Waziri January Makamba anamaanisha Magufuli alikuwa akiwakatia umeme watumiaji wakubwa na kuwatisha wakae kimya?

unajua mtu anaweza kuropoka siri bila kujua!! tulimpa miaka sita then ..........??? tukamuondoa ???
 
Acheni kelele.. Hii wizara ina changamoto nyingi na hazijaanza leo wala jana.

Too early kumjudge vibaya Makamba aliyepewa wizara muda mfupi uliopita.

Nasisitiza ni mapema mno apewe muda zaidi..
Kama analijua hilo kwa nini yeye anatupia mzigo wa lawama awamu iliyopita na Waziri aliyemtangulia? Tulidhani yeye amespecialize kwenye Conflict Resolution angekuja na jawabu la uhakika la "tatizo sugu la umeme" na si kutupia mzigo wa lawama wasiokuwepo.Muda hatumpi,aonyeshe '"umahili wake uliotukuka" katika kutatua hili tatizo.Vinginevyo akubali kuwa yeye kwa ile Wizara ni maji marefu kwake,aachie wenye uwezo washike Wizara hiyo.
 
kwa hiyo kutabulate figures ndiyo kutatua tatizo la umeme? Hatuhitaji mbwembwe za makaratasi tunahitaji umeme wa uhakika,Period.
 

Bro,
Hoja yangu ni kuwa tuache muda umprove incompetent for that post, kwa maana kuwa suala la kukatika umeme sio tatizo la waziri bali ni Technical reasons ukiwemo na kuongeza installed capacity ya uzalishaji nchini.
Kama atashindwa kusolve hizo challenges hapo itabidi aondolewe mara moja, ila kwa sasa it's too early tumpe muda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…