Kumbe next week?? nilidhani kesho.Hii issue ya ukosefu wa mafuta wiki ijayo huenda ni kweli.
Jamaa yangu anayefanya kazi kwenye kampuni inayoagiza na kuuza mafuta kwa jumla amedai huenda wiki ijayo wakawa hawana mafuta na madereva wao wanaorejea kutoka safari za masafa wamejulishwa hilo kwamba wiki ijayo wakapumzike hadi meli itaposhusha mzigo.
Ikumbukwe James Mataragio alitoa onyo kuhusu hilo wiki jana.
Labda aliwahi kupitiwa na garika lakeHuyu Suzy Elias amekuja RASMI kupambana na Januari Makamba na siyo kutoa michango chanya kwenye JUKWAA. Maana akaunti yake Haina hata one month, yeye na Makamba, umeme, gas na Leo mafuta.
Nahesabu one week kuanzia Leo, kweli tikikosa mafuta Nita " left" JF voluntarily
Umeingizwa mkenge na Suzy Elias nawe umeuingia 🤣🤣R.I.P Magufuli. Ama kweli tunaona haya yanayotokea baada ya kifo chako. Makamba kaingia tu kwenye wizara ,mikutano na mabeberu, mara umeme umeanza kukatika ovyo ovyo, mara mafuta, tutaona mengi
Hizi story za jamaa yako hizo ngoja tusubiri hadi next week. La sivyo tunamfungulia kesi ya kutaka kuleta taharuki katika jamii na wewe utaisaidia jamhuri katika hii case.
Huyo jamaa yako ni mzushi.
Waziri January Makamba hawezi kulidanganya taifa!
Msikieni post #9January kasema yapo na yeye ndo Serikali.
Huo ni mpango mkakati wa kampuni moja kubwa iliyochipusha vituo vyake nchi nzimaHii issue ya ukosefu wa mafuta wiki ijayo huenda ni kweli.
Jamaa yangu anayefanya kazi kwenye kampuni inayoagiza na kuuza mafuta kwa jumla amedai huenda wiki ijayo wakawa hawana mafuta na madereva wao wanaorejea kutoka safari za masafa wamejulishwa hilo kwamba wiki ijayo wakapumzike hadi meli itaposhusha mzigo.
Ikumbukwe James Mataragio alitoa onyo kuhusu hilo wiki jana.
Huyu Suzy Elias ni Malaya tu kama wale wa Kimboka Bar, siyo bure
Suzy Elias "kazini" dhidi ya mh.komredi Makamba......
Suzy Elias unazusha taharuki ya uongo tu.......🤣🤣🤣
Mzena hakuna monchwari, aliyekwambia hivyo kakupiga fix.Mbona kuna Mwingine aliwatangazia Watanzania kuwa Mtu fulani hajafa, yupo hai na katoka Kuzungumza nae na kututaka tuendelee Kuchapa Kazi wakati kumbe muda mrefu alikuwa tayari ameshayaanza Maisha yake mapya katika Friji za Mzena Hospital kabla ya kuhamishiwa za Lugalo Hospital mkabala na Chuo chao cha Tiba cha MCMS?
Mpumbavu sana huyu Dada Suzy Elias, nashauri iwapo next week kutakuwa na mafuta nchini, Mimi nipigwe "ban" ya milele. Ila iwapo mafuta yatakuwapo basi Suzy Elias Apigwe ban yeye. Halafu aje na ID nyingineSasa matank ya jamaa yako anakofanya kibarua kukosa mafuta ndio nchi imekosa mafuta? Acha upuuzi bwana, hakuna serikali zembe hivyo hata ingeongozwa na kibajaji
Lake oil ni washenzi sitaki hata kuwasikia, lakini kwa hili la uhaba wa mafuta ni propaganda uchwara tu za watoto yatima.Huo ni mpango mkakati wa kampuni moja kubwa iliyochipusha vituo vyake nchi nzima
Hakika umenenaJames kwa uzalendo wake na kwa u mimi na upigaji wa January kamwe hawezi kudumu pale.
Kama ya kula na Crued sawa ila Mogas,Disea,Jetty naJet Meli zimejazana.Kaka meli itaingia wiki hii kutakua na uhaba wa mafuta? Tuache viherehere tusubiri muda ufike
Itapanda very soon wewe subiri tuKwa nini bei ya mafuta inapanda?
Monchwari ndiyo nini? Aliyekuambia inaitwa Monchwari badala ya Mochwari si tu kakupiga Fix, ila pia amekudharau mno na kukuona ni Mpumbavu Mkomavu dunia nzima.Mzena hakuna monchwari, aliyekwambia hivyo kakupiga fix.
Gashi! wagukaya gete nzuna waneGete gete