Kama hiyo ni ngumu means hata city & town planning ya nchi bado iko nyuma sanaLabda nyumba kubwa kubwa ila hizi za uswahili sidhani kama website zitasaidia
Bado Service charge 10,000/= hadi 20,000/= kuoneshwa nyumba.Hatimae wameuona huu ujambazi!! Afadhali.
Tatizo ni matamko ya kisiasaWaziri wa Ardhi, William Lukuvi amepiga marufuku Madalali kuwadai Wapangaji Fedha ya Mwezi Mmoja, akiita kitendo hicho kuwa ni ujambazi
Amesema, "Kuna baadhi ya Madalali wanapangisha nyumba halafu wanachukua kwa Wapangaji Kodi ya mwezi. Hawa wanaochukua pesa za wapangaji waache mchezo huo kwasababu ni wizi wa mchana kabisa. Wewe umeajiriwa na mwenye nyumba, yeye lazima akulipe wewe"
View attachment 2011900
Kwa akili yako unadhani watafanya nini kama sio porojo za kutafuta kikiHatimae wameuona huu ujambazi!! Afadhali.
Sawa amlipe yeye huyo dalali! Sio amtwishe gharama mpangaji huo si uungwana.Unadhani mwenye nyumba atakubali nyumba yake ikae bila mpangaji kisa pesa ya dalali?
Niliwahi kusema hili jambo hapa jamvini, kumbe Lukuvi naye kalisemeaWaziri wa Ardhi, William Lukuvi amepiga marufuku Madalali kuwadai Wapangaji Fedha ya Mwezi Mmoja, akiita kitendo hicho kuwa ni ujambazi
Amesema, "Kuna baadhi ya Madalali wanapangisha nyumba halafu wanachukua kwa Wapangaji Kodi ya mwezi. Hawa wanaochukua pesa za wapangaji waache mchezo huo kwasababu ni wizi wa mchana kabisa. Wewe umeajiriwa na mwenye nyumba, yeye lazima akulipe wewe"
View attachment 2011900
Yaani[emoji119][emoji119][emoji119]Bado Service charge 10,000/= hadi 20,000/= kuoneshwa nyumba.
Walivyo waongo sasa..Wanatumia kauli itadumu hadi upate nyumba..
Sent using Jamii Forums mobile app
Wenye nyumba nao sasa ni shida tupu. Unaweza kwenda bila dalali wakakutolea nje.Sawa amlipe yeye huyo dalali! Sio amtwishe gharama mpangaji huo si uungwana.
Na hata wenye nyumba wanaowalipa madalali hawawapi mwezi mmoja Kama wanavyotaka wapangaji tuchajiwe. Unakuta anapozwa elfu 20 anatulia ila mpangaji anataka ampe mwezi mzima si uhuni huo!
Wewe kubali nlipe mwenye nyumba dalAli mpe utakachoona. Nawafabyaga hivyo mimiKuna nyumba nimepata ilala ila ni upande kodi kwa mwezi ni laki tatu na hamsini.Dalali naye anataka hela ya mwezi laki tatu na hamsini nachoka sana aisee.
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app