Waziri Jerry Silaa apiga marufuku ujenzi holela wa Vituo vya Mafuta

Waziri Jerry Silaa apiga marufuku ujenzi holela wa Vituo vya Mafuta

Haka kajamaa kala rusha kakubwa kanafanya maigizo matupu
Mbunge Shamsi Vuai Nahodha, Mbunge wa kuteuliwa, kwenye Bunge la April, 2023, Dodoma alisema Tanzania haina utaratibu mzuri wa kuwaandaa viongozi wa baadaye na kwamba ndilo tatizo la kusababisha upungufu kwa baadhi ya maeneo na matokeo yake ndio haya tunayosikia na kuona.

Kila chama kina Matawi ya Vijana, ambayo kimsingi yanapaswa kutumika kuandaa viongozi wa kesho toka ngazi za Shina hadi Taifa. Je, hayo Matawi ya Vijana yanatumika hivyo?
 
Hivi ujenzi holela wa Vituo vya Mafuta ndio unakuaje? Hizi ni kiki za Kisiasa za kijinga.

Na Je kama sheria inayotumika ni ya zamani Kuna tatizo gani kufutwa au kuwa ignored?

Vituo vya Mafuta ni biashara kuvisongamanisha sio hoja ya maana ,hizi ni kiki za Kutafutia hela za kuhongwa.

Badala apige marufuku ujenzi holela wa makazi analeta upuuzi
Hili dish Leo linakamata channel vizuri.
 
Waziri mpya wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi ambaye pia ni Mbunge wa Ukonga Dar es salaam @JerrySilaa ametangaza kusimamisha ujenzi holela wa Vituo vya mafuta Nchini Tanzania na kutaka ujenzi wowote unaofanywa kuanzia sasa kuzingatia sheria ya kutovisonganisha vituo.

Waziri Silaa ameyasema haya katika mkutano wake na Watendaji wa Wizara hiyo ikiwa ni siku yake ya kwanza Ofisini toka aapishwe kuwa Waziri ambapo amesisitiza kuwa Vituo vya ndani ya Mji kuwe na umbali wa mita mia mbili kati ya kituo kimoja hadi kingine.

Hivi ujenzi holela wa Vituo vya Mafuta ndio unakuaje? Hizi ni kiki za Kisiasa za kijinga.

Na Je kama sheria inayotumika ni ya zamani Kuna tatizo gani kufutwa au kuwa ignored?

Vituo vya Mafuta ni biashara kuvisongamanisha sio hoja ya maana ,hizi ni kiki za Kutafutia hela za kuhongwa.

Badala apige marufuku ujenzi holela wa makazi analeta upuuzi
Brother hiyo ni kiki hakuna kitu kingine. Kwani NEMC na watendaji wengine wa serikali walikuwa wapi kabla ya Jerry slaa.

Au yeye jerry slaa alikuwa wapi hata kulisemea bungeni?
 
Waziri mpya wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi ambaye pia ni Mbunge wa Ukonga Dar es salaam @JerrySilaa ametangaza kusimamisha ujenzi holela wa Vituo vya mafuta Nchini Tanzania na kutaka ujenzi wowote unaofanywa kuanzia sasa kuzingatia sheria ya kutovisonganisha vituo.

Waziri Silaa ameyasema haya katika mkutano wake na Watendaji wa Wizara hiyo ikiwa ni siku yake ya kwanza Ofisini toka aapishwe kuwa Waziri ambapo amesisitiza kuwa Vituo vya ndani ya Mji kuwe na umbali wa mita mia mbili kati ya kituo kimoja hadi kingine.
SUMBAWANGA MJINI KUNA KITUO KINAJENGWA MITA 20 TOKA VILIPO VITUO VINGINE
 
Meya hana mamlaka ya kuuza ardhi ya serikali kuu wala ya halmashauri. Labda huelewi wenye mamlaka ya ardhi za Tanzania ni nani.

Kafanye homework yako vizuri, si wote ni mambumbumbu wenzako JF.
Anaweza akawa na hoja.Kwa wakati ule ardhi ilikuwa chini ya usimamizi wa mamlaka za serikali za mitaa.Kwa hiyo hizo mamlaka ndiyo zilikuwa na mamlaka za kugawa viwanja na meya ndiyo bosi wa mamlaka husika.
 
Waziri mpya wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi ambaye pia ni Mbunge wa Ukonga Dar es salaam @JerrySilaa ametangaza kusimamisha ujenzi holela wa Vituo vya mafuta Nchini Tanzania na kutaka ujenzi wowote unaofanywa kuanzia sasa kuzingatia sheria ya kutovisonganisha vituo.

Waziri Silaa ameyasema haya katika mkutano wake na Watendaji wa Wizara hiyo ikiwa ni siku yake ya kwanza Ofisini toka aapishwe kuwa Waziri ambapo amesisitiza kuwa Vituo vya ndani ya Mji kuwe na umbali wa mita mia mbili kati ya kituo kimoja hadi kingine.
Huyu Wizara imeshamshinda asbhi na mapema
 
Takwimu zinaonyesha kwamba huyu Jamaa alipokuwa Meya wa Ilala , alivunja rekodi ya kuuza maeneo ya wazi , sasa leo akiongea ngoja tumcheki tu .
Fulsa, fulsa, fulsa, ameona fulsa mapama na fasta so kupiga stop hiyo kitu kwake ni fulsa, lazima mtu aje mezani kuyajenga na Waziri.

Maisha lazima yaendelee hapa 😄!.
 
Waziri mpya wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi ambaye pia ni Mbunge wa Ukonga Dar es salaam @JerrySilaa ametangaza kusimamisha ujenzi holela wa Vituo vya mafuta Nchini Tanzania na kutaka ujenzi wowote unaofanywa kuanzia sasa kuzingatia sheria ya kutovisonganisha vituo.

Waziri Silaa ameyasema haya katika mkutano wake na Watendaji wa Wizara hiyo ikiwa ni siku yake ya kwanza Ofisini toka aapishwe kuwa Waziri ambapo amesisitiza kuwa Vituo vya ndani ya Mji kuwe na umbali wa mita mia mbili kati ya kituo kimoja hadi kingine.
Aanze na Lake Oil, sasa hivi vitaumana.
 
Takwimu zinaonyesha kwamba huyu Jamaa alipokuwa Meya wa Ilala , alivunja rekodi ya kuuza maeneo ya wazi , sasa leo akiongea ngoja tumcheki tu .
Ila we si uko Kyela,pigania ya Ngyeke, Ipande, Ipinda, Matema, Itungi
 
Hana mamlaka hayo. Badala ya kutafuta sifa nyepesi angeongea na Halmashauri zitunge sheria ya kuzuia hivyo vitu.

Amandla...
 
Waziri mpya wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi ambaye pia ni Mbunge wa Ukonga Dar es salaam @JerrySilaa ametangaza kusimamisha ujenzi holela wa Vituo vya mafuta Nchini Tanzania na kutaka ujenzi wowote unaofanywa kuanzia sasa kuzingatia sheria ya kutovisonganisha vituo.

Waziri Silaa ameyasema haya katika mkutano wake na Watendaji wa Wizara hiyo ikiwa ni siku yake ya kwanza Ofisini toka aapishwe kuwa Waziri ambapo amesisitiza kuwa Vituo vya ndani ya Mji kuwe na umbali wa mita mia mbili kati ya kituo kimoja hadi kingine.
Mheshimiwa Waziri Jerry Slaa
Kwanza nakupongeza kwa kuteuliwa kwako kuwa waziri wa ardhi.
La pili nakupa tu angalizo hao waliojenga vituo vya mafuta wanabaraka zote za serekali kutoka idara zote ikiwemo wizara yako na EWURA.LABDA NIKUULIZE SWALI je ni vituo vipi vimejengwa ndani ya mita mia mbili ????
Mi nadhani moja ya kazi kubwa uliyonayo ni kuhakikisha wananchi hawadhulumiwi maeneo yao na hao wafanyakazi walioko katika wizara yako !!!!!!!
 
Waziri mpya wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi ambaye pia ni Mbunge wa Ukonga Dar es salaam @JerrySilaa ametangaza kusimamisha ujenzi holela wa Vituo vya mafuta Nchini Tanzania na kutaka ujenzi wowote unaofanywa kuanzia sasa kuzingatia sheria ya kutovisonganisha vituo.

Waziri Silaa ameyasema haya katika mkutano wake na Watendaji wa Wizara hiyo ikiwa ni siku yake ya kwanza Ofisini toka aapishwe kuwa Waziri ambapo amesisitiza kuwa Vituo vya ndani ya Mji kuwe na umbali wa mita mia mbili kati ya kituo kimoja hadi kingine.
Okay
 
Back
Top Bottom