Waziri Mahiga: Kompyuta zilizoibwa ni za ofisi ya mashtaka mkoa wa Dar na sio ofisi ya DPP

Waziri Mahiga: Kompyuta zilizoibwa ni za ofisi ya mashtaka mkoa wa Dar na sio ofisi ya DPP

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2012
Posts
4,572
Reaction score
26,885
Waziri wa Katiba na Sheria, Balozi Augustine Mahiga amesema kompyuta zilizoibwa ni za ofisi ya mashtaka mkoa wa Dar na sio ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) nchini Tanzania na kwamba nyaraka za wahujumu uchumi zipo mahali salama.


"Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu anayeshughulikia mashtaka ya serikali haikuguswa, nyaraka zote zipo, taarifa zote zipo, na kazi yake inaendelea" - Waziri Augustine Mahiga.

Chanzo: Mwananchi
 
Waziri wa Katiba na Sheria, Balozi Augustine Mahiga amesema kompyuta zilizoibwa ni za ofisi ya mashtaka mkoa wa Dar na sio ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) nchini Tanzania na kwamba nyaraka za wahujumu uchumi zipo mahali salama.


"Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu anayeshughulikia mashtaka ya serikali haikuguswa, nyaraka zote zipo, taarifa zote zipo, na kazi yake inaendelea" - Waziri Augustine Mahiga.

Chanzo: Mwananchi

My take: ifikie kipindi hawa watawala wasituchukulie poa wananchi.
 
Kama DPP alisema kuwa ameibiwa, yeye ndiye alitakiwa kuja kukanusha kwamba hakuibiwa, na siyo mwingine kuja hapa kusema kulikoibiwa ni kwingine(ofisi ya mashtaka Mkoa wa Dar), Je wana share office?
Swali: Kwani washtakiwa hao wa ufisadi wako wapi?

Jibu : Dar

Swali: Ofsi ya Mashtak inayoendesha kesi zao ni ipi?

Jibu: ya Dar

Swali: Kwa hiyo data zao na mafaili ya kesi yanatunziwa wapi?

Jibu: ofsi ya mashtaka ya Dar.

Swali: je computer zilizoibiwa ni za ofsi ipi ya mashtaka?

Jibu: ya mkoa wa Dar.

Sina swali la nyongeza
 
Swali: Kwani washtakiwa hao wa ufisadi wako wapi?

Jibu : Dar

Swali: Ofsi ya Mashtak inayoendesha kesi zao ni ipi?

Jibu: ya Dar

Swali: Kwa hiyo data zao na mafaili ya kesi yanatunziwa wapi?

Jibu: ofsi ya mashtaka ya Dar.

Swali: je computer zilizoibiwa ni za ofsi ipi ya mashtaka?

Jibu: ya mkoa wa Dar.

Sina swali la nyongeza
Kuna tofauti gani kati ya ofisi hizo mbili?
 
Swali: Kwani washtakiwa hao wa ufisadi wako wapi?

Jibu : Dar

Swali: Ofsi ya Mashtak inayoendesha kesi zao ni ipi?

Jibu: ya Dar

Swali: Kwa hiyo data zao na mafaili ya kesi yanatunziwa wapi?

Jibu: ofsi ya mashtaka ya Dar.

Swali: je computer zilizoibiwa ni za ofsi ipi ya mashtaka?

Jibu: ya mkoa wa Dar.

Sina swali la nyongeza
Hata kama mu waoinzani lakini mfike mahali muwe mnajirydishia ufahamu.

Ofisi ya DPP iko katika nganzi ya mikoa hadi makao makuu ambako ndio kwa DPP mwenyewe, sasa kama mbapewa taarifa rasmi halafu mnaikataa nini maana yake?

Mara ooh aje DPP mwenyewe akanushe what a nonsense!

Tatizo humu JF mmejaa rundo la wakaanga sumu.mnaoitakia mabaya tu nchi hii.
Nina hakika hamfurahii kusikia habari hizi.

Mahiga kataja mpaka ofisi zile za mkoa zilizoibwa zilipo,halafu nyinyi mazumbwi wa humu mnalazimisha tu kwamba ni za makao makuu ya DPP je mna itakia mabaya tu nchi hii all the time?

Shame on you all!
 
Back
Top Bottom