huyu huwa mbeleko mbeleko hana la maana kwenye jamii, jimboni kwake barabara movu zimeoza huwezi amini kama ndio ilala jijiUkweli nashangaa kabisa. Yani kubadilishiwa wizara ndio kupotea? Au kupotezwa? Kwani huko mawasiliano hakuna kiki? Hakuna kero za moja kwa moja kama ardhi?
Au ni waziri mpya wa ardhi hana ajenda? Au Jerry alimaliza kero zote? Aisee...! Kwa hiyo huko mawasiliano waziri kakosa hoja za kuja nazo public?
Wandugu tumpe waziri ajenda huko mawasiliano. Naanza na hii ya mtoa huduma kutoa siri z za wateja
YUKO WIZARANI.Ukweli nashangaa kabisa. Yani kubadilishiwa wizara ndio kupotea? Au kupotezwa? Kwani huko mawasiliano hakuna kiki? Hakuna kero za moja kwa moja kama ardhi?
Au ni waziri mpya wa ardhi hana ajenda? Au Jerry alimaliza kero zote? Aisee...! Kwa hiyo huko mawasiliano waziri kakosa hoja za kuja nazo public?
Wandugu tumpe waziri ajenda huko mawasiliano. Naanza na hii ya mtoa huduma kutoa siri z za wateja
Nimejikuta nacheka sana ila sijui kwanini na chekaUkweli nashangaa kabisa. Yani kubadilishiwa wizara ndio kupotea? Au kupotezwa? Kwani huko mawasiliano hakuna kiki? Hakuna kero za moja kwa moja kama ardhi?
Au ni waziri mpya wa ardhi hana ajenda? Au Jerry alimaliza kero zote? Aisee...! Kwa hiyo huko mawasiliano waziri kakosa hoja za kuja nazo public?
Wandugu tumpe waziri ajenda huko mawasiliano. Naanza na hii ya mtoa huduma kutoa siri z za wateja
Usikariri sana,kila Wizara ina mifumo yake ya kiutendaji na haifanani!!Ukweli nashangaa kabisa. Yani kubadilishiwa wizara ndio kupotea? Au kupotezwa? Kwani huko mawasiliano hakuna kiki? Hakuna kero za moja kwa moja kama ardhi?
Au ni waziri mpya wa ardhi hana ajenda? Au Jerry alimaliza kero zote? Aisee...! Kwa hiyo huko mawasiliano waziri kakosa hoja za kuja nazo public?
Wandugu tumpe waziri ajenda huko mawasiliano. Naanza na hii ya mtoa huduma kutoa siri z za wateja
Hujanielewa. TuliaUsikariri sana,kila Wizara ina mifumo yake ya kiutendaji na haifanani!!
Yah, wizara kubwaYUKO WIZARANI.
Tulia wwe,au mnataka hadi Jerry Silaa afunguwe simu ya Boni yai direct kupitia tcra, alafu muaanze kulia waziri hafuati sheria kafungua simu ya Boni yai na ushahidi wa mauwaji ya Mzee Kibao yaanza kupata mwanga!!Hujanielewa. Tulia
Hujui kwa nini unacheka sababu umetiwa doleNimejikuta nacheka sana ila sijui kwanini na cheka
Mbona hata magufuli alpo bafilshwa Toka ujenzi kwenda uvuvi alikuwa bubuUkweli nashangaa kabisa. Yani kubadilishiwa wizara ndio kupotea? Au kupotezwa? Kwani huko mawasiliano hakuna kiki? Hakuna kero za moja kwa moja kama ardhi?
Au ni waziri mpya wa ardhi hana ajenda? Au Jerry alimaliza kero zote? Aisee...! Kwa hiyo huko mawasiliano waziri kakosa hoja za kuja nazo public?
Wandugu tumpe waziri ajenda huko mawasiliano. Naanza na hii ya mtoa huduma kutoa siri z za wateja
Alikuwa anajua idadi ya samaki waliopo Tanzania !Mbona hata magufuli alpo bafilshwa Toka ujenzi kwenda uvuvi alikuwa bubu
Alipokuwa ujenzi alikariri km za brbr uvuvi akishindwa kabisa kukariri idadi ya samaki baharuni
Dah...Ukweli nashangaa kabisa. Yani kubadilishiwa wizara ndio kupotea? Au kupotezwa? Kwani huko mawasiliano hakuna kiki? Hakuna kero za moja kwa moja kama ardhi?
Au ni waziri mpya wa ardhi hana ajenda? Au Jerry alimaliza kero zote? Aisee...! Kwa hiyo huko mawasiliano waziri kakosa hoja za kuja nazo public?
Wandugu tumpe waziri ajenda huko mawasiliano. Naanza na hii ya mtoa huduma kutoa siri z za wateja
Kwa hiyo unamshutumu kwa kushindwa kujua idadi ya samaki?Mbona hata magufuli alpo bafilshwa Toka ujenzi kwenda uvuvi alikuwa bubu
Alipokuwa ujenzi alikariri km za brbr uvuvi akishindwa kabisa kukariri idadi ya samaki baharuni
Hata kama hunijui heshima ni kitu cha bure ndugu yangu,Hujui kwa nini unacheka sababu umetiwa dole
Watakuwa washamshughulikia, alileta ujinga kimbelembeleUkweli nashangaa kabisa. Yani kubadilishiwa wizara ndio kupotea? Au kupotezwa? Kwani huko mawasiliano hakuna kiki? Hakuna kero za moja kwa moja kama ardhi?
Au ni waziri mpya wa ardhi hana ajenda? Au Jerry alimaliza kero zote? Aisee...! Kwa hiyo huko mawasiliano waziri kakosa hoja za kuja nazo public?
Wandugu tumpe waziri ajenda huko mawasiliano. Naanza na hii ya mtoa huduma kutoa siri z za wateja
Mtu bado yuko kwenye baraza la mawaziri eti unasema washamshulikia, na kina Nape na Marope nao watasemaje!!??Watakuwa washamshughulikia, alileta ujinga kimbelembele