Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,681
- 8,241
There you go ... ... the cake is too small to share, if you believe.Ikiwa kuna watu wamekwapua ma B kadhaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
There you go ... ... the cake is too small to share, if you believe.Ikiwa kuna watu wamekwapua ma B kadhaa
Elimu , MTU ana Ka Diploma ataacha kujikomba!Mm huyu mama tangu aanze kupewa vyeo sijawah kumkubali hata kidogo. Mbaya zaid anakaunafiki flan hiv cha kijinga sana.
Yawezekana ni mfaidika wa mfumo wa dhuruma za ajira zilizopo. Waajiri binafsi na hasa wahindi wanawapunja sana waajiriwa waafrika. Wanahenyeshwa sana kazi kwa malipo duni kwa sababu wanajua ukiondoka 1000 wapo nje ya gate wanasubiria nafasi hiyo na hata maafisa wa kazi toka serikalini waliingia bahasha ndani mna laki wanaondoka kimya.Acha ujinga....kwenye suala la economy,demands and supplies ndio inayorun flows ya cash na sio elimu yako.....unaweza kua na master,lakini production yako ni ndogo mnoo kuliko mtu aiyeishia la nne .......ukiona haulipwi kulingana na skills zako,jua una skills duni zisizo na manufaa ......rahisi tu kama ungekua nazo,usingekubali kuajiriwa na kulipwa ujira mdogo,ungezitumia kujizalishia wewe mwenyewe