Bashe mfumo wa TMX hauna longo longo kaka, mambo yote ni online trading system na kila mtu anaona
Mwambie Dkt Samia Suluhu Hassan wananchi wa Mtwara na Lindi tunamuombea kwa mungu afya njema aendelee kutuletea neema.
Ombi langu wakulima wapewe elimu kwa sababu nchi zinazolima korosho duniani ziko 46 na kwa vile nchi nyingine hazijaanza msimu bado basi wakulima wakimbizane na minada ili kuwahi soko maana akina Cambodia, Ivory Coast Cameron india Nigeria vietnam wakianza tu huku tumekwisha.
Aidha naomba wakulima waelimishwe kupitia Wakuu wa Wilaya, ma das, ma ded maafisa Kilimo kata, matarafa nk kuwaelimisha wakulima kupeleka korosho safi ghalani ili wasiharibu soko
Unapiga kazi sana Bashe maana umepungua sana utadhan unaumwa kumbe kazi tu
Hongera Dkt Samia, Hongera Mhe Bashe Hongera Chama cha Mapinduzi.
Nina mengi sana ya kusema lkn sitak nikuchoshe.
Kubwa zaidi nataka nikwambie kuwa leo Jumapili Wakulima wa korosho Lindi wameuza korosho zao kilo kwa efu 4150 kule Ruangwa na 4025 kule Nachingwea.
Wananchi wa mkoa huo wamefurahia mno korosho kuwa na soko zuri.
Waziri Bashe nimewasikia ndugu zangu wakisema mara ya mwisho watu wa Kusini kufurahia bei ya zao hilo ni mwaka 2019 wakati Rais Magufuli alipozinunua korosho zote.
Wananchi hata kwenda kujiandikisha wanaona shida tu maana kila mtu ananuka hela.
Ziara za Mhe Rais nje ya nchi zina manufaa makubwa na moja ya manufaa yake ndio haya sasa.
Mhe Bashe mfumo wa TMX hauna longo longo kaka, mambo yote ni online trading system na kila mtu anaona
Mwambie Dkt Samia Suluhu Hassan wananchi wa Mtwara na Lindi tunamuombea kwa mungu afya njema aendelee kutuletea neema.
Ombi langu wakulima wapewe elimu kwa sababu nchi zinazolima korosho duniani ziko 46 na kwa vile nchi nyingine hazijaanza msimu bado basi wakulima wakimbizane na minada ili kuwahi soko maana akina Cambodia, Ivory Coast Cameron india Nigeria vietnam wakianza tu huku tumekwisha.
Aidha naomba wakulima waelimishwe kupitia Wakuu wa Wilaya, ma das, ma ded maafisa Kilimo kata, matarafa nk kuwaelimisha wakulima kupeleka korosho safi ghalani ili wasiharibu soko
Unapiga kazi sana Bashe maana umepungua sana utadhan unaumwa kumbe kazi tu
Hongera Dkt Samia, Hongera Mhe Bashe Hongera Chama cha Mapinduzi.