Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,517
- 9,762
Acha ujinga labda kama wakati wa JK ulikuwa tumboni mwa mama Yako, hakuna kipindi nchi imeingia kwenye mgao wa umeme kama kipindi kile, majenereta yalikuwa ni Dili biashara ilikolea, JPM alivyokuja wenye hiyo biashara ikawachachia na ndiyo hao wanataka kulazimisha mgao Ili wauze bidhaa zaoHiyo mitambo haikulalamikiwa enzi ya jk, ilitelekezwa enzi ya JPM, ndio maana awamu ya 6 inalalamika, masharti ya kisayansi ya kufanya service yaliwekwa pembeni ili Siasa ifanye kazi