Waziri Makamba: Mwenye ushahidi wa mambo mabaya aje wizarani

Waziri Makamba: Mwenye ushahidi wa mambo mabaya aje wizarani

Rege

Senior Member
Joined
Jul 9, 2022
Posts
117
Reaction score
153
“Kama kuna mtu yeyote ana maneno yoyote ya mambo yasiyofaa yamefanyika kwenye wizara yetu [Wizara ya Nishati], aje ayaseme, alete ushahidi, tuzungumze.” - January Makamba, Waziri wa Nishati.
---

1685452384514.png
 
Mambo mabaya yafanyikie hapo wizarani Makamba akiwa kama mkuu wa ofisi asiyajue? au anamtafuta mwenye ujuaji wamfanye kama walivyowafanya wale wafanyakazi wawili wa ofisi ya CAG?

Kumpelekea ushahidi muhalifu ili ajifunge ni dalili ya ugonjwa wa akili..
 
Mambo mabaya yafanyikie hapo wizarani Makamba akiwa kama mkuu wa ofisi asiyajue? au anamtafuta mwenye ujuaji wamfanye kama walivyowafanya wale wafanyakazi wawili wa ofisi ya CAG?
Waliwafanyaje?
 
Aache kuzingua. Hatuendi huko tutamtwanga hukuhuku majukwaani Kwa Nini gharama za kuunga umeme zimerudi juu, Afu matenesko wanjifanya magodifaza wa Kula rushwa Ili watuunganishie umeme.

Wamechelewesha bwawa la Mzee wetu marehemu. Miradi ya michongo mingi inafanyika Kwa sasa.

Mtaani SIku ikipita umeme hujakatika ni muujiza wa mwamposa. Tunapaza sauti hukuhuku tuwavue nguo ili watu wote wajue
 
REA, Kuna Kijiji Cha Mahorosha wilaya ya Rombo, tarafa ya mashati, wananchi masikini wamechanga pesa ili kununua nguzo. Waliochanga wamepata, walioshindwa wapo kwenye Giza, ni haki?
 
Yaani mtu ana kero iliyosababishwa na yeye halafu aende kwake wazumze anataka kumfanya nini zaidi? Hakuna atakayepeleka ushahidi kwake maana huyo kijana hana maadili mema ana kiburi, majivuno, dharau na ukosefu wa uaminifu kwahiyo hakuna ushiriakiano na yeye.
 
Back
Top Bottom