Pre GE2025 Waziri Jenista Mhagama agalagala chini ikiwa ni ishara ya kumshukuru Rais Samia kwa miradi jimbo kwake

Pre GE2025 Waziri Jenista Mhagama agalagala chini ikiwa ni ishara ya kumshukuru Rais Samia kwa miradi jimbo kwake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Si ndio maana nikasema haya mambo hautakiwi uyatilie maanani sana Kwa mustakabali wa afya ya akili, nafsi na mwili wako mjukuu wangu. Relax.

Uwe na asubuhi njema.
Na kweli siasa zina wenyewe

Asante babu, na kwako pia
 
Ni Uhuni kabisa. Watu wanadai ni Utamaduni .... Yaaani awamu ya kwanza Nyerere, miaka 23 hatukona hii kitu. Akaja Mwinyi awamu ya pili miaka 10 hatukuona Wangoni wakifanya haya. Akafuata Mkapa awamu ya tatu miaka 10 hakuna hii kitu. Kikwete awamu ya 4 miaka 10 hatukuuona huu utamaduni. Yaani hata kwa Mtemi Magufuli awamu ya 5 hii kitu haikutokea halafu kuna mtu anataka tuamini kuwa ni utamaduni wa Kingoni. Seriuously. Au wanafanyiwa Wanawake tu...!!?
Siyo utamaduni ni upumbavu na ushirikina tupu
 
Waziri wa Afya ambaye pia ni Mbunge wa Peramiho, Jenista Mhagama akigalagala ikiwa ni ishara ya kumshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kutokana na miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika jimbo lake, wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipotembelea na kuzungumza ya wananchi wa jimbo hilo, leo Jumanne Septemba 24, 2024.

My jicho ......

Tuseme kwamba huu ni uchawa au ni udhaifu kwa kiongozi kuonyesha kitu kama hichi kwani alishindwa kushukuru kawaida hadi kufanya alichokifanya binafsi natafsiri ni ushamba wa maarifa. Ifike mahali hawa viongozi wafanye mambo yao kwa uwelidi na sio kuongozwa na mihemuko fulani.

Soma Pia: Kilombero: Mbunge apiga Magoti Kumshukuru Rais Samia kwa Barabara

Such a disgraced voluptuous creature.
 
This country is sick seriously....
Na anaitwa mh. waziri Tena wa afya??
 
Waziri wa Afya ambaye pia ni Mbunge wa Peramiho, Jenista Mhagama akigalagala ikiwa ni ishara ya kumshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kutokana na miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika jimbo lake, wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipotembelea na kuzungumza ya wananchi wa jimbo hilo, leo Jumanne Septemba 24, 2024.

My jicho ......

Tuseme kwamba huu ni uchawa au ni udhaifu kwa kiongozi kuonyesha kitu kama hichi kwani alishindwa kushukuru kawaida hadi kufanya alichokifanya binafsi natafsiri ni ushamba wa maarifa. Ifike mahali hawa viongozi wafanye mambo yao kwa uwelidi na sio kuongozwa na mihemuko fulani.

Soma Pia: Kilombero: Mbunge apiga Magoti Kumshukuru Rais Samia kwa Barabara

Ni wakati mwafaka wa kuwapima utimamu wa akili wateule kabla hawajaapishwa.
 
Screenshot_20240925-171228.jpg

Huyo ni Raisi mstaafu wa Malawi akipiga goti mbele ya Raisi mstaafu wa Tanzania Jakaya.

Kumbuka enzi hizo wote walikuwa madarakani (in power).

Jk wangu hapo kafuraahi, moyoni mwemwele mwemwele!
 
Yah right. Miaka yote alikuwa wapi kugalagala mpaka amsubiri Chief Hangaya. Acheni ujinga hapa.
Chief Hangaya ndio mara yake ya kwanza kwenda Songea toka achukue mamlaka ya urais pia labda ndio miradi imekamilika.
 
Kawaida kwa wanawake wa kingoni, mke wangu alishangaa bi mkubwa na wamama wengine walipogalauka baada ya wife kujifungua, 😆😆😆wife yeye ni mtu wa Tanga
Wenyeji wanaita KUGALAUKA
 
Waziri wa Afya ambaye pia ni Mbunge wa Peramiho, Jenista Mhagama akigalagala ikiwa ni ishara ya kumshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kutokana na miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika jimbo lake, wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipotembelea na kuzungumza ya wananchi wa jimbo hilo, leo Jumanne Septemba 24, 2024.

My jicho ......

Tuseme kwamba huu ni uchawa au ni udhaifu kwa kiongozi kuonyesha kitu kama hichi kwani alishindwa kushukuru kawaida hadi kufanya alichokifanya binafsi natafsiri ni ushamba wa maarifa. Ifike mahali hawa viongozi wafanye mambo yao kwa uwelidi na sio kuongozwa na mihemuko fulani.

Soma Pia: Kilombero: Mbunge apiga Magoti Kumshukuru Rais Samia kwa Barabara

Nja mojawapo ya kteuliwa mbunge na uwazri- hakna zaidi. Ndpo tlipo fkia... dah!
 
Waziri wa Afya ambaye pia ni Mbunge wa Peramiho, Jenista Mhagama akigalagala ikiwa ni ishara ya kumshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kutokana na miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika jimbo lake, wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipotembelea na kuzungumza ya wananchi wa jimbo hilo, leo Jumanne Septemba 24, 2024.

My jicho ......

Tuseme kwamba huu ni uchawa au ni udhaifu kwa kiongozi kuonyesha kitu kama hichi kwani alishindwa kushukuru kawaida hadi kufanya alichokifanya binafsi natafsiri ni ushamba wa maarifa. Ifike mahali hawa viongozi wafanye mambo yao kwa uwelidi na sio kuongozwa na mihemuko fulani.

Soma Pia: Kilombero: Mbunge apiga Magoti Kumshukuru Rais Samia kwa Barabara

Mama wa hovyo kabisa huyu
 
Hata Samia atakuwa amesikitika sana. Kwani si wananchi wanalipa kodi kwa ajili ya miradi ya maendeleo? Huu ni uchawa na ushamba sijui
Mambo ya ajabu ajabu
 
Back
Top Bottom