Pre GE2025 Waziri Jenista Mhagama agalagala chini ikiwa ni ishara ya kumshukuru Rais Samia kwa miradi jimbo kwake

Pre GE2025 Waziri Jenista Mhagama agalagala chini ikiwa ni ishara ya kumshukuru Rais Samia kwa miradi jimbo kwake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Waziri wa Afya ambaye pia ni Mbunge wa Peramiho, Jenista Mhagama akigalagala ikiwa ni ishara ya kumshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kutokana na miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika jimbo lake, wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipotembelea na kuzungumza ya wananchi wa jimbo hilo, leo Jumanne Septemba 24, 2024.

My jicho ......

Tuseme kwamba huu ni uchawa au ni udhaifu kwa kiongozi kuonyesha kitu kama hichi kwani alishindwa kushukuru kawaida hadi kufanya alichokifanya binafsi natafsiri ni ushamba wa maarifa. Ifike mahali hawa viongozi wafanye mambo yao kwa uwelidi na sio kuongozwa na mihemuko fulani.

Soma Pia: Kilombero: Mbunge apiga Magoti Kumshukuru Rais Samia kwa Barabara

Snapinsta.app_461054338_545471604565975_8071883766470126917_n_1080.jpg
 
Kwa hakika kazi aliyoifanya RAIS Samia ndani ya hii Miaka anastahili pongezi na kuungwa mkono.maana ni kama ndoto vile.

Kwa sababu huwezi kuamini katika muda na miaka hiyo mitatu ameweza kukamilisha Bwawa la umeme la Mwalimu Nyerere,ujenzi wa reli ya kisasa kabisa ya umeme, utoaji wa Elimu bure hadi kidato cha sita,kuongeza bajeti ya wizara ya kilimo kufikia Trilioni moja na pointi,kutiririsha zaidi ya Trilioni sita secta ya Afya ,ujenzi wa barabara mbalimbali Nchini, ujenzi wa hospitali bora na za kisasa na zenye vifaa bora na vya kisasa. Ujenzi wa vyumba vya madarasa zaidi ya elfu 20 na mengine mengi sana.

Kama vile kuwapandisha madaraja na kuwalipa malimbikizo ya madeni yao watumishi wa umma,kutoa ajira kwa vijana na mengine mengi
 
Back
Top Bottom