Kitimoto
JF-Expert Member
- Aug 25, 2012
- 6,941
- 7,808
Kamwe hawezi kukuelewa, amebakia na ile elimu ya hakina Dr. Shika.Sikuwq nq lengo lq kupingana nawe bqli nilikuwa naongelea trend ya power consuption kutakana na tech, hata kwenye magari zile heavy specced wires hazipo tena ni mwendo wa led
Nakubaliana nawe pia kwa maeneo ya viwanda , three phase ,waya unatakiwa uwe mnene ulioshiba ,kama kweli wanaweka nyaya dhaifu maeneo kama hayo ni dhahiri watapata hasara maana zitaungua kila leo