Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona mnasema Chadema imekufa?Afadhali.......Chadema watatafuta mjadala mwingine!
Ila wao wenyewe ndio walituambia Watanzania sio wajinga. Na mimi nakubaliana na hilo na nasisitiza tena "WATANZANIA SIO WAJINGA"Sanaa ndani ya jumba la sanaaView attachment 1238021
Afadhali.......Chadema watatafuta mjadala mwingine!
Waziri wa Katiba na Sheria, Balozi Augustine Mahiga amesema kompyuta zilizoibiwa ni za ofisi ya mashtaka mkoa wa Dar na sio ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) nchini Tanzania, Biswalo Mganga #MwananchiUpdates
Sasa huyu si ametupa repoti ambayo ipo na imetoka serikalini? Sasa Bawacha watakoma kwa lipi? Mbona kuna muda najidanganyaga kuwa una akili?Hahaha bawacha bhana mmeambiwa ni za ofisi ndogo na mafaili yapo na yapo salama hahaha mtakoma mwaka huu
Mbona kuna muda najidanganyaga kuwa una akili?
We jamaa inatakiwa uache upoyoyo hata kama mahaba yamekuzidi lakini sasa hiyo ni too much...hukumsikia kamanda wa polisi kanda maalumu ya Dar es salaam alichosema jana? Kwa taarifa yako sasa kamanda wa polisi hawezi kutoa taarifa pasipo kuthibitisha tukio lenyewe na mahali husika ukiona mpaka katoa taarifa kwamba ofisi zilizoibiwa ni za DPP ujue amethibitisha kutokea tukio hilo mahali tajwa sasa wewe jitoe tu ufahamu kisa una mahaba utabaki na upoyoyo wako hivyohivyo...alichofanya Mahiga ni kwamba katoa statement hili kustopisha maswali yaliyokuwa yanaulizwa inakuaje ofisi ya DPP inaibiwa?..na DPP mwenyewe alishasema ofisi yake imeibiwavl unataka nini tena?Hata kama mu waoinzani lakini mfike mahali muwe mnajirydishia ufahamu.
Ofisi ya DPP iko katika nganzi ya mikoa hadi makao makuu ambako ndio kwa DPP mwenyewe, sasa kama mbapewa taarifa rasmi halafu mnaikataa nini maana yake?
Mara ooh aje DPP mwenyewe akanushe what a nonsense!
Tatizo humu JF mmejaa rundo la wakaanga sumu.mnaoitakia mabaya tu nchi hii.
Nina hakika hamfurahii kusikia habari hizi.
Mahiga kataja mpaka ofisi zile za mkoa zilizoibwa zilipo,halafu nyinyi mazumbwi wa humu mnalazimisha tu kwamba ni za makao makuu ya DPP je mna itakia mabaya tu nchi hii all the time?
Shame on you all!
Kweli Kiongozi. Tena nishajipiga faini ya bia mbili kabisa.Pole sana mkuu, jitake radhi.
Hata kama mu waoinzani lakini mfike mahali muwe mnajirydishia ufahamu.
Ofisi ya DPP iko katika nganzi ya mikoa hadi makao makuu ambako ndio kwa DPP mwenyewe, sasa kama mbapewa taarifa rasmi halafu mnaikataa nini maana yake?
Mara ooh aje DPP mwenyewe akanushe what a nonsense!
Tatizo humu JF mmejaa rundo la wakaanga sumu.mnaoitakia mabaya tu nchi hii.
Nina hakika hamfurahii kusikia habari hizi.
Mahiga kataja mpaka ofisi zile za mkoa zilizoibwa zilipo,halafu nyinyi mazumbwi wa humu mnalazimisha tu kwamba ni za makao makuu ya DPP je mna itakia mabaya tu nchi hii all the time?
Shame on you all!
Kweli Kiongozi. Tena nishajipiga faini ya bia mbili kabisa.
Ungekunywa kwanza Maji mkuu,labda ungepunguza jazba.Hata kama mu waoinzani lakini mfike mahali muwe mnajirydishia ufahamu.
Ofisi ya DPP iko katika nganzi ya mikoa hadi makao makuu ambako ndio kwa DPP mwenyewe, sasa kama mbapewa taarifa rasmi halafu mnaikataa nini maana yake?
Mara ooh aje DPP mwenyewe akanushe what a nonsense!
Tatizo humu JF mmejaa rundo la wakaanga sumu.mnaoitakia mabaya tu nchi hii.
Nina hakika hamfurahii kusikia habari hizi.
Mahiga kataja mpaka ofisi zile za mkoa zilizoibwa zilipo,halafu nyinyi mazumbwi wa humu mnalazimisha tu kwamba ni za makao makuu ya DPP je mna itakia mabaya tu nchi hii all the time?
Shame on you all!
Kwa hiyo mwendesha mashtaka wa mkoa wa Dar es salaam anaitwa DPP? Basi kama no hivyo Mamboleo ni mbulula!We jamaa inatakiwa uache upoyoyo hata kama mahaba yamekuzidi lakini sasa hiyo ni too much...hukumsikia kamanda wa polisi kanda maalumu ya Dar es salaam alichosema jana? Kwa taarifa yako sasa kamanda wa polisi hawezi kutoa taarifa pasipo kuthibitisha tukio lenyewe na mahali husika ukiona mpaka katoa taarifa kwamba ofisi zilizoibiwa ni za DPP ujue amethibitisha kutokea tukio hilo mahali tajwa sasa wewe jitoe tu ufahamu kisa una mahaba utabaki na upoyoyo wako hivyohivyo...alichofanya Mahiga ni kwamba katoa statement hili kustopisha maswali yaliyokuwa yanaulizwa inakuaje ofisi ya DPP inaibiwa?..na DPP mwenyewe alishasema ofisi yake imeibiwavl unataka nini tena?
Ushachukuliwa pouwa vingapi na umekaa tu.haraf unakuja hapa unaandika Mytake acha ujingaWaziri wa Katiba na Sheria, Balozi Augustine Mahiga amesema kompyuta zilizoibwa ni za ofisi ya mashtaka mkoa wa Dar na sio ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) nchini Tanzania na kwamba nyaraka za wahujumu uchumi zipo mahali salama.
"Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu anayeshughulikia mashtaka ya serikali haikuguswa, nyaraka zote zipo, taarifa zote zipo, na kazi yake inaendelea" - Waziri Augustine Mahiga.
Chanzo: Mwananchi
My take: ifikie kipindi hawa watawala wasituchukulie poa wananchi.
All the same,is it fine?Waziri wa Katiba na Sheria, Balozi Augustine Mahiga amesema kompyuta zilizoibiwa ni za ofisi ya mashtaka mkoa wa Dar na sio ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) nchini Tanzania, Biswalo Mganga #MwananchiUpdates