Waziri Mahiga: Serikali ya Uturuki imetuambia wamiliki wa shule za Feza ni magaidi

Waziri Mahiga: Serikali ya Uturuki imetuambia wamiliki wa shule za Feza ni magaidi

aliyetuletea dini ametupunguzia mzigo wa kuwa na akili kubwa alafu isiyo na kazi.

akili kubwa wananielewa


Ukweli Ni Kwamba Hata Ukienda MENTAL HOSPITA kama wewe ni Doctor ukimchukua Mgonjwa Wa Akili ili Kumchoma Sindano basi Atakwambia "WEWE HUNA AKILI! UTANICHOMAJE SINDANO KIRAHISIRAHISI?"

Ah! Kumbe Hata Mgonjwa Wa Akili Hujiona Kuwa Ana Akili Nyingi Kuliko Wenziwe.

That is Why You think Youre More Intelligent Compared to others.

Kwahiyo Wenye Akili Kubwa Kwa Uwendawazimu Nakubali Watakuelewa Kweli.

Bila Ya Kuwa na imani Ya Dini Yako Yoyote Unayoiyamini, Huwezi Kuwa Na Akili Timamu.

Ni Atheist Peke Yao Ndiyo Wanaoamnini Kuwa Dini inasababisha Hayo Uliyoyasema
 
Hili linahitaji uchunguzi wa kina sana maana serikali ya Ankara imekuwa ikitumia matatizo ya kisiasa nchini mwao kuzishulutisha na nchi nyingine nazo zifuate matakwa ya nchi yao. Hili ni tatizo la nchi yao walimalize wao
 
Kwakuwa tayari lipo mikononi mwa serikali haina shida kuwahukumu bila ya kuwa na uhakika tuiache serikali ifanye kazi yake na hatimaye tutapata majibu yenye tija zaidi
 
Sio ukweli inayosema Serikali ya Uturuki kuwa Mzee Imamu Fethullah Gulen na shule zake anazo miliki Duniani Gaidi. Ni Chuki tu za Rais wa Uturuki juu ya huyo Mzee Imamu Fethullah Gulen. Ingelikuwa huyo Mzee Imamu Fethullah Gulen ni Gaidi asingeweza kuishi Marekani tangu mwaka 1999. Si angesha fungwa huko huko Amerika ? Tangu laini Gaidi awe nchini Amerika? Serikali ya Uturuki ina chuki zake za kisiasa dhidi ya Mzee Imamu Fethullah Gulen. Wa-Tanzania mukifuata maneno ya Propraganda ya Rais wa Uturuki Bwana Erdoğan mutakuwa hamna akili yoyote ile. Wamarekani wamemuuliza Rais Wa U-Turuki Bwana Erdoğan awape ushahidi kuwa Mzee Imamu Fethullah Gulen ni gaidi? mpaka leo hajatoa ushahidi wowote ule kuwa Mzee Imamu Fethullah Gulen ni gaidi. Kwani Rais Erdoğan aliwaambia Wa-Marekani wampeleke Mze Imamu Fethullah Gulen Uturuki atoke uhamishoni nchini Amerika ndipo Wamarekani wakamuuliza hilo swali je unaweza kutupa ushahidi kuwa Mzee Imamu Fethullah Gulen ni gaidi? ndipo Rais Erdoğan wa Uturuki alipo shindwa kutoa ushahidi.
Umejuaje ni chuki tu za erdogan au upo jikoni mkuu?
 
Back
Top Bottom