Waziri Mabula hatihati kutumbuliwa Uwaziri

Waziri Mabula hatihati kutumbuliwa Uwaziri

Mtumishiwetu

Senior Member
Joined
Jul 13, 2022
Posts
196
Reaction score
346
Huenda uteuzi wa Waziri wa Ardhi, Angelina Mabula ukatenguliwa wakati wowote kuanzia sasa kwa kile kinachodaiwa kuwepo kwa mgongano wa kimaslahi kutokana na uamuzi wake wa kusitisha utoaji wa vibali vya ujenzi wa vituo vya mafuta.

Uamuzi huo umetangazwa leo Alhamisi Novemba 10, 2022 na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula.

“Lengo ni kutoa nafasi kwa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na wizara zinazohusika na utoaji wa vibali kufanya tathmini ya kina kuhusu ujenzi wa vituo vya mafuta nchini,” amesema.

Aidha, Dk Angeline ameagiza kusitishwa kutolewa kwa vibali vipya vya ujenzi vinavyokiuka mipango kabambe ya majiji, manispaa, miji na kusitisha ugawaji wa viwanja kiholela unaosababisha taswira za miji kuharibika.

Habari zaidi zinasema maamuzi hayo yatawagusa watoto wa wakubwa ambao wanadaiwa kwa sehemu kubwa wanajishughulisha na biashara ya mafuta
 
Huenda uteuzi wa Waziri wa Ardhi, Angelina Mabula ukatenguliwa wakati wowote kuanzia sasa kwa kile kinachodaiwa kuwepo kwa mgongano wa kimaslahi kutokana na uamuzi wake wa kusitisha utoaji wa vibali vya ujenzi wa vituo vya mafuta.

Uamuzi huo umetangazwa leo Alhamisi Novemba 10, 2022 na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula.

“Lengo ni kutoa nafasi kwa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na wizara zinazohusika na utoaji wa vibali kufanya tathmini ya kina kuhusu ujenzi wa vituo vya mafuta nchini,” amesema.

Aidha, Dk Angeline ameagiza kusitishwa kutolewa kwa vibali vipya vya ujenzi vinavyokiuka mipango kabambe ya majiji, manispaa, miji na kusitisha ugawaji wa viwanja kiholela unaosababisha taswira za miji kuharibika.

Habari zaidi zinasema maamuzi hayo yatawagusa watoto wa wakubwa ambao wanadaiwa kwa sehemu kubwa wanajishughulisha na biashara ya mafuta
Ila vituo vya mafuta vimekua vingi Sana aisee
 
Ningekuwa mimi ningewaacha wavijenge mpaka wachoke baadae wangeflate wenyewe
Unajua kwani kujenga vingi mwisho wa siku haigurentee wateja kuongezeka
Free force za demand zingewafirigisa wangeacha wenyewe bila kuambiwa kama wanojenga hotel za mabas ya mkoani
 
Huenda uteuzi wa Waziri wa Ardhi, Angelina Mabula ukatenguliwa wakati wowote kuanzia sasa kwa kile kinachodaiwa kuwepo kwa mgongano wa kimaslahi kutokana na uamuzi wake wa kusitisha utoaji wa vibali vya ujenzi wa vituo vya mafuta.

Uamuzi huo umetangazwa leo Alhamisi Novemba 10, 2022 na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula.

“Lengo ni kutoa nafasi kwa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na wizara zinazohusika na utoaji wa vibali kufanya tathmini ya kina kuhusu ujenzi wa vituo vya mafuta nchini,” amesema.

Aidha, Dk Angeline ameagiza kusitishwa kutolewa kwa vibali vipya vya ujenzi vinavyokiuka mipango kabambe ya majiji, manispaa, miji na kusitisha ugawaji wa viwanja kiholela unaosababisha taswira za miji kuharibika.

Habari zaidi zinasema maamuzi hayo yatawagusa watoto wa wakubwa ambao wanadaiwa kwa sehemu kubwa wanajishughulisha na biashara ya mafuta
Hiyo ni nafasi ya Ridhiwani kukamata rasmi wizara ya ardhi,kisha kuhamishiwa na wizara zingine tamutamu
 
Huenda uteuzi wa Waziri wa Ardhi, Angelina Mabula ukatenguliwa wakati wowote kuanzia sasa kwa kile kinachodaiwa kuwepo kwa mgongano wa kimaslahi kutokana na uamuzi wake wa kusitisha utoaji wa vibali vya ujenzi wa vituo vya mafuta.

Uamuzi huo umetangazwa leo Alhamisi Novemba 10, 2022 na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula.

“Lengo ni kutoa nafasi kwa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na wizara zinazohusika na utoaji wa vibali kufanya tathmini ya kina kuhusu ujenzi wa vituo vya mafuta nchini,” amesema.

Aidha, Dk Angeline ameagiza kusitishwa kutolewa kwa vibali vipya vya ujenzi vinavyokiuka mipango kabambe ya majiji, manispaa, miji na kusitisha ugawaji wa viwanja kiholela unaosababisha taswira za miji kuharibika.

Habari zaidi zinasema maamuzi hayo yatawagusa watoto wa wakubwa ambao wanadaiwa kwa sehemu kubwa wanajishughulisha na biashara ya mafuta
Hizi ni amri za kidikteta kutokana na katiba inayohitaji kuboreshwa. Mtu mmoja hata kama ni Waziri kuwa na mamlaka ya kusitisha miradi ya uwekezaji nchi nzima bila kujadiliana na wadau ni ultimate impunity.
 
Hizi ni amri za kidikteta kutokana na katiba inayohitaji kuboreshwa. Mtu mmoja hata kama ni Waziri kuwa na mamlaka ya kusitisha miradi ya uwekezaji nchi nzima bila kujadiliana na wadau ni ultimate impunity.
Hata kama vinakiuka taratibu? Sasa kazi yake nini? Basi ivunjwe hiyo wizara watu wafanye watakacho.
 
Huenda uteuzi wa Waziri wa Ardhi, Angelina Mabula ukatenguliwa wakati wowote kuanzia sasa kwa kile kinachodaiwa kuwepo kwa mgongano wa kimaslahi kutokana na uamuzi wake wa kusitisha utoaji wa vibali vya ujenzi wa vituo vya mafuta.

Uamuzi huo umetangazwa leo Alhamisi Novemba 10, 2022 na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula.

“Lengo ni kutoa nafasi kwa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na wizara zinazohusika na utoaji wa vibali kufanya tathmini ya kina kuhusu ujenzi wa vituo vya mafuta nchini,” amesema.

Aidha, Dk Angeline ameagiza kusitishwa kutolewa kwa vibali vipya vya ujenzi vinavyokiuka mipango kabambe ya majiji, manispaa, miji na kusitisha ugawaji wa viwanja kiholela unaosababisha taswira za miji kuharibika.

Habari zaidi zinasema maamuzi hayo yatawagusa watoto wa wakubwa ambao wanadaiwa kwa sehemu kubwa wanajishughulisha na biashara ya mafuta
Hawa watu wana nguvu ya kufanya watakavyo. Fikiria kuna mtu anajenga katikati hifadhi ya barabara ya njia nane pale Kimara Stopover hakuna anayemuuliza.
 
Huenda uteuzi wa Waziri wa Ardhi, Angelina Mabula ukatenguliwa wakati wowote kuanzia sasa kwa kile kinachodaiwa kuwepo kwa mgongano wa kimaslahi kutokana na uamuzi wake wa kusitisha utoaji wa vibali vya ujenzi wa vituo vya mafuta.

Uamuzi huo umetangazwa leo Alhamisi Novemba 10, 2022 na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula.

“Lengo ni kutoa nafasi kwa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na wizara zinazohusika na utoaji wa vibali kufanya tathmini ya kina kuhusu ujenzi wa vituo vya mafuta nchini,” amesema.

Aidha, Dk Angeline ameagiza kusitishwa kutolewa kwa vibali vipya vya ujenzi vinavyokiuka mipango kabambe ya majiji, manispaa, miji na kusitisha ugawaji wa viwanja kiholela unaosababisha taswira za miji kuharibika.

Habari zaidi zinasema maamuzi hayo yatawagusa watoto wa wakubwa ambao wanadaiwa kwa sehemu kubwa wanajishughulisha na biashara ya mafuta
Mabula hana maamuzi yoyote. hata hilo lazima kaambiwa sema
 
Sasa hivi dunia inaelekea kwenye mqgari ya umeme, hadi nwaka 1930 yatakuwa mengi kiasi na baadhi ya vituo hasa vipya vitajikuta havijarudisha gharama za uwekezaji. Mwekezaji makini anatakiwa azingatie hilo.
 
Back
Top Bottom