Na kweli siasa zina wenyeweSi ndio maana nikasema haya mambo hautakiwi uyatilie maanani sana Kwa mustakabali wa afya ya akili, nafsi na mwili wako mjukuu wangu. Relax.
Uwe na asubuhi njema.
Yaani mtu anawanga mchana kweupe jua linawaka tena mbele ya RaisiWaziri wa Afya ambaye pia ni Mbunge wa Peramiho, Jenista Mhagama akigalagala
Siyo utamaduni ni upumbavu na ushirikina tupuNi Uhuni kabisa. Watu wanadai ni Utamaduni .... Yaaani awamu ya kwanza Nyerere, miaka 23 hatukona hii kitu. Akaja Mwinyi awamu ya pili miaka 10 hatukuona Wangoni wakifanya haya. Akafuata Mkapa awamu ya tatu miaka 10 hakuna hii kitu. Kikwete awamu ya 4 miaka 10 hatukuuona huu utamaduni. Yaani hata kwa Mtemi Magufuli awamu ya 5 hii kitu haikutokea halafu kuna mtu anataka tuamini kuwa ni utamaduni wa Kingoni. Seriuously. Au wanafanyiwa Wanawake tu...!!?
Such a disgraced voluptuous creature.Waziri wa Afya ambaye pia ni Mbunge wa Peramiho, Jenista Mhagama akigalagala ikiwa ni ishara ya kumshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kutokana na miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika jimbo lake, wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipotembelea na kuzungumza ya wananchi wa jimbo hilo, leo Jumanne Septemba 24, 2024.
My jicho ......
Tuseme kwamba huu ni uchawa au ni udhaifu kwa kiongozi kuonyesha kitu kama hichi kwani alishindwa kushukuru kawaida hadi kufanya alichokifanya binafsi natafsiri ni ushamba wa maarifa. Ifike mahali hawa viongozi wafanye mambo yao kwa uwelidi na sio kuongozwa na mihemuko fulani.
Soma Pia: Kilombero: Mbunge apiga Magoti Kumshukuru Rais Samia kwa Barabara
Ni wakati mwafaka wa kuwapima utimamu wa akili wateule kabla hawajaapishwa.Waziri wa Afya ambaye pia ni Mbunge wa Peramiho, Jenista Mhagama akigalagala ikiwa ni ishara ya kumshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kutokana na miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika jimbo lake, wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipotembelea na kuzungumza ya wananchi wa jimbo hilo, leo Jumanne Septemba 24, 2024.
My jicho ......
Tuseme kwamba huu ni uchawa au ni udhaifu kwa kiongozi kuonyesha kitu kama hichi kwani alishindwa kushukuru kawaida hadi kufanya alichokifanya binafsi natafsiri ni ushamba wa maarifa. Ifike mahali hawa viongozi wafanye mambo yao kwa uwelidi na sio kuongozwa na mihemuko fulani.
Soma Pia: Kilombero: Mbunge apiga Magoti Kumshukuru Rais Samia kwa Barabara
Chief Hangaya ndio mara yake ya kwanza kwenda Songea toka achukue mamlaka ya urais pia labda ndio miradi imekamilika.Yah right. Miaka yote alikuwa wapi kugalagala mpaka amsubiri Chief Hangaya. Acheni ujinga hapa.
Tupe uzoefu mkuuShida mguu wa pili sijaona umekaaje.
ila Kama umekaa Kama huu unao onekana bila Shaka hata wewe jibu unalo.
Aaaah we vipi ?Tupe uzoefu mkuu
Wenyeji wanaita KUGALAUKA
Nja mojawapo ya kteuliwa mbunge na uwazri- hakna zaidi. Ndpo tlipo fkia... dah!Waziri wa Afya ambaye pia ni Mbunge wa Peramiho, Jenista Mhagama akigalagala ikiwa ni ishara ya kumshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kutokana na miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika jimbo lake, wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipotembelea na kuzungumza ya wananchi wa jimbo hilo, leo Jumanne Septemba 24, 2024.
My jicho ......
Tuseme kwamba huu ni uchawa au ni udhaifu kwa kiongozi kuonyesha kitu kama hichi kwani alishindwa kushukuru kawaida hadi kufanya alichokifanya binafsi natafsiri ni ushamba wa maarifa. Ifike mahali hawa viongozi wafanye mambo yao kwa uwelidi na sio kuongozwa na mihemuko fulani.
Soma Pia: Kilombero: Mbunge apiga Magoti Kumshukuru Rais Samia kwa Barabara
Akina Lucas MwashambwaKweli kabisa aisee,wangoni kwa uchawi hawajambo
Mama wa hovyo kabisa huyuWaziri wa Afya ambaye pia ni Mbunge wa Peramiho, Jenista Mhagama akigalagala ikiwa ni ishara ya kumshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kutokana na miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika jimbo lake, wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipotembelea na kuzungumza ya wananchi wa jimbo hilo, leo Jumanne Septemba 24, 2024.
My jicho ......
Tuseme kwamba huu ni uchawa au ni udhaifu kwa kiongozi kuonyesha kitu kama hichi kwani alishindwa kushukuru kawaida hadi kufanya alichokifanya binafsi natafsiri ni ushamba wa maarifa. Ifike mahali hawa viongozi wafanye mambo yao kwa uwelidi na sio kuongozwa na mihemuko fulani.
Soma Pia: Kilombero: Mbunge apiga Magoti Kumshukuru Rais Samia kwa Barabara
Mambo ya ajabu ajabuHata Samia atakuwa amesikitika sana. Kwani si wananchi wanalipa kodi kwa ajili ya miradi ya maendeleo? Huu ni uchawa na ushamba sijui