Waziri Jenista, vijana wapo maofisini lakini wanalipwa mishahara ya dharau kabisa

Huyo mwenye master's na akalipwa laki mbili ni wale wanaosema nitafanya kazi kwa mshahara wowote...
 
Yawezekana ni mfaidika wa mfumo wa dhuruma za ajira zilizopo. Waajiri binafsi na hasa wahindi wanawapunja sana waajiriwa waafrika. Wanahenyeshwa sana kazi kwa malipo duni kwa sababu wanajua ukiondoka 1000 wapo nje ya gate wanasubiria nafasi hiyo na hata maafisa wa kazi toka serikalini waliingia bahasha ndani mna laki wanaondoka kimya.
 
huyo maza ni wahovyo kabisa kunasiku nape na mama salma kikwete waliwasha moto bungeni kuhusu barabara za kusini
chaajabu huyu maza akaanza kuongea ujingaujinga eti wakusini wasione wanatengwa hata yeye ni wakusini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…