Waziri Kalemani: Bwawa la Nyerere kujazwa Maji Novemba 15, 2021. Umeme wa maji ni nafuu kuliko wa vyanzo vingine

Naona wameanza kula za uso haya majitu sijui ni Binadamu au ni Watu unasikia jitu lina degrees sijui nne linasema Hydro Electric power is an outdated Source of electricity while Himself is an outdated professor ever!??
Sasa umeme unaye tegemea kudra za mnyazi mungu,mvua zinyeshe wewe ndio unaona reliable,hujui kuna mabadiliko ya tabia nchi?
 
Ni jambo la uzuri iwapo TBC itajipanga mapema eneo la tukio kuanzia Tarehe 1 November.

Hilo ni tukio la kihistoria hivyo latahitaji watanzania wote kuona kwenye runinga zao moja kwa moja mubashara.

Na hiyo iwe ni kwa miradi yote mikubwa siku yazinduliwa basi TBC ndani ya eneo la tukio.
 
Hakuna mradi usio na gharama wewe tuliza makalio yako unampinga waziri wewe nani,
Nuclear ni cheaper zaidi..
Maji kuna gharama za mazingira kubwa Sana
Kufyeka heka zote zile utasema hakuna gharama?

Amepima loss yake? Kufyeka heka zaidi ya milioni?
 
Kwahiyo yule jamaa Muongo alikua anadalalia umeme wa Gesi,

Salalee...hawa wazee hawa, daah.
 
Nuclear ni cheaper zaidi..
Maji kuna gharama za mazingira kubwa Sana
Kufyeka heka zote zile utasema hakuna gharama?

Amepima loss yake? Kufyeka heka zaidi ya milioni?
Na ukzingatia wametumia feasibility staudy ya mwaka 1970
 
So kumbe nyuklia ndo cheaper kuliko hata gas na tuna uranium Tele songea
Weka mbali na watoto mzee hio kitu usifanye mchezo na Nuclear plant inataka Care ya hali ya juu sana, Africa nzima ni South africa tu na anavuna umeme kwa nuclear tena hata robo ya Total MW zake hazifiki, Nuclear apana utaua watu mzee
 
Hiyo bei (Tshs. 147) ya kuzalisha unit moja kwa gesi, ni kwa GAS TURBINES au GAS COMBASTION ENGINES?
 
Kwahiyo yule jamaa Muongo alikua anadalalia umeme wa Gesi,

Salalee...hawa wazee hawa, daah.
Sio kudalalia, Sospeter (wahaya wanatamka "sosipateli") enzi zile walivuta mgao wao kabisa! Sospeter hadi akavimbiwa akaanzisha bifu na Mzee Reginald Mengi(RIP) kwa kusema eti hakuna mtanzania mwenye uwezo wa kumiliki na kitalu cha gesi na badala yake wajikite kwenye biashara ya level zao kama kuanzisha viwanda vya kukamua juisi ya matunda....maneno ambayo marehemu Mengi yalimuuma Sana!
 
gharama za mabetri kuyabadilisha pili umeme wake hauwezi endesha mitambo mikubwa ya viwanda

Waweza tumia solar kuendesha hata mashine ya kusaga nafaka?
Unaweza mkuu Umeme unapimwa kwa Power na sio Mode of Generation, Changamoto ya solar ni kuwa technology ya kibadili Jua kuwa umeme haijawa archived hata 50% ndio maana unaona solar till now inatumika kwa matumizi madogo mana ata storage(Battery Bank) ni changamoto
 
Wakuu, TZ hii hii ambayo bado tunapewa misaada ya ujenzi wa vyoo leo tuwe na nyuklia. Tuwe serious kidogo hapa.

Tuanze tunapoweza- maji. Africa nzima nchi yenye nuclear powerplant ni SA tu.

Tunaweza fanya partnership na wazoefu kama South Africa..
Kama sikosei wanazalisha zaidi ya megawatts
Gram 1 ya Uranium inatoa 1MW.

Uranium inayotosha kiganja chako cha mkono inatosha kuzalisha umeme wote tunaotumia Tanzania

Watu bado hawana Tu elimu ya kutosha
Vilevile sio lazima hata hiko kinu tukiendeshe wenyewe
Tunaweza fanya partnership na wazoefu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…