Waziri January Makamba hana msaada wowote kwenye Wizara ya Nishati. Tumechoka!

Waziri January Makamba hana msaada wowote kwenye Wizara ya Nishati. Tumechoka!

Kwanini iwe sasa baada ya waziri Kalemani kutoka wizarani?
Swali lako ni kama lile la humu ndani hakujawahi kupotea pesa imekuaje? na wewe ndo mgeni humo. Kama hujaiba huna namna ya kuthibitisha mpaka ukweli ujidhihirishe.

Jibu la swali lako linalenga kuthibitisha kuwa makamba anatengeneza dili la majenereta wakati tayari mm nimeshasema naamini sivyo na i hope hatoniprove wrong. Nasubiri ukweli ujidhihirishe.
 
upo sahihi bt pia tuandae plan B ajili ya kukabiliana na hili tatizo maana umeme kwa sasa ndo engine ya wajasiriamali alafu unazingua kishenzi na wahusika hata hawajali.
Kuandaa plan b hiyo ni jukumu la kila mmoja kulingana na uhitaji wa hiyo nishati.

Hapa tunachofanya ni kufikisha ujumbe kwa wahusika awe ni waziri au hata mkuu wa nchi.

Wakae wakijua kuwa kwa sasa tatizo la umeme ni kubwa mno na hatujazoea mgao wa kiasi hiki.
 
Swali lako ni kama lile la humu ndani hakujawahi kupotea pesa imekuaje? na wewe ndo mgeni humo. Kama hujaiba huna namna ya kuthibitisha mpaka ukweli ujidhihirishe.

Jibu la swali lako linalenga kuthibitisha kuwa makamba anatengeneza dili la majenereta wakati tayari mm nimeshasema naamini sivyo na i hope hatoniprove wrong. Nasubiri ukweli ujidhihirishe.
Kwa Tanzania huo ni wimbo mzuri mbele ya mbuzi tu wao wanendelea na maisha yao kama kawaida tu.
 
Watu wapo pale Tanesco kwa mambo yao... January,Mafuru,Maharage,Nehemia ni lethal combination....
Nikuhakikishie JPM angekuwa hai hili jambo lingekuwa tofauti sana....
Personally nakubali kwenye usimamizi JPM was real deal.
Mkuu ujaanua tu matanga?
 
Kusema watu lazima waseme ndiyo maana kuna platform kama hapa jf.

Walio anzisha hili jukwaa hawakuwa wajinga maana walijua kuwa kuna mambo lazima yasemwe nje ya mfumo wa serikali.
upo sahihi mkuu bt lazima tuandae plan B ya kukabiliana na tatizo hili maana licha ya makelele ya kila siku wahusika hata hawajali kabisa
 
Yaani huo ni mzigo, Ni show off tu ndio anaweza. Hao ndio Mawaziri waliolelewa na Mzee "Vasco Da Gama". Ukifanya assessment ya utendaji wao ni kama yule Mzee wao Mswahili, hakuna kitu.
 
Kwa Tanzania huo ni wimbo mzuri mbele ya mbuzi tu wao wanendelea na maisha yao kama kawaida tu.
Wao kina nani boss? Hakuna wao na sisi kuna sisi.

Tupo ndani ya chumba kimoja kinaitwa TZ, akitokea mtu akakwapua trei la mayai kuna namna wote tunaumia.

Kama tumeingia kwenye siasa za dili basi jipange kukabiliana na matokeo yake na jinsi ya kukwepa athari zake kwako.
 
HAPA JANUARY HACHAFULIWI BALI WATU WANATOA NYONGO YAO KUTOKANA NA ADHA WANAYOPATA KWA UMEME KUKATIKAKATIKA NAHIVYO KUATHIRI MAISHA YAO!! SABABU ANAZOTOA JANUARY ZA UMEME KUWA KERO HAZIRIDHISHI!!!
Sababu za kuridhisha zilitakiwa ziweje kwani? Akizileta hizo sababu wataacha kutoa nyongo?
 
Watu mmelipwa kiasi gani kumchafua?
Hivi kweli mkuu kukatika kwa umeme ni suala la kumchafua mtu?Nenda hata fb,insta hadi mtaani kilio ni kukatika kwa umeme tu kitu ambacho kinaonekana kwa macho.Labda tukuulize wewe,umeme ukikatwa let say eneo zima la kariakoo wewe kwako tu panakuwa na umeme hadi usione maumivu wanayopitia watu?Mimi kwasasa nipo Tanga wilaya moja huku jirani na Bumbuli anakotoka Makamba umeme haipiti siku mbili haujakatika asubuhi nakurudi jioni.

Binafsi niliamini Makamba ni zaidi ya Kalemani lakini kumbe sivyo.Kwanini kuondoka tu kwa Kalemani ghafla umeme uanze kukatika katika?
 
Watakata zaidi na zaidi..

Hii ni rasha rasha tu subir mvua kamili
 
upo sahihi mkuu bt lazima tuandae plan B ya kukabiliana na tatizo hili maana licha ya makelele ya kila siku wahusika hata hawajali kabisa
Hilo la plan b lipo kwa kila mtu na umuhimu wa hiyo nishati.
 
Wao kina nani boss? Hakuna wao na sisi kuna sisi.

Tupo ndani ya chumba kimoja kinaitwa TZ, akitokea mtu akakwapua trei la mayai kuna namna wote tunaumia.

Kama tumeingia kwenye siasa za dili basi jipange kukabiliana na matokeo yake na jinsi ya kukwepa athari zake kwako.
Ndugu hata kama binadamu wote ni sawa .

Lkn huwezi kuwa sawa na life style ya waziri hata siku moja.
 
Back
Top Bottom