Waziri Mahiga: Kompyuta zilizoibwa ni za ofisi ya mashtaka mkoa wa Dar na sio ofisi ya DPP

Waziri Mahiga: Kompyuta zilizoibwa ni za ofisi ya mashtaka mkoa wa Dar na sio ofisi ya DPP

Sanaa ndani ya jumba la sanaa
IMG-20191019-WA0001.jpeg
 
Ikiwa kila kitu kiko buckup kwenye servers, ukiokota ka computer kamoja katakusaidia nini? Ni 2019, usifikiri JF yote iko ndani ya simu yako.
 
Shauri zao watajijua wenyewe...

Na kwa nini ziibiwe kwanza, tena kipindi hichi...


Cc: mahondaw
 
Waziri wa Katiba na Sheria, Balozi Augustine Mahiga amesema kompyuta zilizoibiwa ni za ofisi ya mashtaka mkoa wa Dar na sio ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) nchini Tanzania, Biswalo Mganga #MwananchiUpdates

Hahaha bawacha bhana mmeambiwa ni za ofisi ndogo na mafaili yapo na yapo salama hahaha mtakoma mwaka huu
 
Hahaha bawacha bhana mmeambiwa ni za ofisi ndogo na mafaili yapo na yapo salama hahaha mtakoma mwaka huu
Sasa huyu si ametupa repoti ambayo ipo na imetoka serikalini? Sasa Bawacha watakoma kwa lipi? Mbona kuna muda najidanganyaga kuwa una akili?
 
Kibao kimegeuka, anakwenda sasaaa hatari pale kwenye lango la la laaah kumbe magoli yamehamishwa namna gani pale...!!
 
Hata kama mu waoinzani lakini mfike mahali muwe mnajirydishia ufahamu.

Ofisi ya DPP iko katika nganzi ya mikoa hadi makao makuu ambako ndio kwa DPP mwenyewe, sasa kama mbapewa taarifa rasmi halafu mnaikataa nini maana yake?

Mara ooh aje DPP mwenyewe akanushe what a nonsense!

Tatizo humu JF mmejaa rundo la wakaanga sumu.mnaoitakia mabaya tu nchi hii.
Nina hakika hamfurahii kusikia habari hizi.

Mahiga kataja mpaka ofisi zile za mkoa zilizoibwa zilipo,halafu nyinyi mazumbwi wa humu mnalazimisha tu kwamba ni za makao makuu ya DPP je mna itakia mabaya tu nchi hii all the time?

Shame on you all!
We jamaa inatakiwa uache upoyoyo hata kama mahaba yamekuzidi lakini sasa hiyo ni too much...hukumsikia kamanda wa polisi kanda maalumu ya Dar es salaam alichosema jana? Kwa taarifa yako sasa kamanda wa polisi hawezi kutoa taarifa pasipo kuthibitisha tukio lenyewe na mahali husika ukiona mpaka katoa taarifa kwamba ofisi zilizoibiwa ni za DPP ujue amethibitisha kutokea tukio hilo mahali tajwa sasa wewe jitoe tu ufahamu kisa una mahaba utabaki na upoyoyo wako hivyohivyo...alichofanya Mahiga ni kwamba katoa statement hili kustopisha maswali yaliyokuwa yanaulizwa inakuaje ofisi ya DPP inaibiwa?..na DPP mwenyewe alishasema ofisi yake imeibiwavl unataka nini tena?
 
Hata kama mu waoinzani lakini mfike mahali muwe mnajirydishia ufahamu.

Ofisi ya DPP iko katika nganzi ya mikoa hadi makao makuu ambako ndio kwa DPP mwenyewe, sasa kama mbapewa taarifa rasmi halafu mnaikataa nini maana yake?

Mara ooh aje DPP mwenyewe akanushe what a nonsense!

Tatizo humu JF mmejaa rundo la wakaanga sumu.mnaoitakia mabaya tu nchi hii.
Nina hakika hamfurahii kusikia habari hizi.

Mahiga kataja mpaka ofisi zile za mkoa zilizoibwa zilipo,halafu nyinyi mazumbwi wa humu mnalazimisha tu kwamba ni za makao makuu ya DPP je mna itakia mabaya tu nchi hii all the time?

Shame on you all!

[emoji1610][emoji1610]
 
Hata kama mu waoinzani lakini mfike mahali muwe mnajirydishia ufahamu.

Ofisi ya DPP iko katika nganzi ya mikoa hadi makao makuu ambako ndio kwa DPP mwenyewe, sasa kama mbapewa taarifa rasmi halafu mnaikataa nini maana yake?

Mara ooh aje DPP mwenyewe akanushe what a nonsense!

Tatizo humu JF mmejaa rundo la wakaanga sumu.mnaoitakia mabaya tu nchi hii.
Nina hakika hamfurahii kusikia habari hizi.

Mahiga kataja mpaka ofisi zile za mkoa zilizoibwa zilipo,halafu nyinyi mazumbwi wa humu mnalazimisha tu kwamba ni za makao makuu ya DPP je mna itakia mabaya tu nchi hii all the time?

Shame on you all!
Ungekunywa kwanza Maji mkuu,labda ungepunguza jazba.
 
We jamaa inatakiwa uache upoyoyo hata kama mahaba yamekuzidi lakini sasa hiyo ni too much...hukumsikia kamanda wa polisi kanda maalumu ya Dar es salaam alichosema jana? Kwa taarifa yako sasa kamanda wa polisi hawezi kutoa taarifa pasipo kuthibitisha tukio lenyewe na mahali husika ukiona mpaka katoa taarifa kwamba ofisi zilizoibiwa ni za DPP ujue amethibitisha kutokea tukio hilo mahali tajwa sasa wewe jitoe tu ufahamu kisa una mahaba utabaki na upoyoyo wako hivyohivyo...alichofanya Mahiga ni kwamba katoa statement hili kustopisha maswali yaliyokuwa yanaulizwa inakuaje ofisi ya DPP inaibiwa?..na DPP mwenyewe alishasema ofisi yake imeibiwavl unataka nini tena?
Kwa hiyo mwendesha mashtaka wa mkoa wa Dar es salaam anaitwa DPP? Basi kama no hivyo Mamboleo ni mbulula!
 
Waziri wa Katiba na Sheria, Balozi Augustine Mahiga amesema kompyuta zilizoibwa ni za ofisi ya mashtaka mkoa wa Dar na sio ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) nchini Tanzania na kwamba nyaraka za wahujumu uchumi zipo mahali salama.


"Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu anayeshughulikia mashtaka ya serikali haikuguswa, nyaraka zote zipo, taarifa zote zipo, na kazi yake inaendelea" - Waziri Augustine Mahiga.

Chanzo: Mwananchi

My take: ifikie kipindi hawa watawala wasituchukulie poa wananchi.
Ushachukuliwa pouwa vingapi na umekaa tu.haraf unakuja hapa unaandika Mytake acha ujinga
 
Back
Top Bottom