Sikujua huyu mzaramo anakick za kipuuzi kiasi hichoKwa sasa inawezeka tunasoma upepo na iwapo utaendelea kuvuma vibaya,basi wewe ndio unaweza kushughliliwa kwa kuondolewa hapo ulipo na huyo Meneja akarudishwa katika nafasi yake mara moja tena na pengine hata akapandishwa cheo.
Kipindi hiki ni kipindi cha uchaguzi, hivyo hakuna mwanasiasa anaetaka kujiaribia au kuaribiwa kwa makosa ya mwingine.
Unaweza kuamka na kukutana na Press release mitandaoni kuwa umetenguliwa.
Huwa nashangaa wanatumia kigezo kipi, jafo ni shidaEti huyu ndiyo kuna watu wanampigia chapuo naye kuwa anafaa kuwa Rais ajaye, kwa maamuzi kama haya kweli!?
Halijui kama linawajaza watu hasira yaani mamtu ya Ccm sijui yanakula bangi ya wapiHilo kosa ni la kumuondoa mtu kweli?Kwa taarifa yake watu kama yeye Jaffo ndio wanaosasabisha hii serikali ichukiwe kwa maamuzi kama haya
Najiuliza...hivi kazi ya manager wa Tarura ni kukusanya wananchi kwenye ziara za rais au ni kazi ya Pole poleHii ndio sababu ya kumtoa mtu kazini.......this is Insane....Nonsense
Nitajie hata mndengereko mmoja tu aliye hata na diploma tu unayemjua anayejulikana .HUWEZI LINGANISHA MZARAMO NA MNDENGEREKOHuyu mzaramo angalau wandengereko Wana akili kiduchu
Anyway muda unayoyoma aendelee kuzunguka huku na kule kumsifia mwanaume mwenzake ili jamaa akiamka siku hiyo hasije akalisahau jina lake.
Jafo kadhihirisha ile tabia na Usanii wa CCM kusomba watu kwenye Ma Fuso ili kupata Nyomi
Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo amemuondoa kwenye nafasi yake Meneja wa TARURA Jijini Arusha, Podia Mwankenja kwa kushindwa kukusanya Wananchi kushuhudia barabara zilizokamilika alizokuwa akizitembelea.
Waziri Jafo amesema, “Mnataka Serikali ionekane haijafanya kitu wakati Wananchi ndio barabara yao? Kama ni barabara ya Wananchi mbona Wananchi hawapo hapa? Au unataka Serikali ionekane haijafanya kitu katika maeneo yao?”
Waziri Jafo amemuhoji Meneja huyo ambaye pia ndio Mratibu wa barabara za Jijini humo “Kwanini hii tunazindua barabara hii Wananchi hawapo? Unataka Rais aonekane hajafanya kitu? Rais ameweka fedha hapa. Mmeficha halafu kesho na kesho kutwa mseme Rais hajafanya kitu?”
Aidha, Meneja huyo alipoanza kujitetea na kusema kuwa alidhani Mtendaji (Mkurugenzi) amefanyia kazi suala hilo, Waziri Jafo alimwambia “Wewe si barabara zako? Unafanya sabotage ili Rais aonekane hajafanya kitu halafu kesho Wananchi waseme hakuna lolote Rais amefanya?”
Waziri Jafo amemalizia “Ninyi ndio wataalamu mnaofanga Serikali ionekane haijafanya jambo wakati sisi hapa Arusha tumewekeza fedha nyingi. Mji wa Arusha tumetandaza Barabara ila wewe unaficha hata Wananchi hapa jirani wasijue tumeweka barabara”
Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo amemuondoa kwenye nafasi yake Meneja wa TARURA Jijini Arusha, Podia Mwankenja kwa kushindwa kukusanya Wananchi kushuhudia barabara zilizokamilika alizokuwa akizitembelea.
Waziri Jafo amesema, “Mnataka Serikali ionekane haijafanya kitu wakati Wananchi ndio barabara yao? Kama ni barabara ya Wananchi mbona Wananchi hawapo hapa? Au unataka Serikali ionekane haijafanya kitu katika maeneo yao?”
Waziri Jafo amemuhoji Meneja huyo ambaye pia ndio Mratibu wa barabara za Jijini humo “Kwanini hii tunazindua barabara hii Wananchi hawapo? Unataka Rais aonekane hajafanya kitu? Rais ameweka fedha hapa. Mmeficha halafu kesho na kesho kutwa mseme Rais hajafanya kitu?”
Aidha, Meneja huyo alipoanza kujitetea na kusema kuwa alidhani Mtendaji (Mkurugenzi) amefanyia kazi suala hilo, Waziri Jafo alimwambia “Wewe si barabara zako? Unafanya sabotage ili Rais aonekane hajafanya kitu halafu kesho Wananchi waseme hakuna lolote Rais amefanya?”
Waziri Jafo amemalizia “Ninyi ndio wataalamu mnaofanga Serikali ionekane haijafanya jambo wakati sisi hapa Arusha tumewekeza fedha nyingi. Mji wa Arusha tumetandaza Barabara ila wewe unaficha hata Wananchi hapa jirani wasijue tumeweka barabara”
kabisa, kabisa, haaa!!! hii kaliJafo namkubali ila sababu alizotoa kwa meneja wa TARURA ni za kijinga na kishamba kupindukia.
KweliKama unajua unajua tu,hauhitaji kujieleza sana watu wenyewe wataona tu
Jaffo aondolewe kwa kosa gani? kosa ni la huyo meneja kushindwa kualika watu, hata kwenye harusi watu wasipohudhuria makosa ni ya waandaaji, sio wenye harusi.