Waziri Jerry Silaa yupo wapi?

Waziri Jerry Silaa yupo wapi?

Ukweli nashangaa kabisa. Yani kubadilishiwa wizara ndio kupotea? Au kupotezwa? Kwani huko mawasiliano hakuna kiki? Hakuna kero za moja kwa moja kama ardhi?

Au ni waziri mpya wa ardhi hana ajenda? Au Jerry alimaliza kero zote? Aisee...! Kwa hiyo huko mawasiliano waziri kakosa hoja za kuja nazo public?

Wandugu tumpe waziri ajenda huko mawasiliano. Naanza na hii ya mtoa huduma kutoa siri z za wateja
huyu huwa mbeleko mbeleko hana la maana kwenye jamii, jimboni kwake barabara movu zimeoza huwezi amini kama ndio ilala jiji
 
Ukweli nashangaa kabisa. Yani kubadilishiwa wizara ndio kupotea? Au kupotezwa? Kwani huko mawasiliano hakuna kiki? Hakuna kero za moja kwa moja kama ardhi?

Au ni waziri mpya wa ardhi hana ajenda? Au Jerry alimaliza kero zote? Aisee...! Kwa hiyo huko mawasiliano waziri kakosa hoja za kuja nazo public?

Wandugu tumpe waziri ajenda huko mawasiliano. Naanza na hii ya mtoa huduma kutoa siri z za wateja
YUKO WIZARANI.
 
Ukweli nashangaa kabisa. Yani kubadilishiwa wizara ndio kupotea? Au kupotezwa? Kwani huko mawasiliano hakuna kiki? Hakuna kero za moja kwa moja kama ardhi?

Au ni waziri mpya wa ardhi hana ajenda? Au Jerry alimaliza kero zote? Aisee...! Kwa hiyo huko mawasiliano waziri kakosa hoja za kuja nazo public?

Wandugu tumpe waziri ajenda huko mawasiliano. Naanza na hii ya mtoa huduma kutoa siri z za wateja
Nimejikuta nacheka sana ila sijui kwanini na cheka
 
Ukweli nashangaa kabisa. Yani kubadilishiwa wizara ndio kupotea? Au kupotezwa? Kwani huko mawasiliano hakuna kiki? Hakuna kero za moja kwa moja kama ardhi?

Au ni waziri mpya wa ardhi hana ajenda? Au Jerry alimaliza kero zote? Aisee...! Kwa hiyo huko mawasiliano waziri kakosa hoja za kuja nazo public?

Wandugu tumpe waziri ajenda huko mawasiliano. Naanza na hii ya mtoa huduma kutoa siri z za wateja
Usikariri sana,kila Wizara ina mifumo yake ya kiutendaji na haifanani!!
 
Hujanielewa. Tulia
Tulia wwe,au mnataka hadi Jerry Silaa afunguwe simu ya Boni yai direct kupitia tcra, alafu muaanze kulia waziri hafuati sheria kafungua simu ya Boni yai na ushahidi wa mauwaji ya Mzee Kibao yaanza kupata mwanga!!
 
Kaona kumbe watanzania ukiwatetea wakiisha pata haki zao wanakusema hufai sasa bora nijikalie kimya nile mshahara watanzania usiwasaidie watakubeza
 
Ukweli nashangaa kabisa. Yani kubadilishiwa wizara ndio kupotea? Au kupotezwa? Kwani huko mawasiliano hakuna kiki? Hakuna kero za moja kwa moja kama ardhi?

Au ni waziri mpya wa ardhi hana ajenda? Au Jerry alimaliza kero zote? Aisee...! Kwa hiyo huko mawasiliano waziri kakosa hoja za kuja nazo public?

Wandugu tumpe waziri ajenda huko mawasiliano. Naanza na hii ya mtoa huduma kutoa siri z za wateja
Mbona hata magufuli alpo bafilshwa Toka ujenzi kwenda uvuvi alikuwa bubu
Alipokuwa ujenzi alikariri km za brbr uvuvi akishindwa kabisa kukariri idadi ya samaki baharuni
 
Mbona hata magufuli alpo bafilshwa Toka ujenzi kwenda uvuvi alikuwa bubu
Alipokuwa ujenzi alikariri km za brbr uvuvi akishindwa kabisa kukariri idadi ya samaki baharuni
Alikuwa anajua idadi ya samaki waliopo Tanzania !
 
Ukweli nashangaa kabisa. Yani kubadilishiwa wizara ndio kupotea? Au kupotezwa? Kwani huko mawasiliano hakuna kiki? Hakuna kero za moja kwa moja kama ardhi?

Au ni waziri mpya wa ardhi hana ajenda? Au Jerry alimaliza kero zote? Aisee...! Kwa hiyo huko mawasiliano waziri kakosa hoja za kuja nazo public?

Wandugu tumpe waziri ajenda huko mawasiliano. Naanza na hii ya mtoa huduma kutoa siri z za wateja
Dah...
It5 sad.
 
Mbona hata magufuli alpo bafilshwa Toka ujenzi kwenda uvuvi alikuwa bubu
Alipokuwa ujenzi alikariri km za brbr uvuvi akishindwa kabisa kukariri idadi ya samaki baharuni
Kwa hiyo unamshutumu kwa kushindwa kujua idadi ya samaki?
 
Ukweli nashangaa kabisa. Yani kubadilishiwa wizara ndio kupotea? Au kupotezwa? Kwani huko mawasiliano hakuna kiki? Hakuna kero za moja kwa moja kama ardhi?

Au ni waziri mpya wa ardhi hana ajenda? Au Jerry alimaliza kero zote? Aisee...! Kwa hiyo huko mawasiliano waziri kakosa hoja za kuja nazo public?

Wandugu tumpe waziri ajenda huko mawasiliano. Naanza na hii ya mtoa huduma kutoa siri z za wateja
Watakuwa washamshughulikia, alileta ujinga kimbelembele
 
Back
Top Bottom