Yaani kila nikiisikiliza hiyo video na malalamiko ya jafo nashindwa kumuelewa alipatwa na tatizo gani maana anaonekana kabisa ana jambo lingine na uyo jamaa, jafo kwa hilo umeniangusha sanaWaende kanda ya ziwa, ndiyo kuna makondoo mengi na mazuzu ya kumwaga.
Sielewi jafo katelezaje maana kafanya jambo ambalo liko chini sana sana wakati haikuwa hulka yake na hataki hata kumsikiliza jamaa ajieleze kitu ambacho ni uonevu mkubwa sana na shida watumishi hawana mtetezi kabisa kwa sasaYaani lijafo limeonesha upopoma wa hali ya juu, huwa anaonekana ni mtu smart kumbe nae ni garbage tu.
Kwa sasa inawezeka tunasoma upepo na iwapo utaendelea kuvuma vibaya,basi wewe ndio unaweza kushughliliwa kwa kuondolewa hapo ulipo na huyo Meneja akarudishwa katika nafasi yake mara moja tena na pengine hata akapandishwa cheo.
Kipindi hiki ni kipindi cha uchaguzi, hivyo hakuna mwanasiasa anaetaka kujiaribia au kuaribiwa kwa makosa ya mwingine.
Unaweza kuamka na kukutana na Press release mitandaoni kuwa umetenguliwa.
Mawazo ya kukata tamaa hayoUnaweza kuamka na kukutana na Press release mitandaoni kuwa umetenguliwa.
Yaani hata upuuzi mnatetea???Jaffo aondolewe kwa kosa gani? kosa ni la huyo meneja kushindwa kualika watu, hata kwenye harusi watu wasipohudhuria makosa ni ya waandaaji, sio wenye harusi.
Jambo limezua jambo?Huu ni mpango na maagizo ya mkuu angalia sababu ya kumtumbua linganisha na Kanda anayotokea utajua sababu
Inaonyesha alitumwa kumuondoa, hata watu wange kuwepo angeuliza mbona taa haziwaki? Huyu Mhandisi alikuwa rafiki wa yule alie tumbuliwa last week. Kwa hiyo huu ni mwendelezo wa kufafia makombo. Tuta sikia mengi. Maana hawezi tuu kushuka kwenye gari na kuulizia watu badala ya kufanya ukaguzi wa kilicho mpeleka. Mbaya zaidi hata baada ya maamuzi yake ya kishabiki hakufanya ukaguzi.Wengi tumeona ile video ambapo waziri Jafo anamtumbua meneja wa TARURA Arusha kwasababu eti ameshindwa kuleta watu wengi kushuhudia ufunguzi wa barabara hiyo. Waziri Jafo anadai meneja wa TARURA anasaliti juhudi za JPM na kwamba kufungua barabara hiyo kimya kimya ni kuficha juhudi za JPM na hivyo akaamuru atumbuliwe.
Cha ajabu hakuzungumzia UBORA wa barabara ambalo ndilo jukumu haswa la meneja na sio wingi wa watu. Je, ni haki kwa meneja na mhandisi kukemewa kwa kutoleta umati wa watu katika ufunguzi huo? Ni haki kwa meneja kutumbuliwa tena hata baada ya kuomba msamaha kwa kosa ambalo si lake?
Barabara itapita wapi na wananchi wasiione hata utake uwaonyeshe kitu ambacho komepita kwenye maeneo yao.Mimi nadhani ni Sawa tu,
Maana yake halisi ni Sawa na Baba kujenga nyumba ya pili Halafu asiimbie familia yake kuwa amejenga nyumba nyingine mahali, Halafu akaweka wapangaji wasijue hata familia yake
Jaffo badala ya kuwasifia wananchi waliolipa kodi zilizotumika kujengea barabara anataka wananchi waje wamsifu mtu anayelipwa kusimamia matumizi ya kodi za wananchi.Yaani kila nikiisikiliza hiyo video na malalamiko ya jafo nashindwa kumuelewa alipatwa na tatizo gani maana anaonekana kabisa ana jambo lingine na uyo jamaa, jafo kwa hilo umeniangusha sana
Sielewi jafo katelezaje maana kafanya jambo ambalo liko chini sana sana wakati haikuwa hulka yake na hataki hata kumsikiliza jamaa ajieleze kitu ambacho ni uonevu mkubwa sana na shida watumishi hawana mtetezi kabisa kwa sasa
Ushamba umeshika hatamuKwani kazi ya Magufuli au serikali ya Tanzania.Yaani awamu hii ina ubinafsi sana hela ni za wananchi sio za Rais jamani tubalike
Hivi hao wananchi si wataziona hizo barabara au akiondoka jafo na barabara zinafutika?Safi sana