Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Magari nayo ni mengiKutoka Mwenge hadi Bagamoyo Vituo vya mafuta zaidi ya 200
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magari nayo ni mengiKutoka Mwenge hadi Bagamoyo Vituo vya mafuta zaidi ya 200
Unaacha vijengwe hadi kwenye makazi ya watu?Ningekuwa mimi ningewaacha wavijenge mpaka wachoke baadae wangeflate wenyewe
Unajua kwani kujenga vingi mwisho wa siku haigurentee wateja kuongezeka
Free force za demand zingewafirigisa wangeacha wenyewe bila kuambiwa kama wanojenga hotel za mabas ya mkoani
Sema ni naibu wake na lake oil yakeHuenda uteuzi wa Waziri wa Ardhi, Angelina Mabula ukatenguliwa wakati wowote kuanzia sasa kwa kile kinachodaiwa kuwepo kwa mgongano wa kimaslahi kutokana na uamuzi wake wa kusitisha utoaji wa vibali vya ujenzi wa vituo vya mafuta.
Uamuzi huo umetangazwa leo Alhamisi Novemba 10, 2022 na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula.
“Lengo ni kutoa nafasi kwa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na wizara zinazohusika na utoaji wa vibali kufanya tathmini ya kina kuhusu ujenzi wa vituo vya mafuta nchini,” amesema.
Aidha, Dk Angeline ameagiza kusitishwa kutolewa kwa vibali vipya vya ujenzi vinavyokiuka mipango kabambe ya majiji, manispaa, miji na kusitisha ugawaji wa viwanja kiholela unaosababisha taswira za miji kuharibika.
Habari zaidi zinasema maamuzi hayo yatawagusa watoto wa wakubwa ambao wanadaiwa kwa sehemu kubwa wanajishughulisha na biashara ya mafuta
Na Janga la moto likitokea na kuleta maafa au spills za kuleta hazards kwenye water table hizo zinakuwa vipi ?Ningekuwa mimi ningewaacha wavijenge mpaka wachoke baadae wangeflate wenyewe
Unajua kwani kujenga vingi mwisho wa siku haigurentee wateja kuongezeka
Free force za demand zingewafirigisa wangeacha wenyewe bila kuambiwa kama wanojenga hotel za mabas ya mkoani
Unaumia?Kutoka Mwenge hadi Bagamoyo Vituo vya mafuta zaidi ya 200
Niumie nini?Unaumia?
Pole DadaNiumie nini?
Wanaoumia ni hao wasiojitambua na kuishi pembeni ya kituo cha mafuta
Mwisho Wako wa kufikiri!Pole Dada
Vinakiukaje utaratibu? Kuna taasisi inayosimamia Kama ni NEMC, au EWURA,Kama kituo hakijakidhi vigezo hakitapewa leseni sasa kufungia vyote ni tatizo na kukurupuka.Hata kama vinakiuka taratibu? Sasa kazi yake nini? Basi ivunjwe hiyo wizara watu wafanye watakacho.
Kwanini mkuu, amezuia ajira ngapi kwa uamuzi huo? Tunakosa kodi kiasi gani?Ila yuko sahihi.
FAKE NEWS! 🙏🙏🙏Huenda uteuzi wa Waziri wa Ardhi, Angelina Mabula ukatenguliwa wakati wowote kuanzia sasa kwa kile kinachodaiwa kuwepo kwa mgongano wa kimaslahi kutokana na uamuzi wake wa kusitisha utoaji wa vibali vya ujenzi wa vituo vya mafuta.
Uamuzi huo umetangazwa leo Alhamisi Novemba 10, 2022 na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula.
“Lengo ni kutoa nafasi kwa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na wizara zinazohusika na utoaji wa vibali kufanya tathmini ya kina kuhusu ujenzi wa vituo vya mafuta nchini,” amesema.
Aidha, Dk Angeline ameagiza kusitishwa kutolewa kwa vibali vipya vya ujenzi vinavyokiuka mipango kabambe ya majiji, manispaa, miji na kusitisha ugawaji wa viwanja kiholela unaosababisha taswira za miji kuharibika.
Habari zaidi zinasema maamuzi hayo yatawagusa watoto wa wakubwa ambao wanadaiwa kwa sehemu kubwa wanajishughulisha na biashara ya mafuta
Ningekuwa mimi ningewaacha wavijenge mpaka wachoke baadae wangeflate wenyewe
Unajua kwani kujenga vingi mwisho wa siku haigurentee wateja kuongezeka
Free force za demand zingewafirigisa wangeacha wenyewe bila kuambiwa kama wanojenga hotel za mabas ya mkoani
Wakutumbuliwa kwa maslahi mapana yawananchi kama waajiriwao ni nape na makamba kwanza wanakera kwadharau hovyosana watu hawaHuenda uteuzi wa Waziri wa Ardhi, Angelina Mabula ukatenguliwa wakati wowote kuanzia sasa kwa kile kinachodaiwa kuwepo kwa mgongano wa kimaslahi kutokana na uamuzi wake wa kusitisha utoaji wa vibali vya ujenzi wa vituo vya mafuta.
Uamuzi huo umetangazwa leo Alhamisi Novemba 10, 2022 na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula.
“Lengo ni kutoa nafasi kwa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na wizara zinazohusika na utoaji wa vibali kufanya tathmini ya kina kuhusu ujenzi wa vituo vya mafuta nchini,” amesema.
Aidha, Dk Angeline ameagiza kusitishwa kutolewa kwa vibali vipya vya ujenzi vinavyokiuka mipango kabambe ya majiji, manispaa, miji na kusitisha ugawaji wa viwanja kiholela unaosababisha taswira za miji kuharibika.
Habari zaidi zinasema maamuzi hayo yatawagusa watoto wa wakubwa ambao wanadaiwa kwa sehemu kubwa wanajishughulisha na biashara ya mafuta
CCM hawana jipyaHuenda uteuzi wa Waziri wa Ardhi, Angelina Mabula ukatenguliwa wakati wowote kuanzia sasa kwa kile kinachodaiwa kuwepo kwa mgongano wa kimaslahi kutokana na uamuzi wake wa kusitisha utoaji wa vibali vya ujenzi wa vituo vya mafuta.
Uamuzi huo umetangazwa leo Alhamisi Novemba 10, 2022 na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula.
“Lengo ni kutoa nafasi kwa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na wizara zinazohusika na utoaji wa vibali kufanya tathmini ya kina kuhusu ujenzi wa vituo vya mafuta nchini,” amesema.
Aidha, Dk Angeline ameagiza kusitishwa kutolewa kwa vibali vipya vya ujenzi vinavyokiuka mipango kabambe ya majiji, manispaa, miji na kusitisha ugawaji wa viwanja kiholela unaosababisha taswira za miji kuharibika.
Habari zaidi zinasema maamuzi hayo yatawagusa watoto wa wakubwa ambao wanadaiwa kwa sehemu kubwa wanajishughulisha na biashara ya mafuta