johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
CCM ekari 2 na Chadema ekari 2Za kujenga ofisi za ccm ni heka ngapi katoa?
Maendeleo hayana vyama!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM ekari 2 na Chadema ekari 2Za kujenga ofisi za ccm ni heka ngapi katoa?
Sheria ya ardhi na 2,soma sambamba na sheria ya vijiji na 5,ni makosa kwa mtu binafsi au taasisi kumilikishwa ZAIDI YA EKARI 50 bila ya kupata kibali cha RaisHiyo Taarifa Sijaelewa hizo ekari 715 zilikua zinamilikiwa na Quality Group kupitia international Village Ltd
Zimefikaje mikononi Mikononi mwa Halmshauri kupitia Wizara ya Ardhi ??
Quality Group Wamepokonywa ?? Wameuzia Serikali ??
Ufafanuzi Tafadhali
tukachukue viwanja ununio au?Na nyie Ufipa mkachukue kiwanja mjenge makao makuu ya kisasa!
Yanga imepewa uwanja na serikali.......Upo salama!Kwa hiyo yanga uwanja wao umekwenda na maji?
Mwambieni mzee Marando awafanyie mpango!tukachukue viwanja ununio au?
SawaYanga imepewa uwanja na serikali.......Upo salama!
Rais alisemaje kuhusu matumizi ya ardhi hiyo ikirudishwa? Na je Lukuvi kama waziri hajui maelekezo ya rais hadi atoe kauli hiyo kwamba ardhi iliyorudishwa itakuwa ni kwa matumizi ya umma na sio kiwanja au makazi ya mtu mmoja mmoja?Sisi tunasikiliza sauti ya Rais bwashee!
... Rais wa JMTZ anayo mamlaka ya ku-revoke umiliki wa ardhi yoyote kutoka kwa yeyote kwa matumizi yeyote yatakayompendeza yeye bila kuhojiwa na yeyote popote wakati wowote ndani ya mipaka ya nchi. Hata kipande cha ardhi unachomiliki wewe (kama unacho) umekasimiwa tu umiliki wake kwa niaba ya Rais na ikimpendeza atakitwaa muda wowote without prior notice.
In short, Rais ndiye custodian wa ardhi yote ya Tanzania.
Maamuzi yote wamepewa halmashauri ya Kigamboni......ikiwemo kuhakikisha wafanyakazi wa wilaya ya Kigamboni wanapatiwa makazi wilayani humo!Rais alisemaje kuhusu matumizi ya ardhi hiyo ikirudishwa? Na je Lukuvi kama waziri hajui maelekezo ya rais hadi atoe kauli hiyo kwamba ardhi iliyorudishwa itakuwa ni kwa matumizi ya umma na sio kiwanja au makazi ya mtu mmoja mmoja?
Hii Sidhani kama ni Sawa... Rais wa JMTZ anayo mamlaka ya ku-revoke umiliki wa ardhi yoyote kutoka kwa yeyote kwa matumizi yoyote yatakayompendeza yeye bila kuhojiwa na yeyote popote wakati wowote ndani ya mipaka ya nchi. Hata kipande cha ardhi unachomiliki wewe (kama unacho) umekasimiwa tu umiliki wake kwa niaba ya Rais na ikimpendeza atakitwaa muda wowote without prior notice.
In short, Rais ndiye custodian wa ardhi yote ya Tanzania. Yaani linapokuja suala la umiliki wa ardhi yeye ndiye ALFA na OMEGA.
... utajiri huo mchana kweupe kwa watumishi idara ya ardhi Kigamboni. Sitashangaa badala ya kupimwa vizuri yakaibuka makazi holela mithili ya Manzese hapo.Maamuzi yote wamepewa halmashauri ya Kigamboni......ikiwemo kuhakikisha wafanyakazi wa wilaya ya Kigamboni wanapatiwa makazi wilayani humo!
... kwa kuwa marais wetu nao ni binadamu wana feelings na utu ndio maana hawawezi kufanya unyama wa kiwango hicho. Ila akitokea "mwendawazimu" sheria zetu zimempa mamlaka hayo.Hii Sidhani kama ni Sawa
Na kama ni Sawa pengine Kuwe na utaratibu unaofuata baada ya kuki-twaa hicho Kiwanja Chako
Na Kama si hivyo unaterminate Vipi umiliki wa ardhi ya Mtu na ulifuata taratibu zote huoni apo inaleta Sura ya Uonevu ??
Sheria ya ardhi na 2,soma sambamba na sheria ya vijiji na 5,ni makosa kwa mtubaubtaasisi kumilikishwa ZAIDI YA EKARI 50 bila ya kupata kibali cha Rais
.
Kasome sheria namba 2 sambamba na namba 5 ya kijijiWithout prior notice? You need to go through the following statutes again
The Land Act Cap 113 (R.E 2002)
The Village Land Cap 114 (R.E 2002)
Land Acquisition cap 118 (RE 2002)
You have a fair understanding of acquisition (and land) laws but the issue you talked about hapo juu needs better understanding
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawajatenga viwanja vya watoto wa JPM,Mke wa Makonda na Dotto James?
Je,Kikwete hakutoa kibali?Kama hakutoa,waliohusika kutoa ardhi hiyo bila kibali cha Rais wamechukuliwa hatua gani?Kasome sheria namba 2 sambamba na namba 5 ya kijiji
Ni kosa kwa mtu au taasisi kumilikishwa zaidi ya ekari 50,bila ya kupatabkibali cha Rais
Huyo Manji alimwaga mpunga akaishia wizarani akapewa ardhi enzi hizo
Kisheria,chochote halali kilichopatikana haramu kinageuka kuwa haramu,without prior notice!
= Thanks for letting me know!thanks for let me know
Wahusika wameshastaafu,mpaka juzi Rais kateua kamishna mwingine,na umeona remarks zake wakati wa kumuapishaJe,Kikwete hakutoa kibali?Kama hakutoa,waliohusika kutoa ardhi hiyo bila kibali cha Rais wamechukuliwa hatua gani?
Kwani manji chama ganiManji aliwakosea nini? fisiemu wenzake
CCM na alikuwa diwaniKwani manji chama gani