Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Hata Seif Sharif kwenye Uchaguzi wa marudio alitangaza kujitoa lakin hakutolewa kwenye karatasi za kupigia kura
Uchaguzi ni kama ndoa ya kikristo, kuingia rahisi ila kutoka sasa ...
Uchaguzi wa Zanzibar ni wa mkoa, ni tofauti na huu wa nchi. Huu doa lake linakuwa wazi zaidi kuliko uchaguzi wa mkoa wa Zanzibar. Tunashukuru hii hali imejitokeza sasa, yale madai yetu ya mgombea binafsi yapate ushahidi baada ya kuhujimiwa na ccm.