Waziri Jafo asema atabandika majina hata ya wale waliojitoa na kura zitapigwa

Waziri Jafo asema atabandika majina hata ya wale waliojitoa na kura zitapigwa

Ka
Anatakiwa atangaze mgombea aliyechukua fomu ndie atangaze kujitoa sio Chama.Chama hakikuomba popote kugombea.Hivyo hakina mandate ya kusema kinajitoa kwani chenyewe ndicho kilijaza fomu kuomba kugombea?
Kama chama hakikugombea mbona wagombea wameenguliwa kwa makosa ya kuandika jina LA chama kwa kifupi?
 
Basi waandike barua ya kujitoa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa kwa wahusika yaani hao wasimamizi wa uchaguzi au msajili wa vya siasa,wakiainisha mambo ambayo hawakuridhishwa nayo katika mchakato mzima wa uchaguzi,hapo huenda msajili akakaa nao meza moja kujua nini kifanyike,kumbuka baada ya kugomea uchaguzi wanaweza kuchukuliwa hatua kali za kisheria,lakini pia wanaweza kupata mwanga wa chaguzi zijazo zitakavyosimamiwa,wasitangaze tu kwenye vyombo vya habari kisha wakaa kimya.hali itakuwa mbaya sana mwakani,yule dada wanamwita mange kimambi aliwahi kusema kuna uwezekano kusiwe na mbunge hata mmoja wa upinzani bunge la awamu inayofuata.dalili zimeanza kuonekana mapema kwenye huu uchaguzi, tunaelekea kubaya sio siri.
mbna walipokosea form hawakuandikiwa barua za kuenguliwa?yaan hiz ndo akili kijiko,unafikiria umbal wa pua yako tu
 
Anatakiwa atangaze mgombea aliyechukua fomu ndie atangaze kujitoa sio Chama.Chama hakikuomba popote kugombea.Hivyo hakina mandate ya kusema kinajitoa kwani chenyewe ndicho kilijaza fomu kuomba kugombea?
Mlikataa mgombea binafsi,
 
Jafo Yuko sahihi.

Mchakato ulishakamilika .
Mtu aliyegombea ndiye anatakiwa atangaze kujitoa sio atolewe na Chama Hadi dakika hi hakuna mgombea yeyote wa upinzani aliyetangaza yeye binafsi kujitoa kwa wasimamizi wa uchaguzi.Swala la kujitoa ni.la mgombea sio Chama.Chama hakikuomba kugombea.Na hakuna mahali kwenye fomu ya kugombea ambapo Chama kiliomba kugombea
lakini unajua kabisa kuwa hatuna mgombea huru asiyetokana na chama, hivyo wogombea wote wanadhaminiwa na chama hivyo kama chama kimejitoa moja kwa moja na huyo mgombea anakosa sifa. Yaani hata ukivuliwa uanachama pia unakosa sifa
 
Anatakiwa atangaze mgombea aliyechukua fomu ndie atangaze kujitoa sio Chama.Chama hakikuomba popote kugombea.Hivyo hakina mandate ya kusema kinajitoa kwani chenyewe ndicho kilijaza fomu kuomba kugombea?

Kwani anaegombea anaweza pewa Nafasi ya kugombea (uwakilishi) bila ya kudhaminiwa na Chama ?
 
Anatakiwa atangaze mgombea aliyechukua fomu ndie atangaze kujitoa sio Chama.Chama hakikuomba popote kugombea.Hivyo hakina mandate ya kusema kinajitoa kwani chenyewe ndicho kilijaza fomu kuomba kugombea?
Chama unaiepuka vp? Ukikosa udhamini wa chama unakosa sifa za kugombea. Hatuna wagombea binafsi.
 
Nilitarajia Jaffo akutane na wanao jitoa kwenye uchaguzi.
 
mbna walipokosea form hawakuandikiwa barua za kuenguliwa?yaan hiz ndo akili kijiko,unafikiria umbal wa pua yako tu
Hii mbona.. mbona... ndio inawakost..sasa mimi na wewe hapo nani kafikiria umbali wa pua yake,mngekuwa mnajitambua kwa hivi vitu vidogo hata chama tawala kingekuwa kinashindwa namna ya kuburuza upinzani,haya mambo mbona wao wamefanya hivi...vile.... yanaonyesha hamjielewi,na ndio mnakandamizwa hapo,sasa subiri lungu la msajili,atawatafutia sababu halafu anawachinjia baharini mazima.ngoja tuone.
 
Amepaniki maskini

Yaonekana kuna watendaji serikalini wanampiga vita kali Rais Dr Magufuli, wale waliopo serikalini ni hatari kuliko waliopo nje! Kumbuka uchaguzi usipoenda sawa na kwa haki lawama huelekezwa kwa Rais wa nchi!! Yaonekana makundi ya kabla ya November 2015 bado yapo na yana nguvu though extremely weak kwa hiyo siyo raisi kuchafua sifa za Magufuli duniani! Tunawapa notisi they should with immediate effect stop undermining President Magufuli’s efforts of dealing with maladministration and “mafisadi”! Yawezekana wanaopiga kelele ndo wahusika wakuu mifano ipo ile ya “goli(bao) la mkono” liliishia wapi with their sinister movements!
 
Huu uchaguzi anatafutwa atakayewafaa wananchi wote sio wanachadema tu!!! Kama hawafai nyie wengine wanamtaka
Kuna jamaa anakuuliza suala la wanafunzi wanaopata mimba wewe unafuata chama au kauli ya Jiwe? Maana wanapingana.
 
Jafo Yuko sahihi.

Mchakato ulishakamilika .
Mtu aliyegombea ndiye anatakiwa atangaze kujitoa sio atolewe na Chama Hadi dakika hi hakuna mgombea yeyote wa upinzani aliyetangaza yeye binafsi kujitoa kwa wasimamizi wa uchaguzi.Swala la kujitoa ni.la mgombea sio Chama.Chama hakikuomba kugombea.Na hakuna mahali kwenye fomu ya kugombea ambapo Chama kiliomba kugombea
Wapeni uanachama ccm wagombee wawili kenge wewe .... Kama haujui kwamba chama ndio kina mdhamini mgombea bora kende zako tuzifanywe ngogwe ....
 
Mtu anasema nimejitoa, sitaki, wewe unasema nitakuweka kwa nguvu! Jafo, hivi unakosa kitu gani/unapata hasara gani/ipi mtu akijitoa?
Aibu na dhamira mbaya aliyokuwa nayo tokea awali ndivyo vinavyomtesa Waziri Jafo mpaka analazimisha kuwabandika wagombea wachache wa upinzani ili kuficha aibu zao.
 
Back
Top Bottom