Waziri January Makamba, kuna fedha za miradi mipya ya umeme zimepitishwa bajeti 2022/2023 kwa kila Tanesco mikoa. Fedha hizo zifike mkoani mapema

Waziri January Makamba, kuna fedha za miradi mipya ya umeme zimepitishwa bajeti 2022/2023 kwa kila Tanesco mikoa. Fedha hizo zifike mkoani mapema

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
January Makamba , Waziri wa Nishati. Tunakuomba usikie kilio cha wananchi na kauli ya Rais ya kazi iendelee.

Kuna fedha za kufanya miradi mipya ya umeme kwa kila mkoa ulizitenga na kuzipitisha kwenye bunge bajeti ya 2022/2023.

Tunakuomba tuko chini ya miguu yako tunasali ili fedha hizo zifike kwa mameneja wa tanesco mikoa kwa ajili ya kutekeleza miradi hiyo ya umeme ili wansnchi wafaidike kupsta umeme na kusnzisha viwanda.

Tunaomba fedha zitumwe kabla ya July 2022, tayari kwa kuanza utekelezaji wa hiyo miradi.

Mungu akubariki sana.
 
January Makamba , waziri wa Nishati. Tunakuomba usikie kilio cha wananchi na kauli ya Rais ya kazi iendelee.
Kuna fedha za kufanya miradi mipya ya umeme kwa kila mkoa ulizitenga na kuzipitisha kwenye bunge bajeti ya 2022/2023.
Tunakuomba tuko chini ya miguu yako tunasali ili fedha hizo zifike kwa mameneja wa tanesco mikoa kwa ajili ya kutekeleza miradi hiyo ya umeme ili wansnchi wafaidike kupsta umeme na kusnzisha viwanda.
Tunaomba fedha zitumwe kabla ya July 2022, tayari kwa kuanza utekelezaji wa hiyo miradi.
Mungu akubariki sana.
Unazungumzia bajeti ya FY 2022/2023 then unasema fedha zitumwe kabla ya July 2022?
 
Hizo pesa huwa ni kidogo sana, unaweza kukuta mkoa mmoja na wilaya zake 6 imetengwa bilioni si zaidi ya mbili Kwa ajili ya miradi hiyo, si ya kutegemea sana na hata fedha huwa haziji kwa wakati, ushenzi mtupu
 
Back
Top Bottom