Waziri Kabudi sasa ni wakati wa kuwakopesha wasanii wa Singeli

Waziri Kabudi sasa ni wakati wa kuwakopesha wasanii wa Singeli

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Baada ya kutambua rasmi juhudi zao za kuitangaza Tanzania kimataifa nje ya mfumo rasmi.

Wakati umefika kutambua utamaduni huu usioyumbishwa na muda au kebehi za wasiojiamini na kuamini katika singeli/ mchiriku/ mnanda .

Wekeni fedha vijana waliojiajiri katika hii entarnmeint industry yenye kuinfluence culture ya kipekee.

Watanzania wengi hawana access ya furaha ya kimuziki yenye kimarekani bali SINGELI za uswazi zinazotaja maisha yao halisia.

Tuwape fursa vijana kwani wapo na wameshaonesha nia.

Rock n Roll ni music wenye maneno ya kihuni lakini kuna ujumbe mkubwa nyuma yake ....hii ni alama ya muziki kule marekani

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
 
Baada ya kutambua rasmi juhudi zao za kuitangaza Tanzania kimataifa nje ya mfumo rasmi.

Wakati umefika kutambua utamaduni huu usioyumbishwa na muda au kebehi za wasiojiamini na kuamini katika singeli/ mchiriku/ mnanda .

Wekeni fedha vijana waliojiajiri katika hii entarnmeint industry yenye kuinfluence culture ya kipekee.

Watanzania wengi hawana access ya furaha ya kimuziki yenye kimarekani bali SINGELI za uswazi zinazotaja maisha yao halisia.

Tuwape fursa vijana kwani wapo na wameshaonesha nia.

Rock n Roll ni music wenye maneno ya kihuni lakini kuna ujumbe mkubwa nyuma yake ....hii ni alama ya muziki kule marekani

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Urangoja sana, nchi hii ina vipaombele vinngi sana na mahitaji mengi sana ya kutumiza
 
Urangoja sana, nchi hii ina vipaombele vinngi sana na mahitaji mengi sana ya kutumiza
Tatizo hata vipaumbele vinavyotajwa huvijui.
Changia baada ya kufuatilia taarifa ...
 
Navijua vingi sana, singeli ina umuhim gani na mchango gani nchi hii mpaka iwe point of focus?
Kwani nchi ina kipaumbele kimoja?
Kila sekta ina kipaumbele chake na vyote vinaenda.
So far unajua ni sh . ngapi zinatolewa kama mikopo kwa wasanii??

Hivi JF Siku hizi mnafuga vilaza humu jamvini?
 
Kwani nchi ina kipaumbele kimoja?
Kila sekta ina kipaumbele chake na vyote vinaenda.
So far unajua ni sh . ngapi zinatolewa kama mikopo kwa wasanii??

Hivi JF Siku hizi mnafuga vilaza humu jamvini?
Hahaha ume panick bro, singeli haina umuhim kwa nchi hii. Pesa ziende sekta mama zenye umuhim zaidi
 
Naunga mkono hoja.
=======
Kwa wale walowezi na Watanzania uchwara; kama hamtaki kutizama, kusikia, au kucheza/dansi Singeli,-badilisheni Chanel. Hakuna anayewalazimisha.
 
Kwa nini wasiende benki kukopa pesa wenyewe??
 
Hivi singeli inaelezea maisha
Au ndy inahamasisha ujingujing
Tu hyo singeli kucheza mpk wakalie chupa

Ova
Umewahi kuisikiliza?
una picha ya mtu aliyekalia chupa kwenye ngoma ya singeli?
 
Umewahi kuisikiliza?
una picha ya mtu aliyekalia chupa kwenye ngoma ya singeli?
Ingekuwa mnanda sawa siyo singeli..
Mwanangu umeniangusha lakini kwa kuisupport singeli 😄

Ova
 
Ingekuwa mnanda sawa siyo singeli..
Mwanangu umeniangusha lakini kwa kuisupport singeli 😄

Ova
Singeli ilikuwa ni mnanda na mnanda ulikuwa mchiriku hii culture haifi
#Hapa ni wapi tumetoka wapi tunaenda wapi?
sikia ujumbe hapo
 

Attachments

Back
Top Bottom