Waziri Lukuvi Hii ndo sababu ya Muungano?? Kama Ndiyo Basi tuna Strategies Mbovu sana

Waziri Lukuvi Hii ndo sababu ya Muungano?? Kama Ndiyo Basi tuna Strategies Mbovu sana

Wanaanza kuja na strategy za kuogopesha wananchi, wajinga sana hawa. Badala ya kujibu kwa hoja wanaleta scenarios za kutisha wananchi. So stupid.. kweli Dini itatumika sana kumanipulate watu, wakati ujinga unaendelea kufanywa
 
Hivi mmesahau kuwa Sultani wa Zanzibar hadi leo hii bado ni Sultani wa Zanzibar na bado anasema utawala wake ulivamiwa na wahuni akakimbilia ugenini, au hamjui hili?

Kifupi, no hoja ngumu inayoweza kuonekana ni nyepesi kutokana na historia ya taifa letu na muungano tunayoifundisha mashuleni kutokuwa ya ukweli halisia.

Leo Zanzibar ikijitenga na Tanganyika, kesho Sultani anarudi nchini mwake atawale maana watanganyika wamesaidia kuyalinda mapinduzi yaliyomtoa madarakani. Ni swala la muda tu.

Inaweza isiwe taifa la kiislamu, ila lazima Sultani atarudi kutetea utawala wake. Na ndio maana Mwl. Nyerere alisema Zanzibar ikijitenga itagundua kuna wazanzibar (wanaomuunga Sultani mkono) na kuna wazanzibara (waliomtoa Sultani madarakani). Hili fumbo watu wengi wanashindwa kufumbua alichoongea Mwl. Nyerere.

Ikumbukwe waliompindua Sultani ni watu kutoka bara (Kigoma) na Uganda nchi jirani. Sio watu wa Zanzibar walioupenda utawala wa Sultani.
 
Hivi mmesahau kuwa Sultani wa Zanzibar hadi leo hii bado ni Sultani wa Zanzibar na bado anasema utawala wake ulivamiwa na wahuni akakimbilia ugenini, au hamjui hili?

Kifupi, no hoja ngumu inayoweza kuonekana ni nyepesi kutokana na historia ya taifa letu na muungano tunayoifundisha mashuleni kutokuwa ya ukweli halisia.

Leo Zanzibar ikijitenga na Tanganyika, kesho Sultani anarudi nchini mwake atawale maana watanganyika wamesaidia kuyalinda mapinduzi yaliyomtoa madarakani. Ni swala la muda tu.

Inaweza isiwe taifa la kiislamu, ila lazima Sultani atarudi kutetea utawala wake. Na ndio maana Mwl. Nyerere alisema Zanzibar ikijitenga itagundua kuna wazanzibar (wanaomuunga Sultani mkono) na kuna wazanzibara (waliomtoa Sultani madarakani). Hili fumbo watu wengi wanashindwa kufumbua alichoongea Mwl. Nyerere.

Ikumbukwe waliompindua Sultani ni watu kutoka bara (Kigoma) na Uganda nchi jirani. Sio watu wa Zanzibar walioupenda utawala wa Sultani.
Kwahyo Kumbe sisi tunamtaka Mzanzibar ili tumtawale na sio Kwamba awe Huru kwahyo Tunaamua Maamuzi ya Wazanzibar Kwa niaba yao??
 
Kiukweli Lukuvi Hoja Yake ya Kuwa Zanzibar Itakuwa Islamic state endapo inaachiwa Ni hoja dhaifu sana..

Miongoni mwa Nchi zilizokuwa chinu ya Waarabu Commoro Pia ilikuwepo Ila baada ya Waarabu kuondoka Komoro Inautawala wake na Waarabu hawajarudi Kutawala..

Kwahiyo Mifano ipo ya Nchi hizo
Na kama watajitenga kwa mfano tu na wawe na msimamo wao ina maana watatutawala watu zaidi ya 60m?
Kama mawazo ya Lukuvi ni hayo basi ametudharau sana

Ila binadamu tuchunge midomo maana yule mwenzie nae kwa madaha akamuita binadamu mwenzie mungu kisa njaa
Yeye hayupo leo na hawakutegemea mama atakuja kuwa Rais siku moja

Dunia hii ina mambo
 
Back
Top Bottom