Hata Seif Sharif kwenye Uchaguzi wa marudio alitangaza kujitoa lakin hakutolewa kwenye karatasi za kupigia kura
Uchaguzi ni kama ndoa ya kikristo, kuingia rahisi ila kutoka sasa ...
Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo amesema vyama vya siasa ndivyo vimejitoa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa sio wagombea, na kwamba wagombea wa vyama vilivyojitoa waliokata rufaa, matokeo ya rufaa yakitoka na wakishinda, majina yao yatajumuishwa kwenye karatasi za uchaguzi..
Hoja:
Ivi mtu akienguliwa na chama huwa anabaki kuwa mwanachama? Na mtu akivuliwa uanachama na ni diwani au mbunge huwa anabaki na cheo chake? Hii sheria imetungwa lini?
Kwanini wanalazimisha ushiriki kwanini hawafurahi wapinzani kuwaachia waendelee kushinda bila lupingwa
Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo amesema vyama vya siasa ndivyo vimejitoa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa sio wagombea, na kwamba wagombea wa vyama vilivyojitoa waliokata rufaa, matokeo ya rufaa yakitoka na wakishinda, majina yao yatajumuishwa kwenye karatasi za uchaguzi..
Hoja:
Ivi mtu akienguliwa na chama huwa anabaki kuwa mwanachama? Na mtu akivuliwa uanachama na ni diwani au mbunge huwa anabaki na cheo chake? Hii sheria imetungwa lini?
Kwanini wanalazimisha ushiriki kwanini hawafurahi wapinzani kuwaachia waendelee kushinda bila lupingwa
Kwa akili zako wewe zilivyo vya mkia wa mbuzi, kwasababu ya kununulia chips mayai na boyfriend wa mama yako s moja utafurahi, kumsaidia na kumtetea boyfriend wa mama yako akimpiga mama yako kwa ile chips mayai uliyonunuliwa siku mojaHaijatumika demokrasia kuwakataza watu wasigombee
Mbowe anetumia ubabe
Ni sisi wanachama tumemtuma, Ni ubabe gani alioutumia?Haijatumika demokrasia kuwakataza watu wasigombee
Mbowe anetumia ubabe
Watu wanagombeaje wakati majina yao tayari yamesha katwa?Mbowe kuwakataza watu kugombea ni demokrasia???
Ni wazi kuwa katiba hairuhusu wagombea binafsi hivyo wagombea ambao vyama vyao vilivyowadhamini vimejitoa wamekosa sifa kugombea.
Waziri Jafo na chama chako mmevuruga uchaguzi kwa nia ya kutaka kujipa ya ile idadi kubwa ya wapigakura mliyoiandikisha kuwa yote inaipenda CCM! Kinachoonekana sasa ni jibu la kwanini mlilazimisha ipatikane idadi mkubwa ya wapigakura na hats kutishia kuwachukulia adhabu viongozi ambao maeneo yao yatashindwa kuandikisha watu wengi, hapa mlitegemea ushindi zaidi ya uchaguzi uliopita wa Rais.
Huyu siyo binadamu ni bonobo.Ni sisi wanachama tumemtuma, Ni ubabe gani alioutumia?
Kwani alipokuwa akitangaza CHADEMA kujitoa, alikuwa akitangaza akiwa chumbani kwake na mkewe?
Hamisha akili zako kutoka kisiginoni na kuzirejesha mahali pake, vinginevyo utajikuta unarudi nyuma Kila siku, Hadi utakuwa[emoji86][emoji87] nyani, wakati watu tulushatoka huko long time kitambo
Atakachofanya ni kuwa wameshinda rufaa wakati hata fomu zao hazionekani! Pia sasa wamechomekea kuwa na wagombea wa CCM nao wamekata rufaa kuonesha hakukua na upendeleo, propaganda za ajabu za enzi za kikomunisti!Watu wanagombeaje wakati majina yao tayari yamesha katwa?
Mbowe siye aliyeyakata majina ya wagombea, alichosema ni kuwa maadam hawana wagombea hivyo hawana sababu ya kushiriki.Mbowe kuwakataza watu kugombea ni demokrasia???
Mmh punguza ukali wa maneno πππUmemlala mke wangu? Hapana, nimekula tu kikojoleo chake!
Pumbafu kabisa, ndio Huyu Mzaramo anachotaka kutuambia....
Watawapitishwa tu wachache watakaoona kwao wanafaa,hata kama hana hata kura moja kwenye sanduku,atapishwa tu ili kujaribu kudanganya umma kwamba wapo na waupinzani waliopita. Na tutegemee lidubwasha kama hilo kwenye uchaguzi wa ubunge na udiwani 2020mfano. wana chadema wote hawaendi kupiga kura kwa kuwa uongozi umeamua chama hakitashiriki. sasa huyo mgombea atapigiwa kura na nani?
Lakini huyu Babu zinamtosha kweli? sianawajukuu wakulingana na Mshana Jr.........Code of conduct ni muhimu hususani ukiwa Waziri
π π π cheza kikangekange ..cheza kikakngekange π