Waziri Makamba: Hatujafanya uwekezaji, Miundombinu ya Umeme imechakaa na Gridi ya Taifa imezidiwa

Waziri Makamba: Hatujafanya uwekezaji, Miundombinu ya Umeme imechakaa na Gridi ya Taifa imezidiwa

umeme bado unakatika sana huku kwetu kama jana mechi ya simba na azam tukaichungulia kwa majenereta na leo tena wakakata kutwa nzima na kesho wananchi kwa Lupaso tuna hofu umeme watakata kwanini hizo bilioni 500 asizigawe nasi Kanda ya ziwa tupewe zetu turekebishe miundombinu sisi wenyewe! anajifanya mjuaji sana kumbe hajui!!
 
Sasa hizo hella anazoomba kila cku zinaishia wap sasa, maana uku kwetu ata kuona nyaya zimebadrisha hazionekani, au ndo kifaa cha milion 200 wananunua bilion20
 

Changamoto kubwa ya umeme Nchini imetajwa kuwa ni kutofanyika kwa uwekezaji wa kuboresha miundombinu inayoendana na mahitaji kwa miaka mingi, ndio maana gridi ya umeme imekuwa ikizidiwa uwezo wa kufanya kazi.

Waziri wa Nishati, January Makamba akiwa Mkoani Tabora wakati wa ziara ya Rais Samia Suluhu, leo Mei 19, 2022 amesema: “Miundombinu ni kama waya zenye urefu na unene sahihi, transfoma, vituo vya kupokea na kupoozea umeme.

“Kukosekana kwa uwekezaji matokeo yake mfumo wa gridi yetu umeelemewa kutokana na kuongezeka mahitaji na uchakavu, lakini kwa sasa Rais Samia ametoa Tsh. bilioni 500 ambazo zitatumika kuimarisha gridi ya taifa.”
Huyu ndiyo Waziri mbovu kupita kiasi
 
umeme bado unakatika sana huku kwetu kama jana mechi ya simba na azam tukaichungulia kwa majenereta na leo tena wakakata kutwa nzima na kesho wananchi kwa Lupaso tuna hofu umeme watakata kwanini hizo bilioni 500 asizigawe nasi Kanda ya ziwa tupewe zetu turekebishe miundombinu sisi wenyewe! anajifanya mjuaji sana kumbe hajui!!
Yaani huyu ni Waziri hopeless kabisa
 

Changamoto kubwa ya umeme Nchini imetajwa kuwa ni kutofanyika kwa uwekezaji wa kuboresha miundombinu inayoendana na mahitaji kwa miaka mingi, ndio maana gridi ya umeme imekuwa ikizidiwa uwezo wa kufanya kazi.

Waziri wa Nishati, January Makamba akiwa Mkoani Tabora wakati wa ziara ya Rais Samia Suluhu, leo Mei 19, 2022 amesema: “Miundombinu ni kama waya zenye urefu na unene sahihi, transfoma, vituo vya kupokea na kupoozea umeme.

“Kukosekana kwa uwekezaji matokeo yake mfumo wa gridi yetu umeelemewa kutokana na kuongezeka mahitaji na uchakavu, lakini kwa sasa Rais Samia ametoa Tsh. bilioni 500 ambazo zitatumika kuimarisha gridi ya taifa.”
Hatutaki visingizio tena Rais katoa bil.500
 
Kuna jamaa hapo juu kasema , HIYO MIUNDOMBINU ILISUBIRI MAGU AFE NDIYO IANZE KUSUMBUA?
Hahahaaaaa

Nchi ngumu sana hii.
Ingewezaje kusumbua kipindi Uchumi umekufa?

Kwani hujaona kwamba mahitaji yameongezeka?

Unadhani umeme wa ku feed uwekezaji wa dola bil.8 ni mchezo?👇

Screenshot_20220410-090506.png


Screenshot_20220512-130134.png
 
1. Alianza na kulalamikia nguzo za mufindi,
Akapewa pesa za kuagizia nguzo afrika kusini. Bado umeme unakatika

2. Akasema tatizo Ni vikombe kwenye transmission kubwa gridi ya taifa, akapewa pesa akaagizie. Bado umeme unakatika

3. Akasema tatizo Ni kreni ya Tani 26, stigglers ianze kufanya KAZI. Akapewa mabilioni aagizie. Limefika ila tatizo liko pale pale.

4. Akaja na kwamba,
Mfumo wa malipo ya luku Ni umepitwa na wakati, ndo maana umeme unakatika. Akaomba pesa anunue mfumo mpya. Kanunua ila bado umeme unakatika.

5. Sahv anasema miundo mbinu yoote Ni mibovu inahitaji bil.500 ikarabatiwe.

Sasa unajiuliza,
Ina maana zile pesa zote alizokua anapewa alikua anapeleka wapi?[emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo kusema Rais ametoa bilioni 500 kuimarisha gridi ya Taifa ni pumba? nadhani kuna shida mahali
shida ipo kweli bilioni 500 umeme unakatika kama siku zote.sasa zinatusaidia nini bora angekaa kimya tu hii nchi imejaa wasomi kwasasa hatuhitaji hizo staili za kufanya watu wote ni wajinga. yes ni pumba tu hizo
 

Changamoto kubwa ya umeme Nchini imetajwa kuwa ni kutofanyika kwa uwekezaji wa kuboresha miundombinu inayoendana na mahitaji kwa miaka mingi, ndio maana gridi ya umeme imekuwa ikizidiwa uwezo wa kufanya kazi.

Waziri wa Nishati, January Makamba akiwa Mkoani Tabora wakati wa ziara ya Rais Samia Suluhu, leo Mei 19, 2022 amesema: “Miundombinu ni kama waya zenye urefu na unene sahihi, transfoma, vituo vya kupokea na kupoozea umeme.

“Kukosekana kwa uwekezaji matokeo yake mfumo wa gridi yetu umeelemewa kutokana na kuongezeka mahitaji na uchakavu, lakini kwa sasa Rais Samia ametoa Tsh. bilioni 500 ambazo zitatumika kuimarisha gridi ya taifa.”
Umebaki muda mchache na nusu, kamba utapotea kbs ktk ulimwengu wa siasa.
 

Changamoto kubwa ya umeme Nchini imetajwa kuwa ni kutofanyika kwa uwekezaji wa kuboresha miundombinu inayoendana na mahitaji kwa miaka mingi, ndio maana gridi ya umeme imekuwa ikizidiwa uwezo wa kufanya kazi.

Waziri wa Nishati, January Makamba akiwa Mkoani Tabora wakati wa ziara ya Rais Samia Suluhu, leo Mei 19, 2022 amesema: “Miundombinu ni kama waya zenye urefu na unene sahihi, transfoma, vituo vya kupokea na kupoozea umeme.

“Kukosekana kwa uwekezaji matokeo yake mfumo wa gridi yetu umeelemewa kutokana na kuongezeka mahitaji na uchakavu, lakini kwa sasa Rais Samia ametoa Tsh. bilioni 500 ambazo zitatumika kuimarisha gridi ya taifa.”
Kwani shida yetu ni kubaini tatizi au utekelezaji? Kuliko maneno ungegeuza kuwa vitendo ungeeleweka sana.
 
Makamba na Maharage ni watalii tu hapo shirika la giza.

Yaani bongo bure kabisa , nilikua naona huyu Maharage analaunch ile niconnect wamekusanyana kumbe kupiga dili tu hivi kuzindua app yahitaji sherehe?
 
Hiyo mitambo haikulalamikiwa enzi ya jk, ilitelekezwa enzi ya JPM, ndio maana awamu ya 6 inalalamika, masharti ya kisayansi ya kufanya service yaliwekwa pembeni ili Siasa ifanye kazi

Ila waziri wako alishawahi kukili "Zamani umeme ulikiwa haukatiki mara kwa mara sababu walikuwa hawafanyi schedule maintenance........".

Kwa mtu anayejua science hawezi akaongea upuuzi huo yaani Mitambo hisifanyiwe services miaka mitano still iendelee kupiga kazi, mnazidi kupangwa. Hako kajenereta husipo kifanyia service mwaka, inakiua.

Kwa kifupi wamechemka au kuna mazingira wana yaandaa ya wao na makampuni yao kupiga hela full stop.
 

Changamoto kubwa ya umeme Nchini imetajwa kuwa ni kutofanyika kwa uwekezaji wa kuboresha miundombinu inayoendana na mahitaji kwa miaka mingi, ndio maana gridi ya umeme imekuwa ikizidiwa uwezo wa kufanya kazi.

Waziri wa Nishati, January Makamba akiwa Mkoani Tabora wakati wa ziara ya Rais Samia Suluhu, leo Mei 19, 2022 amesema: “Miundombinu ni kama waya zenye urefu na unene sahihi, transfoma, vituo vya kupokea na kupoozea umeme.

“Kukosekana kwa uwekezaji matokeo yake mfumo wa gridi yetu umeelemewa kutokana na kuongezeka mahitaji na uchakavu, lakini kwa sasa Rais Samia ametoa Tsh. bilioni 500 ambazo zitatumika kuimarisha gridi ya taifa.”
Mama ametoa yeye amezipata wapi? Serikali imetoa pesa kutokana na kodi zetu na tozo zetu!! Haya mambo ya kusifia bila sababu ya msingi inasaidia kumfanya abweteke!!
 
Back
Top Bottom