kanankembe
Member
- Nov 4, 2019
- 85
- 50
Loh! Mbona kutapatapa kama kuku anayetaka kutaga? Bila shaka wameshikwa pabaya.Lkn katika sheria na kanuni hakuna kipengele kinachosema chama kinaweza kujitoa kwenye uchaguzi, bali mgombea anaweza kujitoa.
Huyo mgombea kama hana dhamana ya chama je ni mgombea halali? au kuna private candidates siku hizi?Anatakiwa atangaze mgombea aliyechukua fomu ndie atangaze kujitoa sio Chama.Chama hakikuomba popote kugombea.Hivyo hakina mandate ya kusema kinajitoa kwani chenyewe ndicho kilijaza fomu kuomba kugombea?
Tatizo wee mbwa unafikir kwa kutumia matako uchochoro uajua mwaka huu vijana wa lumumba mtazaa huku mnatembea chukueni ss huo ushindi wa mezani ulitaka Hilo tamko watolee mkunduni kwako? Km huna hoja kakojoe ukalaleChadema hakuna wanasheria huwezi Tama tamko uchochoroni halafu eti msimamizi wa uchaguzi alifanyie kazi awatoe wagombea wote wa Chadema waliopitishwa kwa kauki ya kijiweni ya Mbowe au Zitto Kabwe
Jafo Ana akili nyingi Yuko sahihi ni.mtetezi dhabiti wa wote waliopitishwa wapate haki yao
Mtu anasema nimejitoa, sitaki, wewe unasema nitakuweka kwa nguvu! Jafo, hivi unakosa kitu gani/unapata hasara gani/ipi mtu akijitoa?
Haijatumika demokrasia kuwakataza watu wasigombee
Mbowe ametumia ubabe
Jafo Yuko sahihi.
Mchakato ulishakamilika .
Mtu aliyegombea ndiye anatakiwa atangaze kujitoa sio atolewe na Chama Hadi dakika hi hakuna mgombea yeyote wa upinzani aliyetangaza yeye binafsi kujitoa kwa wasimamizi wa uchaguzi.Swala la kujitoa ni.la mgombea sio Chama.Chama hakikuomba kugombea.Na hakuna mahali kwenye fomu ya kugombea ambapo Chama kiliomba kugombea
Ccm kuna watu walioangalia tupu za mama zao na wakalaanika!Basi utasikia nimemaliza chuo kikuu nina masters nina madigrii. Si bora wazazi wako wangekuweka kwenye .....ndom wakatupa chooni
Anatakiwa atangaze mgombea aliyechukua fomu ndie atangaze kujitoa sio Chama.Chama hakikuomba popote kugombea.Hivyo hakina mandate ya kusema kinajitoa kwani chenyewe ndicho kilijaza fomu kuomba kugombea?