Waziri Innocent Bashungwa: Wasafi TV wanajutia kosa, wameomba msamaha na kuonesha nia ya kusimamia yasijirudie

Waziri Innocent Bashungwa: Wasafi TV wanajutia kosa, wameomba msamaha na kuonesha nia ya kusimamia yasijirudie

View attachment 1673648

Hatimaye Waziri wa Habari Mh Bashungwa ameanza mchakato haramu wa kuifungulia Wasafi TV iliyofungiwa na TCRA kwa utovu wa maadili baada ya kumruhusu anayejiita Giggy Money mtoto wa Lisalisa kucheza bila nguo kwenye tamasha lao .

Wiki iliyopita TCRA iliifungia WASAFI TV kwa miezi 6 .

Sababu za mchakato huo haramu zilizotolewa na Bashungwa hazina mashiko kwa vile vyombo vyote vilivyofungiwa na TCRA ikiwemo Kwanza Tv , Gazeti la MwanaHalisi , Mawio na TanzaniaDaima vilikuwa vimeajiri wafanyakazi kama ilivyofanya WASAFI TV lakini vimefungiwa moja kwa moja hadi sasa .

Ni vema Waziri akaweka wazi kwamba amepokea Amri kutoka mahali pengine ili kuifungulia Wasafi TV kwa vile ni wadau wa kampeni zilizododa za ccm kwenye uchaguzi mkuu wa 2020 , ikumbukwe kwamba Diamond Platnums ndiye alikuwa anaendesha kampeni za ccm huku chama chake kikikosa sera za kuwaambia wananchi baada ya kuendelelea kuwa masikini wa kutupwa kwa miaka 60 , hii ni kwa sababu aliyeshindwa jambo kwa muda mrefu wa miaka 60 hawezi kulitatua jambo lilelile kwa miaka mitano .

Kuita mchakato haramu ni kwa mtazamo wako tu nafikiri....uzito wa kosa pia unaangaliwa

Huwezi fananisha gazeti kama la mwanahalisi lililokuwa linagusa sehemu nyeti sana ukafananisha wa Wasafi tv ambayo kazi kubwa ni burudani hakuna ishu nyingine.

Vitu vingine inatakiwa utumie tu uelewa wa kawaida kuvichanganua, kama we ni mchambuzi wa mambo basi huwezi nambia kuwa utakuwa mgeni kwamba mara nyingi media zinazokuwa zinaandika mambo ya kuikosoa serikali huwa zinakumbana na mkono wa chuma na hii ipo kwenye nchi karibu zote.

Wasafi wale ni burudani tu hata wakifunguliwa hawana madhara
 
Kama hakuwa uchi nini sababu ya kugungiwa wasaf tv?
Ushamba +rohombaya + kuzaliwa vijijini+uzoba=kutulazimisha maisha ambayo kizazi cha SASA hakiyajui........ni sawa na useme kulikuwa na mgao WA maindi ya yanga taifa miaka hiyo....kijana WA SASA hata ajui hayo Mambo na hata akijua inamsaidia nini🤣🤣🤣🤣chefuuuuuuuuu
 
Kuita mchakato haramu ni kwa mtazamo wako tu nafikiri....uzito wa kosa pia unaangaliwa

Huwezi fananisha gazeti kama la mwanahalisi lililokuwa linagusa sehemu nyeti sana ukafananisha wa Wasafi tv ambayo kazi kubwa ni burudani hakuna ishu nyingine.

Vitu vingine inatakiwa utumie tu uelewa wa kawaida kuvichanganua, kama we ni mchambuzi wa mambo basi huwezi nambia kuwa utakuwa mgeni kwamba mara nyingi media zinazokuwa zinaandika mambo ya kuikosoa serikali huwa zinakumbana na mkono wa chuma na hii ipo kwenye nchi karibu zote.

Wasafi wale ni burudani tu hata wakifunguliwa hawana madhara

Kwahiyo jambo likiwa karibu kila nchi, linahalalishwa hapa nchini pia? Kwahiyo unaunga mkono uonevu ili serikali isisemwe ama? Kama wasafi wamefungiwa adhabu yao isimame kwa muda stahiki, vinginevyo itakuwa serikali haifanyi kwa uadilifu bali uonevu.
 
View attachment 1673648

Hatimaye Waziri wa Habari Mh Bashungwa ameanza mchakato haramu wa kuifungulia Wasafi TV iliyofungiwa na TCRA kwa utovu wa maadili baada ya kumruhusu anayejiita Giggy Money mtoto wa Lisalisa kucheza bila nguo kwenye tamasha lao .

Wiki iliyopita TCRA iliifungia WASAFI TV kwa miezi 6 .

Sababu za mchakato huo haramu zilizotolewa na Bashungwa hazina mashiko kwa vile vyombo vyote vilivyofungiwa na TCRA ikiwemo Kwanza Tv , Gazeti la MwanaHalisi , Mawio na TanzaniaDaima vilikuwa vimeajiri wafanyakazi kama ilivyofanya WASAFI TV lakini vimefungiwa moja kwa moja hadi sasa .

Ni vema Waziri akaweka wazi kwamba amepokea Amri kutoka mahali pengine ili kuifungulia Wasafi TV kwa vile ni wadau wa kampeni zilizododa za ccm kwenye uchaguzi mkuu wa 2020 , ikumbukwe kwamba Diamond Platnums ndiye alikuwa anaendesha kampeni za ccm huku chama chake kikikosa sera za kuwaambia wananchi baada ya kuendelelea kuwa masikini wa kutupwa kwa miaka 60 , hii ni kwa sababu aliyeshindwa jambo kwa muda mrefu wa miaka 60 hawezi kulitatua jambo lilelile kwa miaka mitano .
Hii haijawahi tokea. Nakumbuka hata kipindi kile Redio Iman ile ya waislam ya Morogoro ilitumikia kipindi chote cha adhabu sikuwahi kusikia utetezi uchwara kama huu.
 
Wasafi Tv wanajutia kosa, wameomba msamaha na kuonesha nia ya kusimamia yasijirudie, Wizara inaendelea na jitihada za kuona hili linapata mwelekeo utakaolinda ajira zilizozalishwa, uwekezaji uliofanyika bila kuvunja sheria za Nchi"-Waziri wa Habari Innocent Bashungwa

Taarifa: Darmpya Blog
Wangefungiwa tu washike adabu. Tv gani huwezi angalia na wanao?
 
tusubiri pongezi kwa awamu ya tano kulinda ajira za baba levo
 
Uchaguzi umeisha acha kinyongo kisa boss wao ulikuwa unamuona akitumbuiza kwenye majukwa ya CCM.

Sio kila kitu siasa, kosa limetendeka ila adhabu yenyewe sio proportionate.

Halafu kumbe ata huyo Gigy mwenyewe hakuwa mtupu kama awali tulivyoaminishwa ni nguo tu aliyovaa ilikuwa na michoro tata ndio shida yenyewe.
Bila shaka walikurupuka tu kutoa adhabu.
 
View attachment 1673648

Hatimaye Waziri wa Habari Mh Bashungwa ameanza mchakato haramu wa kuifungulia Wasafi TV iliyofungiwa na TCRA kwa utovu wa maadili baada ya kumruhusu anayejiita Giggy Money mtoto wa Lisalisa kucheza bila nguo kwenye tamasha lao .

Wiki iliyopita TCRA iliifungia WASAFI TV kwa miezi 6 .

Sababu za mchakato huo haramu zilizotolewa na Bashungwa hazina mashiko kwa vile vyombo vyote vilivyofungiwa na TCRA ikiwemo Kwanza Tv , Gazeti la MwanaHalisi , Mawio na TanzaniaDaima vilikuwa vimeajiri wafanyakazi kama ilivyofanya WASAFI TV lakini vimefungiwa moja kwa moja hadi sasa .

Ni vema Waziri akaweka wazi kwamba amepokea Amri kutoka mahali pengine ili kuifungulia Wasafi TV kwa vile ni wadau wa kampeni zilizododa za ccm kwenye uchaguzi mkuu wa 2020 , ikumbukwe kwamba Diamond Platnums ndiye alikuwa anaendesha kampeni za ccm huku chama chake kikikosa sera za kuwaambia wananchi baada ya kuendelelea kuwa masikini wa kutupwa kwa miaka 60 , hii ni kwa sababu aliyeshindwa jambo kwa muda mrefu wa miaka 60 hawezi kulitatua jambo lilelile kwa miaka mitano .
Una roho mbaya wewee,yani sijui ndo mngepata hayo madaraka mngekua mnawalisha watu sumu.

Nilitegemea ungetoa maoni Kama wengine wakiomba msamaha basi wafikiriwe.lakini ndo kwanza unashabikia waendelee kufungiwa.
Ndo Mana tunasema Bora adui umjuae kulikoa usilolijua.Dhamira ya viongozi wa Chadema na wanachama wao Ni roho mbaya ya visasi visvyo na huruma wakijificha ktk mwamvuli wa utetezi wa wananchi.
Mnaonekana tu humu jukwaani mnavyochangia haswa yakiwakumba majnga watu msiowapenda.
Hamna utu kabisaaaaa.
Nendeni zenu na genge lenu la Kijiji huko
 
Una roho mbaya wewee,yani sijui ndo mngepata hayo madaraka mngekua mnawalisha watu sumu.

Nilitegemea ungetoa maoni Kama wengine wakiomba msamaha basi wafikiriwe.lakini ndo kwanza unashabikia waendelee kufungiwa.
Ndo Mana tunasema Bora adui umjuae kulikoa usilolijua.Dhamira ya viongozi wa Chadema na wanachama wao Ni roho mbaya ya visasi visvyo na huruma wakijificha ktk mwamvuli wa utetezi wa wananchi.
Mnaonekana tu humu jukwaani mnavyochangia haswa yakiwakumba majnga watu msiowapenda.
Hamna utu kabisaaaaa.
Nendeni zenu na genge lenu la Kijiji huko
Mkuu Chadema inahusikaje na maoni yangu ?
 
Back
Top Bottom