inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Hilo si limetolewa maelezo kwamba mfumo haukufanyiwa maintenance kipindi Cha magu wakiogopa kutumbuliwa!!..kwamba Kuna ufundi unaendelea,ukikamilika umeme utakua stableHAPA JANUARY HACHAFULIWI BALI WATU WANATOA NYONGO YAO KUTOKANA NA ADHA WANAYOPATA KWA UMEME KUKATIKAKATIKA NAHIVYO KUATHIRI MAISHA YAO!! SABABU ANAZOTOA JANUARY ZA UMEME KUWA KERO HAZIRIDHISHI!!!
Unapenda kumtetea January,kwa nini husemi wanaomtukana Magufuli wamelipwa,kenge weweWatu mmelipwa kiasi gani kumchafua?
Ni kweli Binadamu hawapo sawa lakini mkishakuwa kwenye chumba kimoja matendo ya binadamu kiongozi mmoja yanakuhusu moja kwa moja wewe anayekuongoza.Ndugu hata kama binadamu wote ni sawa .
Lkn huwezi kuwa sawa na life style ya waziri hata siku moja.
Achana naye huyo kenge,ni mpuuzi mmoja hiviMkuu unaamini kua watu wanachosema kukosekana huduma ya umeme ni uongo ?
kipindi anashika wizara alikuta kuna mgao?Ana muda gani tangu ashike Wizara?,punguza wenge.
Kalemani huwezi kumlinganisha na huyo February.Hivi kweli mkuu kukatika kwa umeme ni suala la kumchafua mtu?Nenda hata fb,insta hadi mtaani kilio ni kukatika kwa umeme tu kitu ambacho kinaonekana kwa macho.Labda tukuulize wewe,umeme ukikatwa let say eneo zima la kariakoo wewe kwako tu panakuwa na umeme hadi usione maumivu wanayopitia watu?Mimi kwasasa nipo Tanga wilaya moja huku jirani na Bumbuli anakotoka Makamba umeme haipiti siku mbili haujakatika asubuhi nakurudi jioni.
Binafsi niliamini Makamba ni zaidi ya Kalemani lakini kumbe sivyo.Kwanini kuondoka tu kwa Kalemani ghafla umeme uanze kukatika katika?
Swali zuri sanakipindi anashika wizara alikuta kuna mgao?
Nae amelipwa kiasi gani kutuletea huu mgao wa umeme?Watu mmelipwa kiasi gani kumchafua?
Sisi hatujali mtu,tunataka huduma.Acha kumshambulia Waziri. Hizo ni chuki zenu.
Yaani hizo wilaya za kilimo ndio zilitakiwa umeme uwe wa mgao.Huku town kwny uzalishaji umeme uwepo.Labda kwenu, huku kwetu bushirombo hatuna shida ya umeme
Mtu asiseme masaibu yake mnasema anamchafua....Watanzania tulio wengi mawazo yenu mgando sana...sasa amemchafua kwa lipi hapo?Watu mmelipwa kiasi gani kumchafua?
Achana na bogas hiloAnachafuliwa anaambiwa?
Wakati yupo kwao bumbuli Hana cheo kuna mtu alikuwa anamtaja?
Kukatika umeme kwa rate hiyo ni aibu kwa muda wa dunia ya sasa. Jana Posta nzima imeshinda haina umeme toka saa 3 MPAKA kumi watu wanaambaa hakuna stima kuanzia kisutu magistrates court, tanganyika library nk.Itoshe tu kusema kwa sasa hatuoni faida yoyote ya waziri wa nishati, huduma mbovu na za hovyo za sasa kwa mara ya mwisho tuliziona miaka ya 2012 huko
hapa nilipo mpaka sasa hakuna umeme tangu saa mbili asubuhi sasahivi inaelekea saa 12 jioni hakuna umeme,
mnategemea sisi wananchi tutafanyaje uzalishaji?
watu wana mitambo ya tofali wengine welding watu wana stationary na vengine vingi siku nzima umeme hakuna mnataka tuishije? na hiii sio mara ya kwanza ni mazoea sasa
sasa hv imezoeleka mtu ibapita siku nzima hujazalisha hata shilingi mia sababu ya umeme,
mbona kama mnatulazimisha tumkumbuke Magufuli?
tukiongea mnasema watanzania wamezoea kulalamika mbona hatuambiwi sababu ni nini ya mgao wa umeme?
mi naomba niulize hivi huu mgao wa umeme ulikua umesubiri kalemani atoke ndio uanze?
tunajuta ni bora hata angebaki medard kalemani
makamba hamna kitu kabisa
CCM sio wa kuendekeza tena, tumechoka tumechoka
Hiyo ndiyo ccm. Ni wajuzi wa kutengeneza tatizo bila kujali athari yake kwa wananchi, mkishaumia sanaaa, wanaleta mtu wa kulitatua , watanzania tulivyo na uwezo mdogo tunashamgilia huku tukipongeza na tukishukuru. Hapo wanakuwa wamewin. Kwa hili wala hutamsiki yule sijui shaka kama alivyohoji kwenye swala la machinga. Yupo kimyaaa! Watanzania tuamke tuache uvivu, tukatae huu ujinga. Inawezakanaje umeme toka asubuhi hadi usiku hakuna. Alafu si wizara, TANESCO ,wala mamlaka za nchi imejitokeza kuwambia watanzania tatizo. Bado tunaona ni kawaida.Itoshe tu kusema kwa sasa hatuoni faida yoyote ya waziri wa nishati, huduma mbovu na za hovyo za sasa kwa mara ya mwisho tuliziona miaka ya 2012 huko
hapa nilipo mpaka sasa hakuna umeme tangu saa mbili asubuhi sasahivi inaelekea saa 12 jioni hakuna umeme,
mnategemea sisi wananchi tutafanyaje uzalishaji?
watu wana mitambo ya tofali wengine welding watu wana stationary na vengine vingi siku nzima umeme hakuna mnataka tuishije? na hiii sio mara ya kwanza ni mazoea sasa
sasa hv imezoeleka mtu ibapita siku nzima hujazalisha hata shilingi mia sababu ya umeme,
mbona kama mnatulazimisha tumkumbuke Magufuli?
tukiongea mnasema watanzania wamezoea kulalamika mbona hatuambiwi sababu ni nini ya mgao wa umeme?
mi naomba niulize hivi huu mgao wa umeme ulikua umesubiri kalemani atoke ndio uanze?
tunajuta ni bora hata angebaki medard kalemani
makamba hamna kitu kabisa
CCM sio wa kuendekeza tena, tumechoka tumechoka
Watu mmelipwa kiasi gani kumchafua?
Mbolea elfub95 hatuwasikii wakilaumu ila January ukilala ukiamkaHAPA JANUARY HACHAFULIWI BALI WATU WANATOA NYONGO YAO KUTOKANA NA ADHA WANAYOPATA KWA UMEME KUKATIKAKATIKA NAHIVYO KUATHIRI MAISHA YAO!! SABABU ANAZOTOA JANUARY ZA UMEME KUWA KERO HAZIRIDHISHI!!!
Wataongoza wapi sasa maana uongozi una sifa zake? Labda mnaowapenda na kuwachaguaNdio