Waziri Mahiga: Serikali ya Uturuki imetuambia wamiliki wa shule za Feza ni magaidi

aliyetuletea dini ametupunguzia mzigo wa kuwa na akili kubwa alafu isiyo na kazi.

akili kubwa wananielewa


Ukweli Ni Kwamba Hata Ukienda MENTAL HOSPITA kama wewe ni Doctor ukimchukua Mgonjwa Wa Akili ili Kumchoma Sindano basi Atakwambia "WEWE HUNA AKILI! UTANICHOMAJE SINDANO KIRAHISIRAHISI?"

Ah! Kumbe Hata Mgonjwa Wa Akili Hujiona Kuwa Ana Akili Nyingi Kuliko Wenziwe.

That is Why You think Youre More Intelligent Compared to others.

Kwahiyo Wenye Akili Kubwa Kwa Uwendawazimu Nakubali Watakuelewa Kweli.

Bila Ya Kuwa na imani Ya Dini Yako Yoyote Unayoiyamini, Huwezi Kuwa Na Akili Timamu.

Ni Atheist Peke Yao Ndiyo Wanaoamnini Kuwa Dini inasababisha Hayo Uliyoyasema
 
Hili linahitaji uchunguzi wa kina sana maana serikali ya Ankara imekuwa ikitumia matatizo ya kisiasa nchini mwao kuzishulutisha na nchi nyingine nazo zifuate matakwa ya nchi yao. Hili ni tatizo la nchi yao walimalize wao
 
Kwakuwa tayari lipo mikononi mwa serikali haina shida kuwahukumu bila ya kuwa na uhakika tuiache serikali ifanye kazi yake na hatimaye tutapata majibu yenye tija zaidi
 
Umejuaje ni chuki tu za erdogan au upo jikoni mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…