fasiliteta
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 2,372
- 4,090
Angalia nafasi yako Kama kiongoz au mwanachama wa hicho kikundi chenu Cha chuki na kufurahi anguko la wengineMkuu Chadema inahusikaje na maoni yangu ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalia nafasi yako Kama kiongoz au mwanachama wa hicho kikundi chenu Cha chuki na kufurahi anguko la wengineMkuu Chadema inahusikaje na maoni yangu ?
saa zingine ukificha ujinga wako inapendeza zaidi, hivi unafahamu mchango wa crew ya wasafi ktk kufanikisha ccm ishinde (kama kweli ilishinda). Usifananishe WASAFI na hivyo vyombo vingine.Sababu za mchakato huo haramu zilizotolewa na Bashungwa hazina mashiko kwa vile vyombo vyote vilivyofungiwa na TCRA ikiwemo Kwanza Tv , Gazeti la MwanaHalisi , Mawio na TanzaniaDaima vilikuwa vimeajiri wafanyakazi kama ilivyofanya WASAFI TV lakini vimefungiwa moja kwa moja hadi sasa .
Kwaiyo ulitakaje adhabu iongezwe au ?Maboresho huwa yanaanza kufanya kazi kwa wale watakayoyakuta yamepitishwa rasmi
“ Wasafi Tv wanajutia kosa, wameomba msamaha na kuonesha nia ya kusimamia yasijirudie, Wizara inaendelea na jitihada za kuona hili linapata mwelekeo utakaolinda ajira zilizozalishwa, uwekezaji uliofanyika bila kuvunja sheria za Nchi"-Waziri wa Habari Innocent Bashungwa
Taarifa: Darmpya Blog
Tcra washaa kwambia alkua uchi,Kuwa uchi ni nini?
Labda tuanzie hapo!
Unaandika kama demu anayeomba atumiwe nauliMchawi ni ww, amekosea nn wakati karipoti kilichopo??
Tcra siyo mahakama!Tcra washaa kwambia alkua uchi,
Maeneo ya mwili yanayostahili kufunikwa na nguo yakiwa tupu huyo yupo uchi kijana.
Ukiona matiti ya mwanamke, mapaja huyo yupo uchi.
Likewise kwa mwanamume.
Kwa akili yako hiyo, Utaharibu watoto wako baadae.!Ushamba +rohombaya + kuzaliwa vijijini+uzoba=kutulazimisha maisha ambayo kizazi cha SASA hakiyajui........ni sawa na useme kulikuwa na mgao WA maindi ya yanga taifa miaka hiyo....kijana WA SASA hata ajui hayo Mambo na hata akijua inamsaidia nini[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]chefuuuuuuuuu
Wewe nawe zumbukuku Tu....... diamond alikuwa na kosa gani hapo........haafu nionyeshe huo uchi WA Gigi maana usiongee kama ujashikiwa figo......Kwa akili yako hiyo, Utaharibu watoto wako baadae.!
Uchi ni uchi tu hata baada ya miaka 100 ijayo, kwa tamaduni zetu za kiafrika hatutaki.![emoji20][emoji20]
Tuache kunajisi kizazi cha watoto kwa mambo ya kijinga.
We inaonesha hujui madhara kubadirish utamaduni hasa huu wa kigen uliombaya.Wewe nawe zumbukuku Tu....... diamond alikuwa na kosa gani hapo........haafu nionyeshe huo uchi WA Gigi maana usiongee kama ujashikiwa figo......
Diamond kama mkurugenzi inatakiwa aweke mfumo mzuri kwa watendaji wake kwamba vipande vya hovyo viwe vinaeditiwa.!Wewe nawe zumbukuku Tu....... diamond alikuwa na kosa gani hapo........haafu nionyeshe huo uchi WA Gigi maana usiongee kama ujashikiwa figo......