Waziri Jafo na ndoa ya wake wanne - hii kitaalam imekaaje Mwalimu Kashasha?

Waziri Jafo na ndoa ya wake wanne - hii kitaalam imekaaje Mwalimu Kashasha?

Hilo swala la wake wanne atakuwa amelitamka kwa sababu za wivu/kinyongo tu.

Sioni kama kulikuwa na ulazima kulitaja.
Kwa Masaburi pia alilitaja, na alimuelekeza Mkurugenzi wa Musoma aoe dada zake Mwita Waitara kadhaa ndipo atamuheshimu. Si mara yake ya kwanza kuongelea subject kama hiyo
 
Kwa miswaki ya nimechoka, sijisikii, naumwa na Sababu lukuki tunazopewa na hawa wake zetu wa miaka hii, Hongera zake Mheshimiwa halali na njaa. Anauhakika huyu anazingua anaenda mlango wa pili anakamua akitoka hapo performance 100%
 
Direct proportional to 4*4 vimadas[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]hii siyo sifa nzuri sana ukiwa na boss mpenda shari[emoji135]tusubiri tu.
 
Maisha ya mtu binafsi tuweke pembeni tuangalie tu utendaji kazi . 'visionary leader"
 
Kwa Masaburi pia alilitaja, na alimuelekeza Mkurugenzi wa Musoma aoe dada zake Mwita Waitara kadhaa ndipo atamuheshimu. Si mara yake ya kwanza kuongelea subject kama hiyo
Pia aliwahi mwambia JK aongeze sababu wanaruhusiwa
 
Binafsi namkubali sana Sele Jaffo,anapiga sana kazi na hanaga makuzi wala show off yeye na kazi tu....uzuri kazi zake anazofanya zinajiuza.
 
Mzee alihofia maana jimboni kwa jafo ndo yupo bi mdogo mtokomeza zero mashuleni
 
Nilivoelewa mimi ni kama aliteuliwa Waziri lakini badala ya kufanya kazi ameishia kuoa hadi kufikisha wake wanne...

Pia hizo sifa za kufanya kazi vizuri alizopewa ni kama za kinafiki - Jafo ndo amekuwa akiwabana Wakuu wa Mikoa na Wilaya vipenzi wa Rais kama Bashite, Jerry Muro na kile kitoto uso wa mbuzi - Ali Happy ...

Muhongo aliposifiwa sana haikupita muda akatumbuliwa..

Hivyo hivyo Tizeba..

Hivyo hivyo Mwijage a.k.a Mzee wa Sound..

Hivyo hivyo Mwigulu..

Hivyo hivyo yule aliyebomoa Club ya Mbowe akiamini itamwokoa na kutumbuliwa, Nehemia Mchechu

Sasa Mh.Jafo, akili za kuambiwa changanya na zako!
Mwambie akuoe na wewe pia muwe watano
 
Back
Top Bottom