Kelvin Richard
Senior Member
- Jul 26, 2017
- 123
- 87
Jafo yuko vizur ila ni muoga anamuogopa boss wake kwamba anaweza kumuangusha mda wowote'Confused government'.....eti huyu Jafo ndo wanasema ni presidential material duh ameshindwa kumdhibiti Magufuri kwa hilo, sasa anae aibika niyeye.....
CUF gani unayoiongelea kama hii ya LIPUMBAVU basi ww ni MPUMBAFU wa kiwango cha lami!!Ni wazi kuwa katiba hairuhusu wagombea binafsi hivyo wagombea ambao vyama vyao vilivyowadhamini vimejitoa wamekosa sifa kugombea.
Waziri Jafo na chama chako mmevuruga uchaguzi kwa nia ya kutaka kujipa ya ile idadi kubwa ya wapigakura mliyoiandikisha kuwa yote inaipenda CCM! Kinachoonekana sasa ni jibu la kwanini mlilazimisha ipatikane idadi mkubwa ya wapigakura na hats kutishia kuwachukulia adhabu viongozi ambao maeneo yao yatashindwa kuandikisha watu wengi, hapa mlitegemea ushindi zaidi ya uchaguzi uliopita wa Rais.
Hiyo CUF umeitoa wapi! Sioni popote nilipoandika kuhusu CUF au ninaota ndoto.CUF gani unayoiongelea kama hii ya LIPUMBAVU basi ww ni MPUMBAFU wa kiwango cha lami!!
Wagombea wa Chadema wameondolewa na CCM sasa Chadema itakwenda kumpigia kura nani?Mbowe kuwakataza watu kugombea ni demokrasia???
Sasa huyu hawezi kua Raisi kwa uoga huo hapo ndo angeonyesha kipaji chake cha uraisi nadhani angepata sapoti, kwa watanzania na wangemtathimini sana.....ila tu niwale wale wakina Nape Majaliwa Mwingulu January nk. Kua presidential material lazime uwe extra ordinary sio huyu na wezieJafo yuko vizur ila ni muoga anamuogopa boss wake kwamba anaweza kumuangusha mda wowote
Elezea ubabe ni nn na kati ya ccm na Mbowe nani amefana ubabe.Haijatumika demokrasia kuwakataza watu wasigombee
Mbowe ametumia ubabe
Mkienda kanisani mnasikika mkisema "niombeeni"!Naona Kuna mihemko hapa kwa jafo;
Chama ambacho watu wake wameshindwa kujaza fomu, mnawalazimisha kuwashirikisha ktk uchaguzi wenu! Je mnauhakika Sasa wataweza kuandika mapingamizi Kama kujaza fomu kuliwashinda?
Waliojitoa achana nao, CCM big up sana mmeshinda kwa asilimia 100%.
Lakini kumbuka haki huinua taifa, na Mungu hadhihakiwi Kama mnakwenda misikitini na makanisani, halafu mnafanya haya tunayoyaona ! basi ni vema mkabaki kuwa wapagani tu maana mfanyayo ni ya kipagani.
Hakuna hofu ya Mungu ndani yenu.
Hakuna Utu ndani yenu
Hakuna ubinadamu ndani yenu
Hamuamini ktk ushindani
Mmeangalia yasiyowaheshimisha
100% CCM ishinde.
Hii lazima Ni bangi tu, mara nyingi bangi hii hupatikana sehemu zenye baridi.Kwa akili zako wewe zilivyo vya mkia wa mbuzi, kwasababu ya kununulia chips mayai na boyfriend wa mama yako s moja utafurahi, kumsaidia na kumtetea boyfriend wa mama yako akimpiga mama yako kwa ile chips mayai uliyonunuliwa siku moja
Sio siri kwenye usimamizi wa mambo mengine Jafo alionyesha ubora na kwanini anastahili nafasi ile kwa kazi nzuri aliyo ionyesha.
Ila kwa hili la zoezi la uchaguzi wa serikali za mitaa, kauli zake na maamuzi yake yanaonyesha sauti ni ya kwake ila mipango haijui na ni ya wengine.
Mimi binafsi nimemsamehe japo najua analinda ugali wake huku anamwaga wa wengine.
View attachment 1258686
Kwa hiyo baadaye uchaguzi utabidi urudiwe kwa sababu mpinzani huyo hatakuwa na chama kinachomdhamini!Watawapitishwa tu wachache watakaoona kwao wanafaa,hata kama hana hata kura moja kwenye sanduku,atapishwa tu ili kujaribu kudanganya umma kwamba wapo na waupinzani waliopita. Na tutegemee lidubwasha kama hilo kwenye uchaguzi wa ubunge na udiwani 2020
Hivi ile kanuni ya ukitenguliwa uanachama automatically na nyazifa zako zimetenguliwa katika chama huwa hazifanyi kazi kwa viongozi WA serikali za mtaa????Sio siri kwenye usimamizi wa mambo mengine Jafo alionyesha ubora na kwanini anastahili nafasi ile kwa kazi nzuri aliyo ionyesha.
Ila kwa hili la zoezi la uchaguzi wa serikali za mitaa, kauli zake na maamuzi yake yanaonyesha sauti ni ya kwake ila mipango haijui na ni ya wengine.
Mimi binafsi nimemsamehe japo najua analinda ugali wake huku anamwaga wa wengine.
View attachment 1258686
Sasa hv katiba inaruhusu wagombea binafsi?
Unaelewa maana ya dhamana? Form walizojaza umezisoma ukaelewa role ya chama kinachotoa dhamana?Chama hakigombei, ila mwanachama.