Waziri Mabula hatihati kutumbuliwa Uwaziri

Waziri Mabula hatihati kutumbuliwa Uwaziri

Ningekuwa mimi ningewaacha wavijenge mpaka wachoke baadae wangeflate wenyewe
Unajua kwani kujenga vingi mwisho wa siku haigurentee wateja kuongezeka
Free force za demand zingewafirigisa wangeacha wenyewe bila kuambiwa kama wanojenga hotel za mabas ya mkoani
Unaacha vijengwe hadi kwenye makazi ya watu?
Kuna sehemu Kilwa road kuna petrol station pande tatu zote imeungana na nyumba za watu. Nadhani ni mtongani karibu na 77 pale.
Ile hatari sana siku kituo kikilipuka moto au nyumba za pembeni zikilipuka moto na kuambukiza kituo cha mafuta.
Ama kweli sasa ni mambo ovyo zaidi ya awamu zote tangu Uhuru.
 
Huenda uteuzi wa Waziri wa Ardhi, Angelina Mabula ukatenguliwa wakati wowote kuanzia sasa kwa kile kinachodaiwa kuwepo kwa mgongano wa kimaslahi kutokana na uamuzi wake wa kusitisha utoaji wa vibali vya ujenzi wa vituo vya mafuta.

Uamuzi huo umetangazwa leo Alhamisi Novemba 10, 2022 na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula.

“Lengo ni kutoa nafasi kwa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na wizara zinazohusika na utoaji wa vibali kufanya tathmini ya kina kuhusu ujenzi wa vituo vya mafuta nchini,” amesema.

Aidha, Dk Angeline ameagiza kusitishwa kutolewa kwa vibali vipya vya ujenzi vinavyokiuka mipango kabambe ya majiji, manispaa, miji na kusitisha ugawaji wa viwanja kiholela unaosababisha taswira za miji kuharibika.

Habari zaidi zinasema maamuzi hayo yatawagusa watoto wa wakubwa ambao wanadaiwa kwa sehemu kubwa wanajishughulisha na biashara ya mafuta
Sema ni naibu wake na lake oil yake
 
Ningekuwa mimi ningewaacha wavijenge mpaka wachoke baadae wangeflate wenyewe
Unajua kwani kujenga vingi mwisho wa siku haigurentee wateja kuongezeka
Free force za demand zingewafirigisa wangeacha wenyewe bila kuambiwa kama wanojenga hotel za mabas ya mkoani
Na Janga la moto likitokea na kuleta maafa au spills za kuleta hazards kwenye water table hizo zinakuwa vipi ?

Mambo mengine impact yake sio economical pekee bali yana social na environmental impacts... Au unaonaje open space zote tukiweka petrol stations na malls (after all zitaleta pesa zaidi kuliko watoto wanaocheza na chandimu)...
 
kama mzaha ila ujenzi wa hivi vituo umeharibu sana water catchments, resevoirs nyingi, wetlands, hub za floods, kibaha hadi mlandizi mfano, its a good idea ila sijui
 
Madam Mabula is trying to destroy the strongholds of Msoga Kingdom!!
Hajui kuwa aliyemuweka naye kawekwa!!🤣🤣🤣
 
Hata kama vinakiuka taratibu? Sasa kazi yake nini? Basi ivunjwe hiyo wizara watu wafanye watakacho.
Vinakiukaje utaratibu? Kuna taasisi inayosimamia Kama ni NEMC, au EWURA,Kama kituo hakijakidhi vigezo hakitapewa leseni sasa kufungia vyote ni tatizo na kukurupuka.
 
Ni hatari sana kiusalama vituo vya mafuta kujengwa karibu karibu, ikitokea ajali ya moto kituo kimoja moto ukishika kituo kingine mji mzima unateketea kwa moto, asante sana waziri Mabula kusitisha vibali kwa kufanya tathmini.
 
Huenda uteuzi wa Waziri wa Ardhi, Angelina Mabula ukatenguliwa wakati wowote kuanzia sasa kwa kile kinachodaiwa kuwepo kwa mgongano wa kimaslahi kutokana na uamuzi wake wa kusitisha utoaji wa vibali vya ujenzi wa vituo vya mafuta.

Uamuzi huo umetangazwa leo Alhamisi Novemba 10, 2022 na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula.

“Lengo ni kutoa nafasi kwa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na wizara zinazohusika na utoaji wa vibali kufanya tathmini ya kina kuhusu ujenzi wa vituo vya mafuta nchini,” amesema.

Aidha, Dk Angeline ameagiza kusitishwa kutolewa kwa vibali vipya vya ujenzi vinavyokiuka mipango kabambe ya majiji, manispaa, miji na kusitisha ugawaji wa viwanja kiholela unaosababisha taswira za miji kuharibika.

Habari zaidi zinasema maamuzi hayo yatawagusa watoto wa wakubwa ambao wanadaiwa kwa sehemu kubwa wanajishughulisha na biashara ya mafuta
FAKE NEWS! 🙏🙏🙏
 
Ningekuwa mimi ningewaacha wavijenge mpaka wachoke baadae wangeflate wenyewe
Unajua kwani kujenga vingi mwisho wa siku haigurentee wateja kuongezeka
Free force za demand zingewafirigisa wangeacha wenyewe bila kuambiwa kama wanojenga hotel za mabas ya mkoani

Hakuna kuna utakatushaji tu wa pesa katika uwekezaji huu.
 
Huenda uteuzi wa Waziri wa Ardhi, Angelina Mabula ukatenguliwa wakati wowote kuanzia sasa kwa kile kinachodaiwa kuwepo kwa mgongano wa kimaslahi kutokana na uamuzi wake wa kusitisha utoaji wa vibali vya ujenzi wa vituo vya mafuta.

Uamuzi huo umetangazwa leo Alhamisi Novemba 10, 2022 na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula.

“Lengo ni kutoa nafasi kwa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na wizara zinazohusika na utoaji wa vibali kufanya tathmini ya kina kuhusu ujenzi wa vituo vya mafuta nchini,” amesema.

Aidha, Dk Angeline ameagiza kusitishwa kutolewa kwa vibali vipya vya ujenzi vinavyokiuka mipango kabambe ya majiji, manispaa, miji na kusitisha ugawaji wa viwanja kiholela unaosababisha taswira za miji kuharibika.

Habari zaidi zinasema maamuzi hayo yatawagusa watoto wa wakubwa ambao wanadaiwa kwa sehemu kubwa wanajishughulisha na biashara ya mafuta
Wakutumbuliwa kwa maslahi mapana yawananchi kama waajiriwao ni nape na makamba kwanza wanakera kwadharau hovyosana watu hawa
 
Huenda uteuzi wa Waziri wa Ardhi, Angelina Mabula ukatenguliwa wakati wowote kuanzia sasa kwa kile kinachodaiwa kuwepo kwa mgongano wa kimaslahi kutokana na uamuzi wake wa kusitisha utoaji wa vibali vya ujenzi wa vituo vya mafuta.

Uamuzi huo umetangazwa leo Alhamisi Novemba 10, 2022 na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula.

“Lengo ni kutoa nafasi kwa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na wizara zinazohusika na utoaji wa vibali kufanya tathmini ya kina kuhusu ujenzi wa vituo vya mafuta nchini,” amesema.

Aidha, Dk Angeline ameagiza kusitishwa kutolewa kwa vibali vipya vya ujenzi vinavyokiuka mipango kabambe ya majiji, manispaa, miji na kusitisha ugawaji wa viwanja kiholela unaosababisha taswira za miji kuharibika.

Habari zaidi zinasema maamuzi hayo yatawagusa watoto wa wakubwa ambao wanadaiwa kwa sehemu kubwa wanajishughulisha na biashara ya mafuta
CCM hawana jipya
 
Back
Top Bottom