Waziri Jerry Silaa apiga marufuku ujenzi holela wa Vituo vya Mafuta

Waziri Jerry Silaa apiga marufuku ujenzi holela wa Vituo vya Mafuta

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Waziri mpya wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi ambaye pia ni Mbunge wa Ukonga Dar es salaam @JerrySilaa ametangaza kusimamisha ujenzi holela wa Vituo vya mafuta Nchini Tanzania na kutaka ujenzi wowote unaofanywa kuanzia sasa kuzingatia sheria ya kutovisonganisha vituo.

Waziri Silaa ameyasema haya katika mkutano wake na Watendaji wa Wizara hiyo ikiwa ni siku yake ya kwanza Ofisini toka aapishwe kuwa Waziri ambapo amesisitiza kuwa Vituo vya ndani ya Mji kuwe na umbali wa mita mia mbili kati ya kituo kimoja hadi kingine.
 
Takwimu zinaonyesha kwamba huyu Jamaa alipokuwa Meya wa Ilala , alivunja rekodi ya kuuza maeneo ya wazi , sasa leo akiongea ngoja tumcheki tu .
Meya hana mamlaka ya kuuza ardhi ya serikali kuu wala ya halmashauri. Labda huelewi wenye mamlaka ya ardhi za Tanzania ni nani.

Kafanye homework yako vizuri, si wote ni mambumbumbu wenzako JF.
 
Kwani ufisadi unaruhusiwa na katiba? Mbona Kila mwaka wizi ufisadi unaanikwa na CAG? Same to Jerry, kufanya lobbying mtu auziwe open space sio jukumu lake ila ndio hivyo alipiga hela sana.

Hata JPM alipokua anatoa maagizo hifadhi ya Barabara iondolewe mabango ni huyu huyu dogo alipinga kwa kejeli kisa tu alikua mfukoni mwa wafanyabiashara.

So acha kutetea ujinga
Una haki ya kwenda kushitaki, unangoja nini?
 
Vibali watoe wao...

Wakitelekeza watangaze pia waliowazuia titashuhudia.. je malipo ya Masai wataweza lipa nao ndio wahusika..

Porojo.. why hawana vikao vya ndani bila media!!!!!
 
Waziri mpya wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi ambaye pia ni Mbunge wa Ukonga Dar es salaam @JerrySilaa ametangaza kusimamisha ujenzi holela wa Vituo vya mafuta Nchini Tanzania na kutaka ujenzi wowote unaofanywa kuanzia sasa kuzingatia sheria ya kutovisonganisha vituo.

Waziri Silaa ameyasema haya katika mkutano wake na Watendaji wa Wizara hiyo ikiwa ni siku yake ya kwanza Ofisini toka aapishwe kuwa Waziri ambapo amesisitiza kuwa Vituo vya ndani ya Mji kuwe na umbali wa mita mia mbili kati ya kituo kimoja hadi kingine.
Kumekucha😳😳😳😳
 
Waziri mpya wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi ambaye pia ni Mbunge wa Ukonga Dar es salaam @JerrySilaa ametangaza kusimamisha ujenzi holela wa Vituo vya mafuta Nchini Tanzania na kutaka ujenzi wowote unaofanywa kuanzia sasa kuzingatia sheria ya kutovisonganisha vituo.

Waziri Silaa ameyasema haya katika mkutano wake na Watendaji wa Wizara hiyo ikiwa ni siku yake ya kwanza Ofisini toka aapishwe kuwa Waziri ambapo amesisitiza kuwa Vituo vya ndani ya Mji kuwe na umbali wa mita mia mbili kati ya kituo kimoja hadi kingine.
Hivi ujenzi holela wa Vituo vya Mafuta ndio unakuaje? Hizi ni kiki za Kisiasa za kijinga.

Na Je kama sheria inayotumika ni ya zamani Kuna tatizo gani kufutwa au kuwa ignored?

Vituo vya Mafuta ni biashara kuvisongamanisha sio hoja ya maana ,hizi ni kiki za Kutafutia hela za kuhongwa.

Badala apige marufuku ujenzi holela wa makazi analeta upuuzi
 
Hivi ujenzi holela wa Vituo vya Mafuta ndio unakuaje? Hizi ni kiki za Kisiasa za kijinga.
...
Badala apige marufuku ujenzi holela wa makazi analeta upuuzi
Hahahaaaaa.

Tutasikia na kuona mengi kutoka kwa Wateule wa Serikali iliyoko madarakani kwani kila mmoja wao ni kambale (ndevu), kwa ombwe la uongozi
 
Waziri mpya wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi ambaye pia ni Mbunge wa Ukonga Dar es salaam @JerrySilaa ametangaza kusimamisha ujenzi holela wa Vituo vya mafuta Nchini Tanzania na kutaka ujenzi wowote unaofanywa kuanzia sasa kuzingatia sheria ya kutovisonganisha vituo.

Waziri Silaa ameyasema haya katika mkutano wake na Watendaji wa Wizara hiyo ikiwa ni siku yake ya kwanza Ofisini toka aapishwe kuwa Waziri ambapo amesisitiza kuwa Vituo vya ndani ya Mji kuwe na umbali wa mita mia mbili kati ya kituo kimoja hadi kingine.
Haka kajamaa kala rusha kakubwa kanafanya maigizo matupu
 
Back
Top Bottom