Waziri Mabula, RC Malima wabwagwa ujumbe wa NEC CCM

Waziri Mabula, RC Malima wabwagwa ujumbe wa NEC CCM

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
1669607763084.png

Baadhi ya vigogo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliogombea nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya Jumuiya ya Wazazi, wamebwagwa akiwamo aliyekuwa Mwenyekiti Dk. Edmund Mndolwa.

Vigogo wengine walioshindwa ni Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dk. Angelina Mabula, na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Adam Malima, waliogombea nafasi ya wajumbe watatu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC).

Akitangaza matokeo hayo jana jijini Dodoma, Msimamizi wa Uchaguzi huo, Maalim Kombo Hassan, alimtangaza Fadhil Maganya aliyeshinda kwa kura 578 akimwacha mbali Dk. Mndolwa aliyepata kura 64.

Katika nafasi ya Makamu Mwenyekiti, Doto Iddi Mabrouk alitangazwa kuwa mshindi kwa kupata kura 530 kati ya 736 zilizopigwa akiwashinda wagombea wengine wanne.
 
Kupita bila kupingwa au kupita kwa kishindo hamna safari hii zaidi chama kinarudi kwa wenyewe
Sherehe nazo vp hamna?
Anyway tutafika tukiwa hoi!
 
Baadhi ya vigogo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliogombea nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya Jumuiya ya Wazazi, wamebwagwa akiwamo aliyekuwa Mwenyekiti Dk. Edmund Mndolwa.

Vigogo wengine walioshindwa ni Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dk. Angelina Mabula, na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Adam Malima, waliogombea nafasi ya wajumbe watatu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC).

Akitangaza matokeo hayo jana jijini Dodoma, Msimamizi wa Uchaguzi huo, Maalim Kombo Hassan, alimtangaza Fadhil Maganya aliyeshinda kwa kura 578 akimwacha mbali Dk. Mndolwa aliyepata kura 64.

Katika nafasi ya Makamu Mwenyekiti, Doto Iddi Mabrouk alitangazwa kuwa mshindi kwa kupata kura 530 kati ya 736 zilizopigwa akiwashinda wagombea wengine wanne.
Dah nimesikitika sana Malima kupigwa chini. Yani mvuta bangi mwenzetu wamemwondoa. Na ndio tulimtegemea kutuwakilisha chamani
 
Baadhi ya vigogo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliogombea nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya Jumuiya ya Wazazi, wamebwagwa akiwamo aliyekuwa Mwenyekiti Dk. Edmund Mndolwa.

Vigogo wengine walioshindwa ni Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dk. Angelina Mabula, na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Adam Malima, waliogombea nafasi ya wajumbe watatu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC).

Akitangaza matokeo hayo jana jijini Dodoma, Msimamizi wa Uchaguzi huo, Maalim Kombo Hassan, alimtangaza Fadhil Maganya aliyeshinda kwa kura 578 akimwacha mbali Dk. Mndolwa aliyepata kura 64.

Katika nafasi ya Makamu Mwenyekiti, Doto Iddi Mabrouk alitangazwa kuwa mshindi kwa kupata kura 530 kati ya 736 zilizopigwa akiwashinda wagombea wengine wanne.
Huyo Waziri wa Ardhi ajiandae kumpisha kiti Naibu waziri wake ili akalie KITI ni suala la Muda
 
Back
Top Bottom