BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,508
- 11,897
Hii serikali ya ajabu sana,kila siku inakuja na mambo ya ajabu katika elimu!tujiulize hapo zamani ilikua 3,jee nani aliyeleta masomo 6?alikua na sababu zipi obvious itakua ni utawazi,sasa kwa kushindwa kuajiri waalimu mnaamua kupunguza masomo,jee kazi ya madarasa ya awali ni ipi?