Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Hii ni pumba tupu kwa sababu hata kama daladala ina watu kumi tu na mmoja ana Corona, huyo mmoja mwenye corona ana uwezo wa kuambukiza tisa waliobaki!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tungekuwa tunajihadhari na ukimwi kama ilivyo Corona hakika duniani kusingekuwa na huo ugonjwa.
Huyu hapa msikie mwenyeweHuyo waziri hajawai kuwa serious vikao vya nn tena wakati hapo ni ishu ya kutoa maagizo ya level seat !!
Waziri wa Kazi naye ajaribu kuongea na waajiri watoe likizo ya mwezi kwa baadhi ya wafanyakazi ili kupunguza mrundikano maeneo ya kazi na public transport mfano mzuri Google na Facebook wamepunguza wafanyakazi kwa kuwapa likizo na baadhi ya kazi zinfanywa majumbani sio maofisini.
Atoe amri yy km waziri mara moja asitucheleweshe!Mm nilijua alishatoa toka juzi kumbe ndio kwnz anadhulula dhulula tu na waandishi wa habari au anangoja PM au Magufuli ndio aje kutoa ??Huyu hapa msikie mwenyewe
View attachment 1392809
unajidai unajua sana kumbe kichwani umebeba kunyesi. ni sheria gani hio inasema hivyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Una point muhimu!Waziri Kamwelwe, toa tamko (agizo) MAGARI ya abiria yote yapakie kulingana na viti ndani ya gari.
Kuwataka Latra watoe muongozo ni KUKWEPA WAJIBU WAKO.
Kadi za MAGARI yote zinaonesha idadi ya abiria wanaotakiwa kuingia / kupakia gari.
TOA AGIZO/AMRI SHERIA ZIHESHIMIWE NA ZIFUATWE.
ASKARI (IGP) ASIMAMIE HILO.
KAZI HIYO ISIFANYWE KWA MAZOEA.
NI SHERIA GANI ILIYORUHUSU DALADALA KUJAZA ABIRIA KULIKO KIPIMO CHAKE?
NI MAZOEA YA KUPUUZA SHERIA ZA USALAMA BARABARANI .
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi a mawasiliano ameitaka mamlaka ya udhibiti usafiri wa ardhini ( Latra) kukutana mara moja na kutoa mwongozo juu ya idadi ya abiria wanaoruhusiwa kusimama ndani ya daladala na Mwendo kasi ili kupunguza msongamano.
Waziri Kamwele ameyasema hayo mjini Dodoma alipokuwa anaelezea hatua zinazochukuliwa na wizara yake ili kujikinga na virusi vya korona.
Chanzo: ITV habari
-----
March 18, 2020
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mh.Eng. Isack Kamwelwe atoa tamko kufuatia Coronavirus Covid-19.
Tamko hilo la Waziri Isack Kamwelwe linahusu sekta ya usafiri wa barabara, reli, anga na majini linataka wenye vyombo vya usafiri na watumiaji kuchukua tahadhari kubwa kufuatia ugonjwa huo kufuatia tangazo la Wizara ya Afya kuthibitisha ugonjwa huo upo Tanzania.
- Kampuni za usafiri wafungue vituo zaidi vya kukatia tiketi nje ya vituo vikuu vya usafiri.
- Tiketi za kieletroniki ziamzishwe kupunguza msongamano.
- Wafanyakazi na abiri watumie sanitizier mara kwa mara kusafisha viganja vyao washikapo nauli, chenji, kushika viti n.k
- LATRA, TBS, na wizara ndani ya siku tatu waamue ni idadi gani ya abiria wawemo katika chombo cha usafiri ili kupunguza uwezekano wa maambukizi.
- TAZARA na TRC wahakikishe vifaa vya kusafisha mikono viwepo stesheni na katika treni.
- Mamlaka za usimamizi wa bandari na zile za viwanja vya ndege kwahakikishe kuwapo na vifaa vya kusafisha mikono n.k katika maeneo yao.
- Taasisi zote za usafiri zishirikiane na wizara ya Afya ili kuweza kuchapisha na kubandika matangazo yenye habari sahihi juu ya namna ya kuwa safi na pia kuzuia kusambaa ugonjwa wa Covid19 Coronavirus.
Source: Global TV online
Kwahiyo mkiwa level seat corona haiwapati?level seat.
ulivyokua mjinga inaonesha ulizaliwa kwa njia ya haja kubwa na ndii maana una nuka maviAkili yako inayowaza mavi muda wote inakutosha kuvukia tu barabara,sheria wala usihangaike nayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi a mawasiliano ameitaka mamlaka ya udhibiti usafiri wa ardhini ( Latra) kukutana mara moja na kutoa mwongozo juu ya idadi ya abiria wanaoruhusiwa kusimama ndani ya daladala na Mwendo kasi ili kupunguza msongamano.
Waziri Kamwele ameyasema hayo mjini Dodoma alipokuwa anaelezea hatua zinazochukuliwa na wizara yake ili kujikinga na virusi vya korona.
Chanzo: ITV habari
-----
March 18, 2020
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mh.Eng. Isack Kamwelwe atoa tamko kufuatia Coronavirus Covid-19.
Tamko hilo la Waziri Isack Kamwelwe linahusu sekta ya usafiri wa barabara, reli, anga na majini linataka wenye vyombo vya usafiri na watumiaji kuchukua tahadhari kubwa kufuatia ugonjwa huo kufuatia tangazo la Wizara ya Afya kuthibitisha ugonjwa huo upo Tanzania.
- Kampuni za usafiri wafungue vituo zaidi vya kukatia tiketi nje ya vituo vikuu vya usafiri.
- Tiketi za kieletroniki ziamzishwe kupunguza msongamano.
- Wafanyakazi na abiri watumie sanitizier mara kwa mara kusafisha viganja vyao washikapo nauli, chenji, kushika viti n.k
- LATRA, TBS, na wizara ndani ya siku tatu waamue ni idadi gani ya abiria wawemo katika chombo cha usafiri ili kupunguza uwezekano wa maambukizi.
- TAZARA na TRC wahakikishe vifaa vya kusafisha mikono viwepo stesheni na katika treni.
- Mamlaka za usimamizi wa bandari na zile za viwanja vya ndege kwahakikishe kuwapo na vifaa vya kusafisha mikono n.k katika maeneo yao.
- Taasisi zote za usafiri zishirikiane na wizara ya Afya ili kuweza kuchapisha na kubandika matangazo yenye habari sahihi juu ya namna ya kuwa safi na pia kuzuia kusambaa ugonjwa wa Covid19 Coronavirus.
Source: Global TV online
Inashangaza kuona Waziri anaomba LATRA na wadau wengine waamue idadi ya abiria wa kusimama katika dalada/mwednokasi, wakati kuna sheria ya Usalama Barabarani inayokataza abiria kusimama ndani ya chommmbo cha usafiri. N hii ni kwa mabasi, coaster, daladala. Ndiyo magari kama malori yabebi abiria kwa sababu hamna seats, sasa inakuwaje kwa mabasi!Hakuna idadi yoyote ya abiria wanaouruhusiwa kusimama katika gari yoyote ya abiria,hakuna muongozo wowote unaohitajika hapo,acheni kupoteza muda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuuliza hvyo ,ni swala na kuuliza kwa hiyo msipopeana mikono Corona haiwapati (huku ukiwa umebana pua)?Kwahiyo mkiwa level seat corona haiwapati?
Tatizo tunashindwa kujifunza toka kwa mataifa yaliyoathirika kwani wao walitumia njia hizi?za level seat?nimeona juzi italy basi zima wamo watu saba tu!
Kwa hali za maisha yetu afrika hatuwezi pambana na hii kitu ndio maana mungu katuepusha imebaki kutiana hofu tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanasema tuoshe mikono kwa maji yanayotiririkaWangezuia tu ndege kuingia nchini jamani maana uwezo wetu wa kupambana na huu ugonjwa somehow ni mdogo na hata katika mipaka yetu tuzuie jamani.... sasa kama watu wamefika sita tutategemea nini... hata kama tuna mahusiano mazuri kiasi gani ila afya kwanza ... daaaah
Huyu hapa msikie mwenyewe
View attachment 1392809
